Mwanza: watoto waliotekwa wapatikana, watekaji wauawa kwa kupigwa risasi

Mwanza: watoto waliotekwa wapatikana, watekaji wauawa kwa kupigwa risasi

Roho mbaya tu kutoa uhai wa mwanadamu mwenzako. Wameua baba za watu, watoto wa watu waume za watu na kuacha familia zao zikibaki na huzuni na mateso.

Hii haikubaliki kabisa Serikali iwachukulie hao polisi hatua kali sana kwa umwagaji huu wa damu.

Wahalifu nao wana haki ya kuishi na kufarahia matunda ya maendeleo CCM imeiletea taifa letu.

R.I.P watekaji.

Nyau de adriz
Punguza ulevi
 
Roho mbaya tu kutoa uhai wa mwanadamu mwenzako. Wameua baba za watu, watoto wa watu waume za watu na kuacha familia zao zikibaki na huzuni na mateso.

Hii haikubaliki kabisa Serikali iwachukulie hao polisi hatua kali sana kwa umwagaji huu wa damu.

Wahalifu nao wana haki ya kuishi na kufarahia matunda ya maendeleo CCM imeiletea taifa letu.

R.I.P watekaji.

Nyau de adriz
Kwahiyo ulitaka wale watoto ndiyo wauliwe? Hivi mpaka mtu kateka si amejiandaa kwakila kitu? Peleka wanao wakafanyiwe majaribio ya utekaji, wapeleke hata samalia.
 
Kipindi wenda zao wakimiminiwa vyuma hao watoto walikuwa wapi ili wao wasiathirike?
Maana ni lazima wangewafanya watoto kama kinga, au askari wetu waokozi walizama humohumo ndani ya nyumba au majamaa yalitimua mbio baada ya kubainika na hukohuko yakamiminiwa njugu?
Hapakua na kurushiana risasi,hiyo lugha inajulikana
 
Wafanyabiashara wa madini toka Mahenge Morogoro waliuawa na policcm ikasemwa ni majambazi. Kama sio rais Kikwete kutaka uchunguzi wa mauaji yale ufanyike nani angejua kwamba kuna polisi ambao ni majambazi?
Kuna jamaa/msikilizaji pale magic fm, alikua akipiga simu na kusema polisi na majambazi lao moja, ulikua mjadala,hadi hali ilipokua dhahiri
 
Amani iwe nanyi wapendwa

Wale watoto waliotekwa hatimaye wamepatikana lakini watekaji wameuliwa.

=====

View attachment 3229443

Wanafunzi wawili wa Shule ya Blessing Model School waliokuwa wametekwa na watu wasiojulikana Februari 5, 2025 jijini Mwanza wamepatikana huku watekaji wakipigwa risasi na kupoteza maisha baada ya kuonesha nia ya kutaka kuwashambulia maaskari wakiwa na silaha.

Akizungumza katika eneo la tukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema watoto hao wamepatikana wakiwa wamefichwa katika nyumba namba 8 iliyopo katika Mtaa wa Nyagoloboya Kata ya Nyegezi huku watekaji wakiwa humo.

Pia soa > Mwanza: Watoto wawili wa Shule ya Blessing Model watekwa, wengine Wanne wanusurika

Hata hivyo Kamanda Mutafungwa amesema baada ya maofisa wa jeshi hilo kuzingira nyumba na kuwataka watekaji watii amri walitoka wakiwa na silaha kama mapanga na rungu hali iliyopelekea kutumia risasi.
Jeshi la polisi hongera, bad guys dont deserve another day in paradise
 
Roho mbaya tu kutoa uhai wa mwanadamu mwenzako. Wameua baba za watu, watoto wa watu waume za watu na kuacha familia zao zikibaki na huzuni na mateso.

Hii haikubaliki kabisa Serikali iwachukulie hao polisi hatua kali sana kwa umwagaji huu wa damu.

Wahalifu nao wana haki ya kuishi na kufarahia matunda ya maendeleo CCM imeiletea taifa letu.

R.I.P watekaji.

Nyau de adriz
Katika ubora wako😅
 
Kipindi wenda zao wakimiminiwa vyuma hao watoto walikuwa wapi ili wao wasiathirike?
Maana ni lazima wangewafanya watoto kama kinga, au askari wetu waokozi walizama humohumo ndani ya nyumba au majamaa yalitimua mbio baada ya kubainika na hukohuko yakamiminiwa njugu?
Hawakuwa na silaa za moto,walikuwa na mapanga na rungu
 
Serikali haijaweka wazi.

Ila naamini IPO AMRI ya chini Kwa chini ya kuwapiga vyuma WAHALIFU WAZOEFU NA WAHALIFU watukutu,hasa hawa WA kutumia silaha.

NI idea nzuri sn,
Maana zaman hawakuogopa jela, sahivi nao wanaogopa Sana kifo.

UJAMBAZI UMEPUNGUA SANA👍
Wakikukuchoka ni chuma tu.
 
Back
Top Bottom