Uko sawa ndugu na karibu Mwanza,kama unaishi hapa hongera pia kwa kuishi eneo la watu wastaarabu.lakini ndugu,nini kinakupelekeeni watu kua mnaongea au kuandika lugha namna hii?kiswahili si kiswahili,kingereza si kingereza,ni kwamba wewe ni msomi au?Mbona kama Mwanza wana 51 nakuru 49....yaani ushindi mwembamba
Sababu Ni kama ifuatavyo...
1. MwanZa pamepanuka sana so it's obvious kuna mengi kama hotels,school's, health facilities,alafu ikumbukwe MwanZa there are few apartment since because in Tanzania we don't believe on renting a house/apartment
2.MwanZa mandhari u ziwa na hayo mawe it's very splendid
3.infrustructure are not good as nakuru ....nakuru killed it in terms of miundombinu...
4.upande wa vyuo iyo egerton varsity it's way better than SAUT of MwanZa tena very far u can't compare btn the two!!
Conclusion MwanZa imeshinda kwa ushindi mdogo wa point moja!!
Mshindi by mshindi Ila kashinda kwa mbinde sana....
Hahaha unafurahisha du! Kwamba humuelewi?Uko sawa ndugu na karibu Mwanza,kama unaishi hapa hongera pia kwa kuishi eneo la watu wastaarabu.lakini ndugu,nini kinakupelekeeni watu kua mnaongea au kuandika lugha namna hii?kiswahili si kiswahili,kingereza si kingereza,ni kwamba wewe ni msomi au?
Hahaha you wanted one language or what is it,but I think I've made it clear ...Uko sawa ndugu na karibu Mwanza,kama unaishi hapa hongera pia kwa kuishi eneo la watu wastaarabu.lakini ndugu,nini kinakupelekeeni watu kua mnaongea au kuandika lugha namna hii?kiswahili si kiswahili,kingereza si kingereza,ni kwamba wewe ni msomi au?
Mbona mada imebadilishwa!!
Ngoja niirudishe kwa muda kidogo
Rudini kwenye madaAsante bwana..