Mwanzilishi wa jina "Mkuu" kwenye majukwaa Mungu anakuona.

ila kama neno mkuu likimaanisha heshima ya great thinker basi halitachagua umri hata hao madogo kama watajitahidi kuwa na viwango vya great thinkers watapewa cheo hicho.
mf. wilaya fulani fulani sasa hivi watoto wadogo wanadondoshewa saluti na baba zao!
 
mkuu inaonekana unachukia hili jina eeeeh

did i just call u mkuu? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…