Mwanza: Tamasha la siku mbili la utamaduni wa Mtanzania limeanza leo katika viwanja vya msalaba mwekundu

hata wewe kuzurula na kula raha unapenda sema tu hela ndio huna, muacheni mkuu wa nchi avinjarai
Wanajaribu kutoa stress. Bahati mbaya ni kwamba stress zinazotolewa kwa chuki na hila huwa haziondoki bali zinazidi......mama huyoooooo; anaenda!
 
unamuonea hadi wivu President? utakufa bure relax
Vipi tena mikusanyiko hiyo, inayoeneza Corona Mwanza imeruhusiwa.?!
au Corona imeisha tayari😄😄

MaCCM wote akili zenu hazina akili.
 
Raisi zuzu wa kuwaza matamasha wakati nchi I inazidi kuibiwa na kutafunwa na mafisadi ,
Toka magu kufa ufisadi umerudi kwa kasi
 
hata wewe kuzurula na kula raha unapenda sema tu hela ndio huna, muacheni mkuu wa nchi avinjarai
Wanajaribu kutoa stress. Bahati mbaya ni kwamba stress zinazotolewa kwa chuki na hila huwa haziondoki bali zinazidi.
 
Vipi tena mikusanyiko hiyo, inayoeneza Corona Mwanza imeruhusiwa.?!
au Corona imeisha tayari😄😄

MaCCM wote akili zenu hazina akili.
ambaye hajachanjwa asisogee kwenye mikusanyiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…