LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,483
- 3,369
Dah! huu ni unyama wa hatari, hao wa2 inabidi watafutwe hata kwa rimote controll!, na ikibidi wanyongwe na wao!
Usiku wa kuamkia leo jijini Mwanza, kata ya Buhongwa kumetokea mauaji ya kinyama. Mauaji hayo yamefanywa leo saa kumi usiku. Watu wa tatu wa familia moja akiwemo Mtoto wa miezi saba (7) waliuwawa kikatili, kwa kunyongwa, ndani ya nyumba yao na watu wasiojulikana. Kwa habari za awali ni kwamba, watekelezaji wa mauji hayo walifanikiwa kuingia ndani ya nyumba hiyo pasi na kuvunja mlango. Licha ya nyumba ya marehemu hao kuzungukwa na nyumba zingine. Hata hivyo hakuna aliyefanikiwa kutoka ama kusikia wakati unyama huo ukiendelea. Kila aliyeulizwa alisema hajui chochote juu ya tukio hilo. Mama na mtoto wa miezi 7 walinyongwa, baba akachinjwa! Miili ya marehemu hao bado ipo ndani ya nyumba ikisubiri uchunguzi zaidi. Askari nao wamefika eneo la tukio na uchunguzi unaendelea.
Source: ITV Breaking News
My concern: Je, mtoto wa miezi 7 alikuwa na ugomvi na nani hadi na yeye kunyongwa?
Too bad if it is true!
Dah! huu ni unyama wa hatari, hao wa2 inabidi watafutwe hata kwa rimote controll!, na ikibidi wanyongwe na wao!
Usiku wa kuamkia leo jijini Mwanza, kata ya Buhongwa kumetokea mauaji ya kinyama. Mauaji hayo yamefanywa leo saa kumi usiku.
Watu wa tatu wa familia moja akiwemo Mtoto wa miezi saba (7) waliuwawa kikatili, kwa kunyongwa, ndani ya nyumba yao na watu wasiojulikana. Kwa habari za awali ni kwamba, watekelezaji wa mauji hayo walifanikiwa kuingia ndani ya nyumba hiyo pasi na kuvunja mlango.
Licha ya nyumba ya marehemu hao kuzungukwa na nyumba zingine. Hata hivyo hakuna aliyefanikiwa kutoka ama kusikia wakati unyama huo ukiendelea. Kila aliyeulizwa alisema hajui chochote juu ya tukio hilo. Mama na mtoto wa miezi 7 walinyongwa, baba akachinjwa!
Miili ya marehemu hao bado ipo ndani ya nyumba ikisubiri uchunguzi zaidi. Askari nao wamefika eneo la tukio na uchunguzi unaendelea.
Source: ITV Breaking News
My concern: Je, mtoto wa miezi 7 alikuwa na ugomvi na nani hadi na yeye kunyongwa?
Kama huyo muuaji alikuwa ni fundi kaitwa na familia hiyo aje awajengee nyumba,kuna possibility familia ilikuwa na kahela,jamaa atakuwa amepiga kahela amesepa. #najaribukujengapicha #
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Sometimes kwenye visasi huwa wanahakikisha hata mtoto habaki ili asije lipiza kisasi.Someone is behind this sio wizi tu hawawezi kuuwa mpaka kichanga hakina hata kosa lolote