Wale watoto waliotekwa hatimaye wamepatikana lakini watekaji wameuliwa.
=====
Your browser is not able to display this video.
Wanafunzi wawili wa Shule ya Blessing Model School waliokuwa wametekwa na watu wasiojulikana Februari 5, 2025 jijini Mwanza wamepatikana huku watekaji wakipigwa risasi na kupoteza maisha baada ya kuonesha nia ya kutaka kuwashambulia maaskari wakiwa na silaha.
Akizungumza katika eneo la tukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema watoto hao wamepatikana wakiwa wamefichwa katika nyumba namba 8 iliyopo katika Mtaa wa Nyagoloboya Kata ya Nyegezi huku watekaji wakiwa humo.
Hata hivyo Kamanda Mutafungwa amesema baada ya maofisa wa jeshi hilo kuzingira nyumba na kuwataka watekaji watii amri walitoka wakiwa na silaha kama mapanga na rungu hali iliyopelekea kutumia risasi.
Kipindi wenda zao wakimiminiwa vyuma hao watoto walikuwa wapi ili wao wasiathirike?
Maana ni lazima wangewafanya watoto kama kinga, au askari wetu waokozi walizama humohumo ndani ya nyumba au majamaa yalitimua mbio baada ya kubainika na hukohuko yakamiminiwa njugu?
Hongereni Polisi kwa kuokoa roho za hawa watoto. Watu wabaya wanaodhulumu uhai wa jamii yetu hawapaswi kuchekewa. Matukio kama lile la kibaha wanaofanya kwa njia yoyote inapaswa waondolewe kwenye jamii yetu kwa njia yoyote ile police watakayoona inafaa.
Katika matukio mengine Mtu anafanya uhalifu anaua mzazi anaacha watoto yatima. Yani hawa watu hawana huruma kabisa hawapaswi huonewa huru.
Wanafunzi wawili wa Shule ya Blessing Model School waliokuwa wametekwa na watu wasiojulikana Februari 5, 2025 jijini Mwanza wamepatikana huku watekaji wakipigwa risasi na kupoteza maisha baada ya kuonesha nia ya kutaka kuwashambulia maaskari wakiwa na silaha.
Akizungumza katika eneo la tukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema watoto hao wamepatikana wakiwa wamefichwa katika nyumba namba 8 iliyopo katika Mtaa wa Nyagoloboya Kata ya Nyegezi huku watekaji wakiwa humo.
Hata hivyo Kamanda Mutafungwa amesema baada ya maofisa wa jeshi hilo kuzingira nyumba na kuwataka watekaji watii amri walitoka wakiwa na silaha kama mapanga na rungu hali iliyopelekea kutumia risasi.
Wanafunzi wawili wa Shule ya Blessing Model School waliokuwa wametekwa na watu wasiojulikana Februari 5, 2025 jijini Mwanza wamepatikana huku watekaji wakipigwa risasi na kupoteza maisha baada ya kuonesha nia ya kutaka kuwashambulia maaskari wakiwa na silaha.
Akizungumza katika eneo la tukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema watoto hao wamepatikana wakiwa wamefichwa katika nyumba namba 8 iliyopo katika Mtaa wa Nyagoloboya Kata ya Nyegezi huku watekaji wakiwa humo.
Hata hivyo Kamanda Mutafungwa amesema baada ya maofisa wa jeshi hilo kuzingira nyumba na kuwataka watekaji watii amri walitoka wakiwa na silaha kama mapanga na rungu hali iliyopelekea kutumia risasi.