Mwanza: RC apiga marufuku mikusanyiko isiyo ya lazima

Mwanza: RC apiga marufuku mikusanyiko isiyo ya lazima

Huyu rc naona masikio yanaaza kuzidi kichwa Sasa...
 
Na hiyo show ya Fally Ipupa nayo ameifuta hadi maambukizi ya COVID-19 hadi yatakapokwisha/yatakapopungua!?

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel amepiga marufuku mikusanyiko yoyote ambayo sio ya lazima Mkoani humo ili kudhibiti Maambukizi ya #COVID19

Mhandisi Robert amesema misiba tu na ibada ndiyo itaruhusiwa kuwa na Watu. Hakuna kusanyiko lolote bila kuwa na kibali ndani ya Mwanza."
 
Mimi na Magufuli ni kitu kimoja - Samia Suluhu Hassan.

Haya, wale wazee wa kusifu kwamba "mama anaupiga mwingi sana na ni muumini safi....." nadhani mpo.
Hivi mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi ?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom