- Thread starter
- #21
Jifunze kuelewa lugha ya picha katika uwasilishaji mada!!walevi wamenyima litwenty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kuelewa lugha ya picha katika uwasilishaji mada!!walevi wamenyima litwenty
Situmii kilevi chochote hata Bob Marley situmiiMkuu hapo kwenye NB. Ndio kusema hutumiagi kilevi CHOCHOTE 😊
Kwa hiyo umeanzisha TAG kwenye Jamiiforumns?Tunakoelekea utaanza kutufundisha kulialia bila sababu na kukemea upepo.Jifunze kuelewa lugha ya picha katika uwasilishaji mada!!
Nimevunja Sheria ipi?Kwa hiyo umeanzisha TAG kwenye Jamiiforumns?Tunakoelekea utaanza kutufundisha kulialia bila sababu na kukemea upepo.
Wewe unawachukia walevi kwani wananywea fedha zako?Watu msiokunywa mna matatizo makubwa sana.Kila muda mnawaza kuwasimanga wengine. 😂Nimevunja Sheria ipi?
Mtàani kwako hakuna walevi wenye urafiki wa mashaka?
Mbona unapewa Bure Pumzi ya uhai?Kwanini mwanaume unakuwa unapenda vya bure?
Kumbe nawe umo?Wewe unawachukia walevi kwani wananywea fedha zako?Watu msiokunywa mna matatizo makubwa sana.Kila muda mnawaza kuwasimanga wengine. 😂
Mimi niache kunywa kwa sababu gani?Nicheze bao au nianze biashara ya kusengenya watu na kuangalia nyendo zao?Huo muda nakuachia wewe.Mnajiita wapendwa ila ndiyo bure kabisa.Kusengenya watu tu.Kumbe nawe umo?
Kwani mlevi mwenzio akikuomba pesa kidogo, na unayo, ukimsaidia akale na familia Yako, unaona atafaidi sana au atakuzidi unaona?Hebu ngoja kwanza, hayo uliyosema wanywa soda huwa wanasaidiana.
Kwa ufupi sisi wanywaji tukikaa bar huwa tunafundishana namna ya kupata pesa na sio kupeana pesa.
Na ndio maana tukinunua ktmt huwa tunapenda tule pale pale, sio mmoja ajitokeze aseme hii nigawe kidogo niwabebee wanangu.
Kwa ufupi matatizo ya nyumbani yatabaki kuwa ya binafsi isipokuwa tu pale itakapoelezwa vingine.
Basi nisamehe ikiwa unaona nakusimanga🙏Mimi niache kunywa kwa sababu gani?Nicheze bao au nianze biashara ya kusengenya watu na kuangalia nyendo zao?Huo muda nakuachia wewe.Mnajiita wapendwa ila ndiyo bure kabisa.Kusengenya watu tu.
Kwani umewatembelea au kuishi na unaotaka kuwaita walevi(wanywaji)wote duniani ndiyo ukaja na hitimisho kwamba hawasaidiani au kupendana?Kwani mlevi mwenzio akikuomba pesa kidogo, na unayo, ukimsaidia akale na familia Yako, unaona atafaidi sana au atakuzidi unaona?
Ndivyo mlivyo.Muda wote kuongea kuhusu watu wengine tu.Ninyi shikeni biblia mkariri mistari,muite wapendwa wenzenu mpeane mbinu za kwenda mbinguni,basi!Basi nisamehe ikiwa unaona nakusimanga🙏
Mada ya walevi, wanywaji wanafuata nini?Kwani umewatembelea au kuishi na unaotaka kuwaita walevi(wanywaji)wote duniani ndiyo ukaja na hitimisho kwamba hawasaidiani au kupendana?
Tuliookoka tumefundishwa Upendo,Ndivyo mlivyo.Muda wote kuongea kuhusu watu wengine tu.Ninyi shikeni biblia mkariri mistari,muite wapendwa wenzenu mpeane mbinu za kwenda mbinguni,basi!
Kwa nini nisiwasaidie kama ninacho anachokihitaji/fedha,ushauri nk?Wewe umejijengea kichwani vitu vyako vya kufikirika utadhani unawajua watu wooooteee!Acha hizo.Utajikuta unaenda motoni kwa masengenyo halafu unayemuona mdhambi anakucheka tu akiwa anapiga tarumbeta mbinguni.Mada ya walevi, wanywaji wanafuata nini?
Wewe binafsi Huwa unawasaidia walevi wenzio?
Hayo mahubiri yako hautumii mbinu na hayana mvuto.Peleka kanisani kwako.Tuliookoka tumefundishwa Upendo,
Tungependa Mbinguni tuuingie wote.
Hata Yesu aliwahubiri walevi na wengine walimwamini na wakawa wanafunzi baada ya kuacha pombe.
Ulevi ni gereza ambalo MFUNGWA ( mlevi) hawezi jinasua mwenyewe bila msaada wetu.