Umeandika pointiUwekezaji wa miradi ya madini ni temporary,kwa sababu ni no renewable resources,hivyo in long run madini yakiisha ardhini hata hiyo geita itachoka Sana,iangalie miji ya madini duniani ambayo yameshaisha migodi yake je bado Ina flourish,kwa mwanza itajengwa na resources zingine mbali na madini ,sababu madini kwanza hayamnufaishi mtu mdogo,yaanaishia kuibiwa ibiwa sana
Mwanza na mbeya ni moja ya majiji yanayo kua kwa kasi bila nguvu kubwa ya serikali tofaut na dar,dodoma na Arusha inayo pigwa collable na EAC .kwa mawazo yako unazani Mwanza ina tegemea Geita kua apo
Lakn kwl zle dhahabu lait ingelikuwa bado ipo Mwanza ahaaa aiseee wangekuwa jij tshio kwl kwlWewe unaijua Mwanza au unaongea tu..yaani Geita sijui Njombe zije ziipite Mwanza? ukiwa unaandika usiwe na haraka.
Mwanza ni ndoto ya kila mwanakanda ile kufika kwenye lile jiji, Mwanza haitegemei madini mjomba lile ni jiji la kibiashara acha chuki za ajabu.
Hiyo Geita imekuwa mkoa takea lini mbona haijaipita..halafu Mwanza kuanzia mwakani mgodi mkubwa wa dhahabu hapa TZ wa Nyanzaga unaanza uzalishaji sijui itakuaje.
Syo utali tu ww fkria watu wanalima mau mboga mboga na nyama kama vle ya kondoo ng'ombe nguruwe wana supply sehem kubwa na wakaz weng wanafuga ksasa kama kuku ng'ombe wamaziwa aya madn ichimbwa manyara lakn inauziwa Arusha soko la maind ipo Dodoma lakn wakenya na wasudan wanaishia Arusha kwaiyo kuna namna serkali imefanyaKaskazini wanabebwa na Utalii jombaa.
Nyanzaga unakuwa mgodi wakwanza sio tanzania bali east africaWewe unaijua Mwanza au unaongea tu..yaani Geita sijui Njombe zije ziipite Mwanza? ukiwa unaandika usiwe na haraka.
Mwanza ni ndoto ya kila mwanakanda ile kufika kwenye lile jiji, Mwanza haitegemei madini mjomba lile ni jiji la kibiashara acha chuki za ajabu.
Hiyo Geita imekuwa mkoa takea lini mbona haijaipita..halafu Mwanza kuanzia mwakani mgodi mkubwa wa dhahabu hapa TZ wa Nyanzaga unaanza uzalishaji sijui itakuaje.
Ee bwana eeh!Nyanzaga unakuwa mgodi wakwanza sio tanzania bali east africa
Endelea kudanganywa na story za mitandaoniMwanza hamna kitu tena pale, limebaki jina tu
Nahisi ungekua na uwezo mwanza ungeifuta kabisa isiwepo ila ndo ivyo tenaHuo Mji Kwa Sasa una hali mbaya sana kiuchumi.
Sio tuu Geita hata Kahama na Sasa Dodoma
Hawa wajinga wanafikiria tu wizi badala ya kufanya kazi.Wao wanafikiri kuwa Mwanza ni Chalinze.Nahisi ungekua na uwezo mwanza ungeifuta kabisa isiwepo ila ndo ivyo tena
Geita inakuwa asikudanganye mtu. Ukweli ni kwamba kuondoka kwa Geita Mwanza ni pigo kubwa maana karibu nusu ya mkoa wa Geita ni madini tupu. Ukiacha madini Kuna kilimo Cha mazao mbalimbali k.m. mpunga nanasi n.k.Uko sahihi kiasi kwamba kijiografia Mwanza imekuwa ndogo sana,ila geita kuja kuifikia mwanza itachukua miaka mingi sana,si chini ya 50,Geita haikui ,pale mjini pako ovyo sana
Geita inakua kwa kasi ila nikwambie tu Geita haitakaa iizidi Mwanza miaka yote!Geita inakuwa asikudanganye mtu. Ukweli ni kwamba kuondoka kwa Geita Mwanza ni pigo kubwa maana karibu nusu ya mkoa wa Geita ni madini tupu. Ukiacha madini Kuna kilimo Cha mazao mbalimbali k.m. mpunga nanasi n.k.