Mwanza: RC apiga marufuku mikusanyiko isiyo ya lazima

Huyu rc naona masikio yanaaza kuzidi kichwa Sasa...
 
Na hiyo show ya Fally Ipupa nayo ameifuta hadi maambukizi ya COVID-19 hadi yatakapokwisha/yatakapopungua!?

 
Mimi na Magufuli ni kitu kimoja - Samia Suluhu Hassan.

Haya, wale wazee wa kusifu kwamba "mama anaupiga mwingi sana na ni muumini safi....." nadhani mpo.
Hivi mikusanyiko isiyo ya lazima ni ipi ?
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…