cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mto Ruvuma.Mto gani jamani mamiii ?!!!
Pole mamii jamaniii
Nikiwa ninakwenda Nyamisati nitakukaribisha nikakufundishe kuogelea vyema jamani....[emoji120]
Ilikua 2013
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mto Ruvuma.Mto gani jamani mamiii ?!!!
Pole mamii jamaniii
Nikiwa ninakwenda Nyamisati nitakukaribisha nikakufundishe kuogelea vyema jamani....[emoji120]
Siamini katika kupangiwa kifoUkipangiwa kufa nayo utashangaa mvua imemenyesha yamejaa chumbani kwako unafariki.
Good.Siamini katika kupangiwa kifo
Gosh [emoji45]Mto Ruvuma.
Ilikua 2013
[emoji1787][emoji1787]Suala la kifo ni "accident".....usababishiwe/ujisababishie...kinabaki kuwa ni kifo tu.....Siamini katika kupangiwa kifo
Maziwa yote yanaweza kuwa na matatizo....hutegemeana na kina ,mzunguko wa maji ,pepo zinazovuma ,majira ya nyakati za mwaka ,uwezo duni wa kuogelea ,human fatalities kama misuli kugoma ,cardiac arrest ...na yale mambo yetu yaleeee....wavuvi wenye HEKIMA tunayajua....[emoji1787][emoji1787]Basi hilo ziwa lina matatizo sio buree
Amen[emoji120]Mungu awajalie pumziko la milele
Hata Mimi siamini huu ujinga na mtu akiamin hvyo huwa namuona kama mwehu , yaani Imani ya namna hii inafanya mtu apunguze umakini wa kukabiliana na hatari akifikr imepangwa hvyo na hii ndo hasara ya kuwa na kundi kubwa la wajingaSiamini katika kupangiwa kifo
Hata Mimi siamini huu ujinga
Never give wisdom to unworthy because it would be unjust to the knowledgeable [emoji1787]Kama ni ujinga jipangie basi wewe Unataka ufaje.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata Mimi siamini huu ujinga na mtu akiamin hvyo huwa namuona kama mwehu , yaani Imani ya namna hii inafanya mtu apunguze umakini wa kukabiliana na hatari akifikr imepangwa hvyo na hii ndo hasara ya kuwa na kundi kubwa la wajinga
[emoji106]Ni aina ya samaki ana mwili wenye umeme,nakumbuka katika bahari,msichana wa kihindi aligongwa na samaki huyo,wakatika kasimama kwenye maji,mda huo huo aligeuka rangi na kuwa mweusi sana,alikufa hapo hapo.
Sad[emoji45]Dah,huzuni,yaani unatafuta kujua hata nini kilitokea unakosa majibu kabisa,ili mradi tu ilikuwa wafe...
Mungu awapokee waja wake.Wanafunzi wawili Mapacha wa mwaka wa tatu katika Chuo cha Mipango Kampasi ya Mwanza wamefariki dunia baada ya kuzama katika Ziwa Victoria wakati wakiogelea katika eneo la fukwe za Mihama Kata ya Kitangiri wilayani Ilemela mkoani Mwanza.
=============
Kenny na Lenny Makomonde (24), mapacha na wanafunzi wa Chuo cha Mipango Kampasi ya Mwanza wamefariki dunia kwa kuzama majini walipokuwa wakiogelea ndani ya Ziwa Victoria.
Tukio hilo lililoacha simanzi na vilio miongoni mwa wanafunzi wa chuo hicho, ndugu, jamaa na marafiki limetokea jioni ya Mei 28, 2023 wakati wawili hao walipokuwa wakiogelea kwenye ufukwe wa Mihama Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza.
Miili ya mapacha hao wanaosemekana kuwa na ujuzi na uzoefu wa kuogelea tayari imepatikana na kuopolewa kutoka majini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakishirikiana na wananchi.
Mkuu wa Jeshi la Zima Moto Wilaya ya Ilemela, Insekta Deusdedith Rutta amesema taarifa za mapacha hao waliokuwa wanasoma kozi ya Mipango na Maendeleo kuzama maji ziliifikia Jeshi hilo Saa 1:00 usiku jana Mei 28, 2023.
‘’Juhudi za uokoaji zilishindikana kutokana na kiwazo cha giza,’’ amesema Inspekta Rutta
Amesema askari wa Zimamoto na Uokoaji walirejea eneo la tukio leo alfajiri kuendelea na uokoaji na kufanikiwa kuopoa miili ya mapacha hao Saa 5:00 asubuhi.
Baba mzazi wa mapacha hao, Makomonde Deus amesima vifo vya watoto wake ni pigo na vimeacha simanzi kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki kwa sababu vimetokea ghafla.
"Hatuna la kufanya kwa sababu tunaamini ni mpango wa Mungu. Watoto wangu walikuwa wazefu wa kuogelea na mara kwa mara wanaogelea kila wanapopata nafasi. Kilichotokea ni mipango ya Mungu,’’ amesema Makomonde
Mmoja wa wanafunzi aliyekuwa anasoma darasa moja na mapacha hao aliyejitambulisha kwa jina la Andrew Sengeo amesema vifo vivyo ni pigo na vimeacha simanzi miongoni mwa wanafunzi kutokana jinsi marehemu hao walivyokuwa na ushirikiano na wengine enzi za uhai wao.
Ibada ya kuaga miili ya mapacha hao inaendelea eneo la Chuo cha Mipango kampasi ya Mwanza na juhudi za kupata kauli za viongozi wa chuo hicho kuzungumzia tukio hilo zinaendelea.
MWANANCHI
Sure....Some are coming from barbaric societies where fear of God is missing among themNever give wisdom to unworthy because it would be unjust to the knowledgeable [emoji1787]
True....Sure
Sure....Some are coming from barbaric societies where fear of God is missing among them
Pole Sana,kwa kudhani unajua kumbe hujui hata sekunde mbele moja mbele yako Nini kitakupata.Hata Mimi siamini huu ujinga na mtu akiamin hvyo huwa namuona kama mwehu , yaani Imani ya namna hii inafanya mtu apunguze umakini wa kukabiliana na hatari akifikr imepangwa hvyo na hii ndo hasara ya kuwa na kundi kubwa la wajinga
Kiburi cha uzima kinamsumbua....Pole Sana,kwa kudhani unajua kumbe hujui hata sekunde mbele moja mbele yako Nini kitakupata.
Amen[emoji120]Mungu awapokee waja wake.
Mie maji ya kwenye jaba nayaogopa. Seuse kuogelea!