Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wananchi wa Mwanza kujitokeza kushiriki katika kutimiza haki ya kidemokrasia na kikatiba ya kupiga kura licha ya kuwepo na hali ya mvua na kuwataka hali hiyo isiwatie uvivu.
Mhe. Mtanda ametoa rai hiyo mapema leo Novemba 27, 2024 mara baada ya kushiriki zoezi la upigaji kura katika Mtaa wa Isamilo Kaskazini, Kata ya Isamilo Wilayani Ilemela Mkoa wa Mwanza.
Mhe. Mtanda ametoa rai hiyo mapema leo Novemba 27, 2024 mara baada ya kushiriki zoezi la upigaji kura katika Mtaa wa Isamilo Kaskazini, Kata ya Isamilo Wilayani Ilemela Mkoa wa Mwanza.