Mwanza: Wanafunzi Mapacha wa Chuo cha Mipango wafariki Dunia kwa kuzama Ziwa Victoria

Mwanza: Wanafunzi Mapacha wa Chuo cha Mipango wafariki Dunia kwa kuzama Ziwa Victoria

Dah! Kifo kimenifanya niwe mwehu kabisa kuna mda naitaji msaada wa kisaikolojia
Mkuu wangu relax....pole sana mkuu.....

Unahitaji tu elimu ya maisha.....

Kifo si adhabu.....

Usiogope kifo.....

Kinakuja muda wowote na hakikwepeki.....wekeza kutafuta hela kwa nguvu UINJOI maisha....usikere watu ,usiumize wengine kisaikolojia....kama unakunywa gambe kunywa usipitilize ukajivunjia heshima na hata "kupakwa mafuta" [emoji1787][emoji1787]

Wapende watu na usiwachukie.....fanya mazoezi....ikiwezekana "meditation".....usiwe OPTIMISTIC NA PESSIMISTIC sana......

Kila kitu fanya kati na Kati....

Tenga muda wa ibada na maombi ila.....

Dini isikufanye mjinga taahira na mpumbavu.....

Enjoy "sex"......[emoji1787][emoji1787]

Tegemea PEPO paradiso ya BWANA baada ya kufa....


Life's too short just cherish it out.....muda wowote na kwa sababu yoyote tu kinaweza "kunuka"na ukakata pumzi.......

Yetzer hatov ,Allahu alaa kulli shay in Qadiir [emoji120]

Jah bless [emoji120]
 
Duuuuh poleeeeee aseeeeeeh!!
Mie pia nilitaka kufia mtoni, tangu hapoo maji nayaogopaa mnoooo.
Mto gani jamani mamiii ?!!!
Pole mamii jamaniii

Nikiwa ninakwenda Nyamisati nitakukaribisha nikakufundishe kuogelea vyema jamani....[emoji120]
 
Hii comment imenizungumzia kabisa. Huwa sitaki kabisa mazoea na man WATER
Isikutishe....

Kama INCIDENCE ya kufa maji ingekuwa kubwa basi sisi wavuvi tungeacha kuvua....msingekula samaki na mito ,maziwa bahari ikawa ya kupitishia vyombo vya USAFIRI tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Isikutishe....

Kama INCIDENCE ya kufa maji ingekuwa kubwa basi sisi wavuvi tungeacha kuvua....msingekula samaki na mito ,maziwa bahari ikawa ya kupitishia vyombo vya USAFIRI tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana mkuu, kawaida tu kwenye maisha kila mtu huwa na kitu anachokiogopa ambacho kwa wengine ni chenye kuleta furaha maji is among the things I fear
 
Nimeona nondo zako kali hapo juu na boti yako ya uvuvi. Naogopa hata kujibishana nawe namhala.

Naliza ūninhe nane lijini līmo līnigunane nkoyi [emoji16]

Naliho kūnū Misungwi [emoji1545]
[emoji7][emoji7]

Usiogope...wewe mwenyewe ni baharia...kutoka Misungwi mpaka Florida si mchezo.....congrats kaka [emoji123]

Baharini kuna mambo..... though mengi yanayosimuliwa ni "ngano"......

Maisha ni safari mkuu wangu....[emoji1787]
 
Mapacha wana damu na nyota nzuri...
Kama hujaelewa huwezi kuelewa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mkuu wangu "umelishwa usambo" na kuropoka hadharani ?!!!

Unafanyia shughuli zako ziwa ,mto ,bahari gani kaka?!!!

Dunia hii....

Utafutaji ni hatari........

Although I am not sure about the cause of their deaths but Almighty God knows the best [emoji120]
 
Back
Top Bottom