Mwanza: Wanafunzi Mapacha wa Chuo cha Mipango wafariki Dunia kwa kuzama Ziwa Victoria

Mwanza: Wanafunzi Mapacha wa Chuo cha Mipango wafariki Dunia kwa kuzama Ziwa Victoria

Basi hilo ziwa lina matatizo sio buree
Maziwa yote yanaweza kuwa na matatizo....hutegemeana na kina ,mzunguko wa maji ,pepo zinazovuma ,majira ya nyakati za mwaka ,uwezo duni wa kuogelea ,human fatalities kama misuli kugoma ,cardiac arrest ...na yale mambo yetu yaleeee....wavuvi wenye HEKIMA tunayajua....[emoji1787][emoji1787]
 
Siamini katika kupangiwa kifo
Hata Mimi siamini huu ujinga na mtu akiamin hvyo huwa namuona kama mwehu , yaani Imani ya namna hii inafanya mtu apunguze umakini wa kukabiliana na hatari akifikr imepangwa hvyo na hii ndo hasara ya kuwa na kundi kubwa la wajinga
 
Hata Mimi siamini huu ujinga na mtu akiamin hvyo huwa namuona kama mwehu , yaani Imani ya namna hii inafanya mtu apunguze umakini wa kukabiliana na hatari akifikr imepangwa hvyo na hii ndo hasara ya kuwa na kundi kubwa la wajinga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwa hiyo kufa na kuishi ni lazima kuwepo ndani ya "control" yako ?!!!
 
Wanafunzi wawili Mapacha wa mwaka wa tatu katika Chuo cha Mipango Kampasi ya Mwanza wamefariki dunia baada ya kuzama katika Ziwa Victoria wakati wakiogelea katika eneo la fukwe za Mihama Kata ya Kitangiri wilayani Ilemela mkoani Mwanza.


=============

Kenny na Lenny Makomonde (24), mapacha na wanafunzi wa Chuo cha Mipango Kampasi ya Mwanza wamefariki dunia kwa kuzama majini walipokuwa wakiogelea ndani ya Ziwa Victoria.

Tukio hilo lililoacha simanzi na vilio miongoni mwa wanafunzi wa chuo hicho, ndugu, jamaa na marafiki limetokea jioni ya Mei 28, 2023 wakati wawili hao walipokuwa wakiogelea kwenye ufukwe wa Mihama Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza.

Miili ya mapacha hao wanaosemekana kuwa na ujuzi na uzoefu wa kuogelea tayari imepatikana na kuopolewa kutoka majini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakishirikiana na wananchi.

Mkuu wa Jeshi la Zima Moto Wilaya ya Ilemela, Insekta Deusdedith Rutta amesema taarifa za mapacha hao waliokuwa wanasoma kozi ya Mipango na Maendeleo kuzama maji ziliifikia Jeshi hilo Saa 1:00 usiku jana Mei 28, 2023.

‘’Juhudi za uokoaji zilishindikana kutokana na kiwazo cha giza,’’ amesema Inspekta Rutta

Amesema askari wa Zimamoto na Uokoaji walirejea eneo la tukio leo alfajiri kuendelea na uokoaji na kufanikiwa kuopoa miili ya mapacha hao Saa 5:00 asubuhi.

Baba mzazi wa mapacha hao, Makomonde Deus amesima vifo vya watoto wake ni pigo na vimeacha simanzi kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki kwa sababu vimetokea ghafla.

"Hatuna la kufanya kwa sababu tunaamini ni mpango wa Mungu. Watoto wangu walikuwa wazefu wa kuogelea na mara kwa mara wanaogelea kila wanapopata nafasi. Kilichotokea ni mipango ya Mungu,’’ amesema Makomonde

Mmoja wa wanafunzi aliyekuwa anasoma darasa moja na mapacha hao aliyejitambulisha kwa jina la Andrew Sengeo amesema vifo vivyo ni pigo na vimeacha simanzi miongoni mwa wanafunzi kutokana jinsi marehemu hao walivyokuwa na ushirikiano na wengine enzi za uhai wao.

Ibada ya kuaga miili ya mapacha hao inaendelea eneo la Chuo cha Mipango kampasi ya Mwanza na juhudi za kupata kauli za viongozi wa chuo hicho kuzungumzia tukio hilo zinaendelea.

MWANANCHI

Mungu awapokee waja wake.

Mie maji ya kwenye jaba nayaogopa. Seuse kuogelea!
 
Sure
Sure....Some are coming from barbaric societies where fear of God is missing among them
True....

...and barbarians are neither agnostic nor atheists [emoji1787] they are just ignorant as you put forth....

Mungu yupo na shetani yupo.....uchaguzi ni wetu....[emoji1787]
 
Hata Mimi siamini huu ujinga na mtu akiamin hvyo huwa namuona kama mwehu , yaani Imani ya namna hii inafanya mtu apunguze umakini wa kukabiliana na hatari akifikr imepangwa hvyo na hii ndo hasara ya kuwa na kundi kubwa la wajinga
Pole Sana,kwa kudhani unajua kumbe hujui hata sekunde mbele moja mbele yako Nini kitakupata.
 
Pole Sana,kwa kudhani unajua kumbe hujui hata sekunde mbele moja mbele yako Nini kitakupata.
Kiburi cha uzima kinamsumbua....

Labda ni kwa sababu hafanyi kazi katika mazingira magumu....ila wenzake kila uchao tunauza roho....na kabla ya kuzianza shughuli za kila siku tunajikabidhi kabisa kwa Muumba kwa kuamini kuwa "kibakwe" kinatulilia muda wowote na kuwa mwisho wetu wa kuinjoi "JF" [emoji1787]

YETZER HATOV[emoji120]
SHAVUA TOV[emoji120]
ALLAHU AKBAR[emoji120]
 
Mungu awapokee waja wake.

Mie maji ya kwenye jaba nayaogopa. Seuse kuogelea!
Amen[emoji120]

[emoji1787][emoji1787]

Kwa hiyo mkuu si "swimming pools" tu hata katika Jacuzi wee huyataki ?!!!

Mkuu hebu tutafute Suluhu ya kuiondoa hiyo phobia yako kwani kuna wakati kuna raha yake mking'wenyana na shemeji ndani ya maji.....[emoji1787]
 
Back
Top Bottom