Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
R.I.P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mjukuu. Maji ni mazuri yakiwa kwenye kikombe tu japo napo yanaweza kukupalia ukakohoa ukaRIPDuuuuh poleeeeee aseeeeeeh!!
Mie pia nilitaka kufia mtoni, tangu hapoo maji nayaogopaa mnoooo.
Chunusi ni nini? Unaeza elezea kidogo mkuuMaji ya ziwani yana chunusi
Pole kwa familia. Wapumzike kwa amani
Maji hayana ujuzi mkuuKama hawakuwa na ujuzi walienda kuogelea kwanini?
Hahaha poleKuogelea huwa siwezi na sipendi maana nilitaka kufa
Kwa kweliii maji ni hatariii zaidiiii.Pole sana mjukuu. Maji ni mazuri yakiwa kwenye kikombe tu japo napo yanaweza kukupalia ukakohoa ukaRIP
Kwa ziwani watu hawaogeleiYaani msomi wa Chuo tena wa mwaka wa 3 anaenda kuogelea ziwani?????
Hizi Elimu za kukariri sijui zinatusaidia nini
Msuli ukikushika hapo ndiyo balaaEnzi hizo nasoma bwiru boys naogelea umbali mrefu Hadi huko kwenye mawe kumbe nilikuwa najizika.
Wapumzike kwa amani.
Msuli ndio niniMsuli ukikushika hapo ndiyo balaa
Ova
Kama majini ni vitu vya kufikirika vipi kuhusu hiyo pepo unayotaka apumzike? Yenyewe ni real?Acheni imani potofu za kufikirika. Mnasahau ziwani na baharini kuna mawimbi makubwa yanayoweza kutokea ghafla na kumshinda nguvu muogeleaji mnaleta habari za hallucinations za majini. Majini ni hadithi za kufikirika tu km stori za mazimwi, aliens n.k.
Roho za hao Vijana Zipumzike Mahali Pema Peponi. Amina.
Wanavaa watu wa pwani dizaini kama mashuka flani hiviMsuli ndio nini
Ulitaka akaogelee wapi? Acha ujuaji wa kishamba.Yaani msomi wa Chuo tena wa mwaka wa 3 anaenda kuogelea ziwani?????
Hizi Elimu za kukariri sijui zinatusaidia nini
Usirahisishe basi ndio habari Yao imekwisha hivyo na ndivyo walipangiwa.Maji hayana ujuzi mkuu
Ova
[emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acheni imani potofu za kufikirika. Mnasahau ziwani na baharini kuna mawimbi makubwa yanayoweza kutokea ghafla na kumshinda nguvu muogeleaji mnaleta habari za hallucinations za majini. Majini ni hadithi za kufikirika tu km stori za mazimwi, aliens n.k.
Roho za hao Vijana Zipumzike Mahali Pema Peponi. Amina.
Kipindi hicho nimeogelea sana huko japo nilikuwa muoga sana maji yakinizidi mabega nilikuwa siendi.Enzi hizo nasoma bwiru boys naogelea umbali mrefu Hadi huko kwenye mawe kumbe nilikuwa najizika.
Wapumzike kwa amani.
Kama unajuwa "habari si za kweli" kwanini uliuliza?
Maji ya urefu wa kiuno cUsirahisishe basi ndio habari Yao imekwisha hivyo na ndivyo walipangiwa.