Mwanza wamebaki na milima yenye mawe, Dhahabu, Geita, Kwa jicho la ndani, Kufurahia kuzaliwa mkoa mpya Geita,ni maumivu kwa jiji la Mwanza!

Mwanza wamebaki na milima yenye mawe, Dhahabu, Geita, Kwa jicho la ndani, Kufurahia kuzaliwa mkoa mpya Geita,ni maumivu kwa jiji la Mwanza!

Hizi ishu za mikoa zipo kisiasa sana. Wewe pambania maisha yako.. kuna watu wanaishi huko Wampembe lakini wana hela nyingi kuliko mtu anayeishi upanga Dar.
Daa nimecheka sana unakuja Hadi Wampembe 🤣🤣🤣🤣🤣

Tena Kuna watu ni wawekezaji wa viwanda vya Samaki huko huko Vijijini na maisha yanaenda.

NB:Ishu ya Mikoa ni muhimu Kisiasa na Ile proudness ya home but pia inasaidia kupata favour ambazo sehemu zingine watakosa Kwa sababu ya status.

Iko kama kwenye maisha ya mtaani mwenye hela au Cheo ndio anapewa heshima kubwa so ni za muhimu sana.

Juzi Mwigulu amasema Kuna Mradi wa AU kujenga hospital za Kimataifa, unadhani watajenga Sumbawanga au Tunduru? 😆😆😆😆

Lazima watajenga kwenye Miji yenye hadhi kama Dom,Dar au Arusha ,swali Kwa nini kiwe na huo utofauti? 👇👇
Tanzania inatarajiwa kuwa miongoni mwa nchi tano za Afrika zitakazonufaika na ujenzi wa mradi mkubwa wa Hospitali itakayokuwa na viwango vya dunia vya utoaji huduma za matibabu (African Medical Center of Excellence (AMCE), kupitia mradi unaotekelezwa na African Export-Import Bank (Afreximbank) kwa kushirikiana na Hospitali ya Chuo Kikuu cha King, iliyoko London nchini Uingereza.

Hayo yameelezwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Umahili cha Kimatibabu, Abuja, Bw. Brian Deaver, wakati Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, alipoongoza ujumbe wa Tanzania kutembelea ujenzi wa mradi wa aina hiyo, nje kidogo ya mji wa Abuja, nchini Nigeria.
GUNCbx9XMAEWkXz.jpg
GUNCbx5WkAAAGrx.jpg
 
Mwanza intern airport ndiyo suluhisho ya Mwanza vinginevyo serikali inachangia kuiua Mwanza km jiji.
Hata wakijenga Uwanja wa Kimataifa,kama watu wa kusafiri Kimataifa haitawasaidia kitu.

Mbeya Kuna huo uwanja ila hakuna chochote Cha maana.

Mwisho uwanja wa ndege Mwanza jnapanuliwa runway na Passenger buildings unadhani ndio italeta pesa?
 
Ukweli ndio huo

Mkoa wa mwanza, kwa siku za usoni, utapitwa na kila mkoa kiuchumi kwa sababu mapato mengi ambayo yalikuwa yakiuinua mkoa huo na kushika nafasi ya pili kitaifa katika kuliingizia Taifa mapato yake, mengi yapo katika mkoa mpya wa Geita iliyokuwa wilaya ya Mkoa huo

Sioni ajabu mkoa wa Mwanza kwa sasa kushushwa nafasi yake na mikoa kama Njombe, Kilimanjaro, Arusha n.k kwa sababu imebaki na sifa moja tu ya milima milima yenye mawe

Ukija kwenye Ziwa, hata Geita ziwa lipo, na hata hivyo, Ziwa hili kwa nyakati tofauti limekuwa likiendeshwa kisiasa tupu

Wana Mwanza kufurahia kuzalisha mkoa mpya wa Geita huku wakisahau sehemu kubwa ya maeneo yote ya mkoa wa Mwanza, haina resources zozote zaidi ya ziwa ambalo nalo samaki zilishapungua

Ingawa kwa upande mwingine kwa serikali ni kusogeza huduma na miundombini kwa haraka kwa wananchi katika mikoa mipya, hata hivyo, Ukweli unapembuka kwamba, mwisho wa tambo za wana Mwanza kuwa ndilo jiji ambalo huchangia pakubwa zaidi kimapato ya serikali umewadia
Hujui kitu, Breweries Mwanza unatia Kodi kubwa kuliko hata hiyo migodi yote iliyoko Geita,kanda ya ziwa na shinyanga,so still mapato wanaopata tu hata Kwa breweries Mwanza
 
Hujui kitu, Breweries Mwanza unatia Kodi kubwa kuliko hata hiyo migodi yote iliyoko Geita,kanda ya ziwa na shinyanga,so still mapato wanaopata tu hata Kwa breweries Mwanza
Sikatai kusema kwamba geita ni kijiji kwa mwanza ila kusema breweries inatoa mapato mengi kuliko mgodi hapo hapana.kibaya siku mgodi wa GGM ukafungwa hakuna tena geita.
 
Ukweli ndio huo

Mkoa wa mwanza, kwa siku za usoni, utapitwa na kila mkoa kiuchumi kwa sababu mapato mengi ambayo yalikuwa yakiuinua mkoa huo na kushika nafasi ya pili kitaifa katika kuliingizia Taifa mapato yake, mengi yapo katika mkoa mpya wa Geita iliyokuwa wilaya ya Mkoa huo

Sioni ajabu mkoa wa Mwanza kwa sasa kushushwa nafasi yake na mikoa kama Njombe, Kilimanjaro, Arusha n.k kwa sababu imebaki na sifa moja tu ya milima milima yenye mawe

Ukija kwenye Ziwa, hata Geita ziwa lipo, na hata hivyo, Ziwa hili kwa nyakati tofauti limekuwa likiendeshwa kisiasa tupu

Wana Mwanza kufurahia kuzalisha mkoa mpya wa Geita huku wakisahau sehemu kubwa ya maeneo yote ya mkoa wa Mwanza, haina resources zozote zaidi ya ziwa ambalo nalo samaki zilishapungua

Ingawa kwa upande mwingine kwa serikali ni kusogeza huduma na miundombini kwa haraka kwa wananchi katika mikoa mipya, hata hivyo, Ukweli unapembuka kwamba, mwisho wa tambo za wana Mwanza kuwa ndilo jiji ambalo huchangia pakubwa zaidi kimapato ya serikali umewadia
Angekuwepo Ngosha mikoa yote ya Kanda ya Ziwa ingeng’ara !

Mikoa ina kila kitu madini ya dhahabu na Almasi Pamba na kila aina ya mazao ya kilimo lakini wapiiii !
Hamuna kitu chochote cha maana !
Wajanja wa mujini walishafanya yao !

Ngosha akaishia kusema Tumepigwa 😳
Au tumechezewa sana ndugu zanguni 😅🙌

Au nasema uongo ndugu zanguni ???!! 🤠🤦🏽‍♂️
 
Mwanza na mbeya ni moja ya majiji yanayo kua kwa kasi bila nguvu kubwa ya serikali tofaut na dar,dodoma na Arusha inayo pigwa collable na EAC .kwa mawazo yako unazani Mwanza ina tegemea Geita kua apo
Kweli kabisa mwanza na mbeya ni majisababy ji yanayokuwa kwa haraka sana bila kutegemea mbeleko ya sarikali hasa kwa sababu ya jiografia ya hayo majiji
 
Angekuwepo Ngosha mikoa yote ya Kanda ya Ziwa ingeng’ara !

Mikoa ina kila kitu madini ya dhahabu na Almasi Pamba na kila aina ya mazao ya kilimo lakini wapiiii !
Hamuna kitu chochote cha maana !
Wajanja wa mujini walishafanya yao !

Ngosha akaishia kusema Tumepigwa 😳
Au tumechezewa sana ndugu zanguni 😅🙌

Au nasema uongo ndugu zanguni ???!! 🤠🤦🏽‍♂️
Miaka yake aliing'aeisha Kwa lipi? Tatizo mnakuwa wajinha na wavivu wa kufikiria.

Miaka 5 yake Cha maana hapo Mwanza alichofanya ni Sgr na daraja ambalo halikukamilika.

Mradi mwingine ni Ile ULGDP kuwajengea mastendi tuu ,hakuna jipya zaidi ya Hilo.

Bora hata mama ukiacha kukamilisha Miradi ya Mwendazake ila Kuna miradi Mingi sana ya Barabara ameianzisha.
 
Miaka yake aliing'aeisha Kwa lipi? Tatizo mnakuwa wajinha na wavivu wa kufikiria.

Miaka 5 yake Cha maana hapo Mwanza alichofanya ni Sgr na daraja ambalo halikukamilika.

Mradi mwingine ni Ile ULGDP kuwajengea mastendi tuu ,hakuna jipya zaidi ya Hilo.

Bora hata mama ukiacha kukamilisha Miradi ya Mwendazake ila Kuna miradi Mingi sana ya Barabara ameianzisha.
Kwanza mikataba mingi ya madini ni ya kinyonyaji tupu
 
Kufurahia kuzaliwa mkoa mpya Geita, Ni mwanza kuondoka kwenye ufalume wake,

Naomba kichwa cha habari kisomeke hivyo,
Kwan Geita ina muda gani toka iwe mkoa? Mwanza itaendelea umeshakua jiji la kibiashara. Sawa na Arusha tu walivyo ondoa soko la madin ya Tanzanite.
 
Hizi ishu za mikoa zipo kisiasa sana. Wewe pambania maisha yako.. kuna watu wanaishi huko Wampembe lakini wana hela nyingi kuliko mtu anayeishi upanga Dar.
Lakini sasa MamaSamia2025 unataka kuupiga teke ukweli uliopo, hata kama ni kisiasa, ni mhimu kujadiriwa na kuwekwa bayana
 
Kwan Geita ina muda gani toka iwe mkoa? Mwanza itaendelea umeshakua jiji la kibiashara. Sawa na Arusha tu walivyo ondoa soko la madin ya Tanzanite.
Usije kuta miaka kadhaa ihayo wafanya biashara waluopo jijini Mwanza wakaanza kulazimika kufuata bidhaa Katoro Geita
 
Kwa maghorofa haya yanayoibuka kama uyoga hapa Rock City, Geita tuipe miaka 700 kuifikia Mwanza.
Mwanza anaichukulia poa sana huyo jamaa! Kwanza Geita inaingia hata mara 10 kwa Mwanza!
Ndo leo aje aseme Geita iizidi Mwanza!
 
Mwanza anaichukulia poa sana huyo jamaa! Kwanza Geita inaingia hata mara 10 kwa Mwanza!
Ndo leo aje aseme Geita iizidi Mwanza!
Mkuu, mimi nimetoa tu angalizo kutokana na ukweli uliopo, Mwanza inaupungufu mkubwa wa maliasili kama ambavyo ilikuwa na wilaya kama Geita
 
Mkuu, mimi nimetoa tu angalizo kutokana na ukweli uliopo, Mwanza inaupungufu mkubwa wa maliasili kama ambavyo ilikuwa na wilaya kama Geita
Hiyo ishatoka levo ya kutegemea kuchimba madini au kilimo tu! Multieconomical hub kwa sasa!
Mazao Mwanza yanakuja kwa uhitaji uliopo!
Hata ukiangalia uwekezaji wa sekta binafsi Mwanza inatia fora sana hata mtaani Constructions ni kubwa sana ambayo huwezi kuiona popote nchini tofauti na Dar labda na Dodoma kwa kuwa wanajenga Makao Makuu!
 
Kuna jambo ambalo ni mhimu na turufu kubwa sana katika nyanja ya kiuchumi, ni pamoja na kuwa na wanasiasa wenye ushawishi mkubwa, Arusha ilishajiweka vizuri sana kwenye eneo hili, Arusha inaongoza kwa kutoa Mawaziri wakuu nchini, hii ni nzuri kwao katika kuishawishi serikali kupeleka maendeleo huko, lakini jambo lingine ni kwamba, Arusha imekuwa na wanasiasa wanaojali kwao, tofauti kabisa na ilivyo mikoa mingine kama Mwanza, Mbeya na kwingineko, Tunapokuwa tunasema, Nchi inahitaji viongozi wasomi wenye, ushawishi na wenye uchungu na maendeleo, muwe mnatuelewa, mfano mdogo, wanasiasa wa Mwanza, ni wanasiasa wanaosubiri mipango ya serikali tu tofauti na wanasiasa wa maeneo mengine ambao licha kwamba kuna mipango ya serikali, lakini bado wanakuwa ni wepesi wa kuishawishi serikali ili iingize mipango inayotokana na nguvu ya ushawishi na iliyosahaulika katika kupanua wigo wa naendelea katika eneo husika

Wanasiasa, ni kiungo mhimu sana katika kushawishi serikali ili ipelekee maendeleo, Yaani utakuta jiji la mwanza, licha ya kuwa na ukaribu wa ziwa Victoria, kuna maeneo hayana maji! Huu ni uzembe wa viongozi na siyo serikali, maji hayo hayo ya Victoria yamefika Dodoma ilihali yanapoanzia, hayajaenezwa, Wana Mwanza, timueni wote wabunge mlionao, hao ndiyo wanaochangia Mwanza iwe ya hovyo

Ikumbukwe, Jiji la Mwanza, na Jiji la Arusha, watu wake wanakawaida ya kushindana kimaendeleo, jambo ambalo ni la kuigwa, ni zuri na linafaa, hii inamaanisha kwamba, hamuwezi kuwa mnachagua viongozi legelege ili hali mnapenda jiji lenu liwe juu

Sifahamu agenda ya mkoa wa Mwanza kukatwa na kuzaliwa Geita ilitoka kwa nani, usikute pia ni siasa na ushawishi wa mkoa shindani wenu waliwazidi mbinu, bila kufahamu madhala ya badaye, mkaona ni sawa tu, Mwanza kijiografia ni ndogo kuliko Tabora, Dodoma, Morogoro n.k, lakini mikoa hiyo haikugawanywa mpaka leo

Hii maana yake nini,??

Nikirudi kwenye mada

Mkoa wa mwanza, kwa siku za usoni, utapitwa na kila mkoa kiuchumi kwa sababu mapato mengi ambayo yalikuwa yakiuinua mkoa huo na kushika nafasi ya pili kitaifa katika kuliingizia Taifa mapato yake, mengi yapo katika mkoa mpya wa Geita iliyokuwa wilaya ya Mkoa huo

Sioni ajabu mkoa wa Mwanza kwa sasa kushushwa nafasi yake na mikoa kama Njombe, Kilimanjaro, Arusha n.k kwa sababu imebaki na sifa moja tu ya milima milima yenye mawe

Ukija kwenye Ziwa, hata Geita ziwa lipo, na hata hivyo, Ziwa hili kwa nyakati tofauti limekuwa likiendeshwa kisiasa tupu

Wana Mwanza kufurahia kuzalisha mkoa mpya wa Geita huku wakisahau sehemu kubwa ya maeneo yote ya mkoa wa Mwanza, haina resources zozote zaidi ya ziwa ambalo nalo samaki zilishapungua, kunaifanya Mwanza iwe ni mji usiochangamka mbeleni

Ingawa kwa upande mwingine kwa serikali ni kusogeza huduma na miundombini kwa haraka kwa wananchi katika mikoa mipya, hata hivyo, Ukweli unapembuka kwamba, mwisho wa tambo za wana Mwanza kuwa ndilo jiji ambalo huchangia pakubwa zaidi kimapato ya serikali umewadia
Hilo wazo lilitolewa na fisadi Magufuri ili ajenge Chato kuwa jiji.
 
Uwekezaji wa miradi ya madini ni temporary,kwa sababu ni no renewable resources,hivyo in long run madini yakiisha ardhini hata hiyo geita itachoka Sana,iangalie miji ya madini duniani ambayo yameshaisha migodi yake je bado Ina flourish,kwa mwanza itajengwa na resources zingine mbali na madini ,sababu madini kwanza hayamnufaishi mtu mdogo,yaanaishia kuibiwa ibiwa sana
 
Back
Top Bottom