Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji1787][emoji1787]Ni nini tofauti ya chunusi na majini ya baharini ?Yana majini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Ni nini tofauti ya chunusi na majini ya baharini ?Yana majini
Chunusi ni nini dear?Maji ya ziwani yana chunusi
Pole kwa familia. Wapumzike kwa amani
Ni. Aina ya samaki anaezalisha umeme.Chunusi ni nini dear?
Chunusi ndiyo nini?Kikubwa baba ajue
Muosha huoshwa ,chunusi majini wapo muda wote
Majinni yanayoishi kwenye maji.Chunusi ndiyo nini?
Hizi habari hazina uthibitisho wowote na ubabaishaji tu.Majinni yanayoishi kwenye maji.
Mimi nimemjibu aliyeuliza chunusi ni nini.Hizi habari hazina uthibitisho wowote na ubabaishaji tu.
Ndiyo mimi nimeulizaMimi nimemjibu aliyeuliza chunusi ni nini.
Acheni imani potofu za kufikirika. Mnasahau ziwani na baharini kuna mawimbi makubwa yanayoweza kutokea ghafla na kumshinda nguvu muogeleaji mnaleta habari za hallucinations za majini. Majini ni hadithi za kufikirika tu km stori za mazimwi, aliens n.k.Majinni yanayoishi kwenye maji.
Kama unajuwa "habari si za kweli" kwanini uliuliza?Ndiyo mimi nimeuliza
Usidandie treni kwa mbele, kasome nikichokijibu, kisha urudi useme nini ulichokielewa.Acheni imani potofu za kufikirika. Mnasahau ziwani na baharini kuna mawimbi makubwa yanayoweza kutokea ghafla na kumshinda nguvu muogeleaji mnaleta habari za hallucinations za majini. Majini ni hadithi za kufikirika tu km stori za mazimwi, aliens n.k.
Roho za hao Vijana Zipumzike Mahali Pema Peponi. Amina.
Sifahamu hata. Kuna mtu kasema chunusi ni samaki wanaotoa umeme, huyo anamake sense.Kama unajuwa "habari si za kweli" kwanini uliuliza?
Kama hufahamu amini uoenvyo, ndiyo kujifunza.Sifahamu hata. Kuna mtu kasema chunusi ni samaki wanaotoa umeme, huyo anamake sense.
Acheni imani potofu za kufikirika. Mnasahau ziwani na baharini kuna mawimbi makubwa yanayoweza kutokea ghafla na kumshinda nguvu muogeleaji mnaleta habari za hallucinations za majini. Majini ni hadithi za kufikirika tu km stori za mazimwi, aliens n.k.
Roho za hao Vijana Zipumzike Mahali Pema Peponi. Amina.
Maji hayana uzoefu, kuna siku namuona mtu rafiki yangu hivi anaondoka huku anapunga mkono kuaga maji yanampeleka miaka ya 80.R.i.p hakika ni pigo kubwa.
Nikienda kutuliza akili beach uwa naishia maji ya ugoko tu sitaki mazoea na maji