To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
HakikaR.i.p hakika ni pigo kubwa.
Nikienda kutuliza akili beach uwa naishia maji ya ugoko tu sitaki mazoea na maji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaR.i.p hakika ni pigo kubwa.
Nikienda kutuliza akili beach uwa naishia maji ya ugoko tu sitaki mazoea na maji
Mtego huo,kama NabiMto gani jamani mamiii ?!!!
Pole mamii jamaniii
Nikiwa ninakwenda Nyamisati nitakukaribisha nikakufundishe kuogelea vyema jamani....[emoji120]
Kuna baadhi ya sehemu humu ziwani au baharini kuna miamba na hyo sehemu inakua na kina kirefu kweli hata kama unajua ukifika hyo sehemu yenye mwamba lazima yataleta mambo siyoSasa nini kiliwaua akati wanajua kuogelea???
Mtego upi kaka ?!!!Mtego huo,kama Nabi
Amen[emoji120]Aisee namieshidnwa kusimama kwenye viatu vya wazazi wao. Kwa hope walizokuwa nazo kwa hawa cijana ni pigo kubwa mno, Mungu awatie nguvu kipindi hiki kigumu
Okay sawa.!Kuna baadhi ya sehemu humu ziwani au baharini kuna miamba na hyo sehemu inakua na kina kirefu kweli hata kama unajua ukifika hyo sehemu yenye mwamba lazima yataleta mambo siyo
Kweli aise matukio ya vifo ni vingi ila hi i ndo imeenda viral kwa kuwa imegusa nyoyo za watu wengiBasi hilo ziwa lina matatizo sio buree
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hehehe
Nimeshuhudia mara tatu tofauti vifo vya maji. Hivyo sipendi kuwa wa nne[emoji1787]
Kuhusu gegedukastic tampeleka bafuni nafungulia bomba la mvua kisha mambo yanaendele[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kwa sababu ya mapachaa.Kweli aise matukio ya vifo ni vingi ila hi i ndo imeenda viral kwa kuwa imegusa nyoyo za watu wengi
Nafikiri katika hili na wewe inabidi ujitafakari kabla ya kumkosoa mwenzako unaamini yafuatayo ambayo ni ya kiimani tuAcheni imani potofu za kufikirika. Mnasahau ziwani na baharini kuna mawimbi makubwa yanayoweza kutokea ghafla na kumshinda nguvu muogeleaji mnaleta habari za hallucinations za majini. Majini ni hadithi za kufikirika tu km stori za mazimwi, aliens n.k.
Roho za hao Vijana Zipumzike Mahali Pema Peponi. Amina.
Mapacha kwenda kuogelea ziwani pamoja, tena ziwa lenyewe Victoria tena ufukwe wenyewe Mihama kitangiri hiyo rasi imefukia watu wa kutosha. Halafu sijui watu wanamuelewaje huyu Mungu, yaani Mungu awatoe mapacha chuoni sijui mtaani awapeleke ziwani akawazamishe wafe ili mapenzi yake yatimizwe muhhh!! Inafikirisha sana juu ya Mungu wa namna hiyo.