Mwanza: Wanafunzi Mapacha wa Chuo cha Mipango wafariki Dunia kwa kuzama Ziwa Victoria

"""na kilichokuwa kimenibakiza pale ni kwamba kulikuwa na mishangazi ya uhakika kibao myeusi na mizungu ipo kwenye bikini tu inajibinua. Basi nikajikuta nimefurahia kutazama ile misambwanda ya kufa mtu huku nasukumizia na chicken wings za hapa na pale.""" Hili nilitegemea kuona kwenye comment yako πŸ˜πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ˜
 
Hehehe
Nimeshuhudia mara tatu tofauti vifo vya maji. Hivyo sipendi kuwa wa nne🀣

Kuhusu gegedukastic tampeleka bafuni nafungulia bomba la mvua kisha mambo yanaendele🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 

Zamani sana mkuu. 10+ yrs ago....😁😁😁
 
Kuhusu gegedukastic tampeleka bafuni nafungulia bomba la mvua kisha mambo yanaendele🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Hata huko unaweza ukateleza ukaanguka ukajibamiza kichwa sakafuni ukapata massive cerebral hematoma kama Kanumba the Great ukaRIP....πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ
 
Hehehe
Nimeshuhudia mara tatu tofauti vifo vya maji. Hivyo sipendi kuwa wa nne[emoji1787]

Kuhusu gegedukastic tampeleka bafuni nafungulia bomba la mvua kisha mambo yanaendele[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Rip ,kwakuwa huko baharini na ziwani watu wamekuwa wakifa nakupata majeraha ya Uti wa mgongo tunabidi ...tuache kuogelea hizo Sehemu au tukiogelea tukae Sehemu Ambazo hazina maji mengi
Majeraha ya uti wa mgongo .. kivipi DR..?
 
🀣🀣🀣 mkuu ilikuwa kidogo afe kizembe mbele ya misambwanda.
 
Hii hasa baharini ndo utokea Sana , kuvunjika uti wa Mgongo inaumiza Sana Unaweza mfatilia yule Jamaa mwarabu Makonda aliyempeleka china
Yaani DR ipoje hiyo ya kuvunjika.
Maji ndo yanakuvunja huo uti wa mgongo au unaongelea kimazingala?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…