Mwanzo nilidhani wanapendana, urafiki wa walevi ni wa mashaka tele!!

Mbinguni walevi hawaingii,

Ndio maana tunawahubiri Ili waache ulevi warudi kupata muda wa fellowship ya maombi binafsi na familia Kwa ujumla.

Ubarikiwe!!
 
Hayo mahubiri yako hautumii mbinu na hayana mvuto.Peleka kanisani kwako.
Hapa JF ndipo Kanisani kwangu, imagine unaweka post Moja, wanasoma watu elfu tatu within an hour, what a coverage!!!

Mvuto ni mkubwa ndio maana umesoma na unachangia.

Ubarikiwe!!
 
Mungu anawahitaji walevi ,waache ulevi warudi kuhubiri INJILI.

Yesu anawapenda mno, karibuni katika Ufalme wa Mungu.

Amen
 
Hii mada nimerudia kuisomaaaa, loh!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…