Mwanzo nilidhani wanapendana, urafiki wa walevi ni wa mashaka tele!!

Mwanzo nilidhani wanapendana, urafiki wa walevi ni wa mashaka tele!!

Kwa nini nisiwasaidie kama ninacho anachokihitaji/fedha,ushauri nk?Wewe umejijengea kichwani vitu vyako vya kufikirika utadhani unawajua watu wooooteee!Acha hizo.Utajikuta unaenda motoni kwa masengenyo halafu unayemuona mdhambi anakucheka tu akiwa anapiga tarumbeta mbinguni.
Mbinguni walevi hawaingii,

Ndio maana tunawahubiri Ili waache ulevi warudi kupata muda wa fellowship ya maombi binafsi na familia Kwa ujumla.

Ubarikiwe!!
 
Hayo mahubiri yako hautumii mbinu na hayana mvuto.Peleka kanisani kwako.
Hapa JF ndipo Kanisani kwangu, imagine unaweka post Moja, wanasoma watu elfu tatu within an hour, what a coverage!!!

Mvuto ni mkubwa ndio maana umesoma na unachangia.

Ubarikiwe!!
 
Hivi mbona wanywa juice au soda huwa hawanunuliani? Ni upendo mkubwa tena usio na Shaka kumpelekea mtu kitu ambacho unajua anakipenda. Haya nyie wanywa vitu vya kuleta utitiri wa inzi na nyuki huwa mnaleteana majumbani. Kwa taarifa tu walevi au wanywaji wanapigana kampani Sana ila siyo kwenye kikao cha kumwagilia moyo.
Mungu anawahitaji walevi ,waache ulevi warudi kuhubiri INJILI.

Yesu anawapenda mno, karibuni katika Ufalme wa Mungu.

Amen
 
Hii mada nimerudia kuisomaaaa, loh!!
 
Back
Top Bottom