Mwanza: RC apiga marufuku mikusanyiko isiyo ya lazima

Mwanza: RC apiga marufuku mikusanyiko isiyo ya lazima

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel amepiga marufuku mikusanyiko yoyote ambayo sio ya lazima Mkoani humo ili kudhibiti Maambukizi ya #COVID19

Mhandisi Robert amesema misiba tu na ibada ndiyo itaruhusiwa kuwa na Watu. Hakuna kusanyiko lolote bila kuwa na kibali ndani ya Mwanza."
 
Mimi na Magufuli ni kitu kimoja - Samia Suluhu Hassan.

Haya, wale wazee wa kusifu kwamba "mama anaupiga mwingi sana na ni muumini safi....." nadhani mpo.
 
Back
Top Bottom