Wanajaribu kutoa stress. Bahati mbaya ni kwamba stress zinazotolewa kwa chuki na hila huwa haziondoki bali zinazidi......mama huyoooooo; anaenda!hata wewe kuzurula na kula raha unapenda sema tu hela ndio huna, muacheni mkuu wa nchi avinjarai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajaribu kutoa stress. Bahati mbaya ni kwamba stress zinazotolewa kwa chuki na hila huwa haziondoki bali zinazidi......mama huyoooooo; anaenda!hata wewe kuzurula na kula raha unapenda sema tu hela ndio huna, muacheni mkuu wa nchi avinjarai
Vipi tena mikusanyiko hiyo, inayoeneza Corona Mwanza imeruhusiwa.?!unamuonea hadi wivu President? utakufa bure relax
Raisi zuzu wa kuwaza matamasha wakati nchi I inazidi kuibiwa na kutafunwa na mafisadi ,Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) kwa kushirikiana na Kituo cha Makumbusho cha Bujora Mwanza wameandaa tamasha kubwa la utamaduni lenye lengo la kurithisha utamaduni wetu kwa vizazi vyetu vya sasa litakalofanyika katika viwanja vya Redcross Kisesa Jijini Mwanza kuanzia leo Jumanne Septemba 07, 2021 mpaka kesho Septemba 08, 2021.
Mgeni rasmi kwenye tamasha hili ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan. Wote mnakaribishwa.
#Turithishe utamaduni wetu.
#Tudumishe utamaduni wetu.
#Amani na Umoja ni tunu zetu.
View attachment 1927414
Wanajaribu kutoa stress. Bahati mbaya ni kwamba stress zinazotolewa kwa chuki na hila huwa haziondoki bali zinazidi.hata wewe kuzurula na kula raha unapenda sema tu hela ndio huna, muacheni mkuu wa nchi avinjarai
ambaye hajachanjwa asisogee kwenye mikusanyikoVipi tena mikusanyiko hiyo, inayoeneza Corona Mwanza imeruhusiwa.?!
au Corona imeisha tayari😄😄
MaCCM wote akili zenu hazina akili.
Hii nayo ni kazi ?!Mama piga kazi
[emoji23][emoji23][emoji23], wamejenga au watajenga?! Watumie kiswahili vizuri.Mkuu wamesema tokea tozo ya miamala ianze tayari wamejesha vituo vya afya 220, hujasikia??