Fahad Abdallah
Member
- May 8, 2020
- 93
- 327
Mtu unajiita Savage, ningeshangaa sana kama ungetoa hoja yenye mashiko.Bado zamu yako.Tena wewe ukikamatwa wakumiminie risasi za mat***k kabisa.Roho mbaya tu kutoa uhai wa mwanadamu mwenzako. Wameua baba za watu, watoto wa watu waume za watu na kuacha familia zao zikibaki na huzuni na mateso.
Hii haikubaliki kabisa Serikali iwachukulie hao polisi hatua kali sana kwa umwagaji huu wa damu.
Wahalifu nao wana haki ya kuishi na kufarahia matunda ya maendeleo CCM imeiletea taifa letu.
R.I.P watekaji.
Hao madogo ni wa English medium. Sijui wangekuwa wa St Abdallah ama Kayumba hao polisi wangepotezea tu.Thanks God watoto WaPo salama
Mumeo mtekaji kauliwa,pole bibieMikono imejaa damu
Tayari nimeshakuwin kisaikolojiaMumeo mtekaji kauliwa,pole bibie
Kwani nawewe mtekaji?mbona unatetea sanaHao madogo ni wa English medium. Sijui wangekuwa wa St Abdallah ama Kayumba hao polisi wangepotezea tu.
Tayari nimeshakuwin kisaikolojiaMtu unajiita Savage, ningeshangaa sana kama ungetoa hoja yenye mashiko.Bado zamu yako.Tena wewe ukikamatwa wakumiminie risasi za mat***k kabisa.
Semenya unaongea nini wewe wakati kamanda wao kawasifia ile mbayaRoho mbaya tu kutoa uhai wa mwanadamu mwenzako. Wameua baba za watu, watoto wa watu waume za watu na kuacha familia zao zikibaki na huzuni na mateso.
Hii haikubaliki kabisa Serikali iwachukulie hao polisi hatua kali sana kwa umwagaji huu wa damu.
Wahalifu nao wana haki ya kuishi na kufarahia matunda ya maendeleo CCM imeiletea taifa letu.
R.I.P watekaji.
Nyau de adriz
Kesho kwa magembe weweKazi nzuri Sana Afande Mutafungwa. Mmetoa mfano mzuri Sana Kwa sababu kama hao makhanithi wasingeuwawa wangekuwa wametengeneza precedent mbaya makhanithi wenzao wangeiga ingekuwa ndio trend .
Thanks God watoto WaPo salama
Kama ilivyo nigeria utekaji ni biasharaKazi nzuri Sana Afande Mutafungwa. Mmetoa mfano mzuri Sana Kwa sababu kama hao makhanithi wasingeuwawa wangekuwa wametengeneza precedent mbaya makhanithi wenzao wangeiga ingekuwa ndio trend .
Thanks God watoto WaPo salama
Kaz nzur wapi yaani unamuua mtu Kwa risasi wakati kulikuwa na uwezo wa kuwakamata wakiwa hai Ili watoe taarifa zaid .Kazi nzuri jeshi la polisi.
Kamanda Mutafungwa njoo Dar hapa kuna mabingwa wa michezo hiyo.
Inashangaza sanaMapanga na rungu ndo wawaue kwa risasi
Wangekuwa wezi wa kawida sawa utawapeleka kwa hakimu wakajitetee, lakini unateka vitoto kisha unataka wapelekwe polisi kama bibi na bwana harusi !! hapana.Kaz nzur wapi yaani unamuua mtu Kwa risasi wakati kulikuwa na uwezo wa kuwakamata wakiwa hai Ili watoe taarifa zaid .
Unateka watoto ili upate nini?Mapanga na rungu ndo wawaue kwa risasi
SafiSerikali haijaweka wazi.
Ila naamini IPO AMRI ya chini Kwa chini ya kuwapiga vyuma WAHALIFU WAZOEFU NA WAHALIFU watukutu,hasa hawa WA kutumia silaha.
NI idea nzuri sn,
Maana zaman hawakuogopa jela, sahivi nao wanaogopa Sana kifo.
UJAMBAZI UMEPUNGUA SANA👍
Wangekuwa ni watoto wako ndiyo wametekwa ungeuliza hayo maswali?Kipindi wenda zao wakimiminiwa vyuma hao watoto walikuwa wapi ili wao wasiathirike?
Maana ni lazima wangewafanya watoto kama kinga, au askari wetu waokozi walizama humohumo ndani ya nyumba au majamaa yalitimua mbio baada ya kubainika na hukohuko yakamiminiwa njugu?
Kwahiyo ulitaka askari nao wabebe mapanga na visu?Mapanga na rungu ndo wawaue kwa risasi