Mwanza: watoto waliotekwa wapatikana, watekaji wauawa kwa kupigwa risasi

Mwanza: watoto waliotekwa wapatikana, watekaji wauawa kwa kupigwa risasi

Roho mbaya tu kutoa uhai wa mwanadamu mwenzako. Wameua baba za watu, watoto wa watu waume za watu na kuacha familia zao zikibaki na huzuni na mateso.

Hii haikubaliki kabisa Serikali iwachukulie hao polisi hatua kali sana kwa umwagaji huu wa damu.

Wahalifu nao wana haki ya kuishi na kufarahia matunda ya maendeleo CCM imeiletea taifa letu.

R.I.P watekaji.
Mtu unajiita Savage, ningeshangaa sana kama ungetoa hoja yenye mashiko.Bado zamu yako.Tena wewe ukikamatwa wakumiminie risasi za mat***k kabisa.
 
Roho mbaya tu kutoa uhai wa mwanadamu mwenzako. Wameua baba za watu, watoto wa watu waume za watu na kuacha familia zao zikibaki na huzuni na mateso.

Hii haikubaliki kabisa Serikali iwachukulie hao polisi hatua kali sana kwa umwagaji huu wa damu.

Wahalifu nao wana haki ya kuishi na kufarahia matunda ya maendeleo CCM imeiletea taifa letu.

R.I.P watekaji.

Nyau de adriz
Semenya unaongea nini wewe wakati kamanda wao kawasifia ile mbaya
 
Kazi nzuri Sana Afande Mutafungwa. Mmetoa mfano mzuri Sana Kwa sababu kama hao makhanithi wasingeuwawa wangekuwa wametengeneza precedent mbaya makhanithi wenzao wangeiga ingekuwa ndio trend .

Thanks God watoto WaPo salama
Kesho kwa magembe wewe

Kumbe na wewe una amini uwepo wa God au umejisahau tu?
 
Kazi nzuri Sana Afande Mutafungwa. Mmetoa mfano mzuri Sana Kwa sababu kama hao makhanithi wasingeuwawa wangekuwa wametengeneza precedent mbaya makhanithi wenzao wangeiga ingekuwa ndio trend .

Thanks God watoto WaPo salama
Kama ilivyo nigeria utekaji ni biashara
 
Kazi nzuri jeshi la polisi.
Kamanda Mutafungwa njoo Dar hapa kuna mabingwa wa michezo hiyo.
Kaz nzur wapi yaani unamuua mtu Kwa risasi wakati kulikuwa na uwezo wa kuwakamata wakiwa hai Ili watoe taarifa zaid .
 
Kaz nzur wapi yaani unamuua mtu Kwa risasi wakati kulikuwa na uwezo wa kuwakamata wakiwa hai Ili watoe taarifa zaid .
Wangekuwa wezi wa kawida sawa utawapeleka kwa hakimu wakajitetee, lakini unateka vitoto kisha unataka wapelekwe polisi kama bibi na bwana harusi !! hapana.
Chapa risasi tu mambo yaishe.
 
Serikali haijaweka wazi.

Ila naamini IPO AMRI ya chini Kwa chini ya kuwapiga vyuma WAHALIFU WAZOEFU NA WAHALIFU watukutu,hasa hawa WA kutumia silaha.

NI idea nzuri sn,
Maana zaman hawakuogopa jela, sahivi nao wanaogopa Sana kifo.

UJAMBAZI UMEPUNGUA SANA👍
Safi
 
Kipindi wenda zao wakimiminiwa vyuma hao watoto walikuwa wapi ili wao wasiathirike?
Maana ni lazima wangewafanya watoto kama kinga, au askari wetu waokozi walizama humohumo ndani ya nyumba au majamaa yalitimua mbio baada ya kubainika na hukohuko yakamiminiwa njugu?
Wangekuwa ni watoto wako ndiyo wametekwa ungeuliza hayo maswali?
 
Back
Top Bottom