Booomshaka
Member
- Jul 9, 2024
- 96
- 108
Ashukuriwe mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmAshukuriwe mama
Punguza uleviRoho mbaya tu kutoa uhai wa mwanadamu mwenzako. Wameua baba za watu, watoto wa watu waume za watu na kuacha familia zao zikibaki na huzuni na mateso.
Hii haikubaliki kabisa Serikali iwachukulie hao polisi hatua kali sana kwa umwagaji huu wa damu.
Wahalifu nao wana haki ya kuishi na kufarahia matunda ya maendeleo CCM imeiletea taifa letu.
R.I.P watekaji.
Nyau de adriz
Kwahiyo ulitaka wale watoto ndiyo wauliwe? Hivi mpaka mtu kateka si amejiandaa kwakila kitu? Peleka wanao wakafanyiwe majaribio ya utekaji, wapeleke hata samalia.Roho mbaya tu kutoa uhai wa mwanadamu mwenzako. Wameua baba za watu, watoto wa watu waume za watu na kuacha familia zao zikibaki na huzuni na mateso.
Hii haikubaliki kabisa Serikali iwachukulie hao polisi hatua kali sana kwa umwagaji huu wa damu.
Wahalifu nao wana haki ya kuishi na kufarahia matunda ya maendeleo CCM imeiletea taifa letu.
R.I.P watekaji.
Nyau de adriz
Hapakua na kurushiana risasi,hiyo lugha inajulikanaKipindi wenda zao wakimiminiwa vyuma hao watoto walikuwa wapi ili wao wasiathirike?
Maana ni lazima wangewafanya watoto kama kinga, au askari wetu waokozi walizama humohumo ndani ya nyumba au majamaa yalitimua mbio baada ya kubainika na hukohuko yakamiminiwa njugu?
Kuna jamaa/msikilizaji pale magic fm, alikua akipiga simu na kusema polisi na majambazi lao moja, ulikua mjadala,hadi hali ilipokua dhahiriWafanyabiashara wa madini toka Mahenge Morogoro waliuawa na policcm ikasemwa ni majambazi. Kama sio rais Kikwete kutaka uchunguzi wa mauaji yale ufanyike nani angejua kwamba kuna polisi ambao ni majambazi?
Jeshi la polisi hongera, bad guys dont deserve another day in paradiseAmani iwe nanyi wapendwa
Wale watoto waliotekwa hatimaye wamepatikana lakini watekaji wameuliwa.
=====
View attachment 3229443
Wanafunzi wawili wa Shule ya Blessing Model School waliokuwa wametekwa na watu wasiojulikana Februari 5, 2025 jijini Mwanza wamepatikana huku watekaji wakipigwa risasi na kupoteza maisha baada ya kuonesha nia ya kutaka kuwashambulia maaskari wakiwa na silaha.
Akizungumza katika eneo la tukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema watoto hao wamepatikana wakiwa wamefichwa katika nyumba namba 8 iliyopo katika Mtaa wa Nyagoloboya Kata ya Nyegezi huku watekaji wakiwa humo.
Pia soa > Mwanza: Watoto wawili wa Shule ya Blessing Model watekwa, wengine Wanne wanusurika
Hata hivyo Kamanda Mutafungwa amesema baada ya maofisa wa jeshi hilo kuzingira nyumba na kuwataka watekaji watii amri walitoka wakiwa na silaha kama mapanga na rungu hali iliyopelekea kutumia risasi.
Wewe mgerasi tulia. Ebu tupiako latest ya huko Goma.Semenya unaongea nini wewe wakati kamanda wao kawasifia ile mbaya
Katika ubora wako😅Roho mbaya tu kutoa uhai wa mwanadamu mwenzako. Wameua baba za watu, watoto wa watu waume za watu na kuacha familia zao zikibaki na huzuni na mateso.
Hii haikubaliki kabisa Serikali iwachukulie hao polisi hatua kali sana kwa umwagaji huu wa damu.
Wahalifu nao wana haki ya kuishi na kufarahia matunda ya maendeleo CCM imeiletea taifa letu.
R.I.P watekaji.
Nyau de adriz
Hawakuwa na silaa za moto,walikuwa na mapanga na runguKipindi wenda zao wakimiminiwa vyuma hao watoto walikuwa wapi ili wao wasiathirike?
Maana ni lazima wangewafanya watoto kama kinga, au askari wetu waokozi walizama humohumo ndani ya nyumba au majamaa yalitimua mbio baada ya kubainika na hukohuko yakamiminiwa njugu?
Halafu wewe unaonekana mgomvi sana tuliamo kidogoWewe mgerasi tulia. Ebu tupiako latest ya huko Goma.
Hahaha mkuuHalafu wewe unaonekana mgomvi sana tuliamo kidogo
Hili swali linatokana na nini maana nimeshindwa kukuelewaWangekuwa ni watoto wako ndiyo wametekwa ungeuliza hayo maswali?
Wakikukuchoka ni chuma tu.Serikali haijaweka wazi.
Ila naamini IPO AMRI ya chini Kwa chini ya kuwapiga vyuma WAHALIFU WAZOEFU NA WAHALIFU watukutu,hasa hawa WA kutumia silaha.
NI idea nzuri sn,
Maana zaman hawakuogopa jela, sahivi nao wanaogopa Sana kifo.
UJAMBAZI UMEPUNGUA SANA👍