Mwanzo nilijua ukiwa tajiri basi umejiepusha na kero ndogo za serikali kumbe tabu iko palepale

Mwanzo nilijua ukiwa tajiri basi umejiepusha na kero ndogo za serikali kumbe tabu iko palepale

Shida ni kuwa Ngozi Nyeusi haijiwezi yenyewe, hasa katika Uongozi na usimamizi (Management)

Ili Mbantu aendelee anamhitaji Mtu mweupe amzibue akili na kumsimamia kwa ukaribu ili asiharibu tena

Kwa Mfano hizo kero ulizoziorodhesha kwa serikali sio tatizo kabisa
Ndugu ni kweli hizi kero za makusudi kabisa, wanajenga barabara leo halafu wanafumua kesho ili wajenge tena kitu kile kile
 
Kama unakutana na hayo bado hujawa tajiri.
Hamna kitu kama hicho..labda Rais tu ndo hana kero..Mo Dewji tayari yule - alipotezwa akarudi yuko kimya, yule tajiri Telegram..France wamekamata juzi wakamuweka rumande kwa muda .
Matajiri wa hapa Bongo kutwa kucha kujipendekeza kwa serikali au kujiunfa CCM hata kama hawapendi ili mambo yao yaende - kero zote hizi.
Roman Abramovich - tajiri wa Chelsea - kalazimishwa kuuza timu aipendayo, wamekamata mali zake n.k.
Dangote juzi hapa alikua analalamika kama mtoto hana cha kufanya - kajenga refining kubwa Nigeria then serikali inaanza kumuhujumu.
Trump tajiri - billionaire - ex US president, current mgombea republican - walikikosa kichwa kwa risasi by milimetres, juzi hapa wamemkosakosa tena..
Mama Samia juzi kaongea kwa jazba sababu ya kero - watu wanaongea mitandaoni mpaka wanawezakupa heart attack..huyu ni Rais wa nchi, tajiri pia kw sasa.
Mifano ni mingi.
Achilia mbali kero za kuombwa bahasha, TRA.n.k
KERO ZIKO PALEPALE TU..tena ukiwa tajiri ndo hatari zaidi..
 
Unaweza kusema labda kwa vile mtu umepambana umetajirika basi utakuwa mbali na kero za serikali kumbe tabu iko palepale

  • Unakimbia kero ya kupanda mwendokasi kwa kununua unakutana na kero ya barabara mbovu na foleni
  • Unakimbia kero ya kupanga unaamua kujenga eneo zuri la makazi unakutana na kero ya mtu kafungua kanisa linapiga kelele usiku kucha na serikali iko kimya
  • Unaamua kufungua biashara unakutana na wasimamizi wa sheria ambao hawafuati sheria
  • Unaamua kugombea unakutana na wagombea wenzio ambao hawategemei ushindi kupitia sanduku la kura
Yaani unawaza sijui shida iko wapi

Miundo mbinu inajengwa leo kesho inafumuliwa tena ili ijengwe tena almradi tu mtukere watumiaji wa barabara
Tabu iko pale pale😂😂
 
Kero nyingine inayokuwa kwa kasi ni kutujazia Frame kila kona na kuharibu muonekano wa Majiji na Mikoa
Bora hizo zinavumilika lakini kuna zile za waziwazi kabisa ambazo ni makusudi ya serikali kutokuwajibika!
 
Unaweza kusema labda kwa vile mtu umepambana umetajirika basi utakuwa mbali na kero za serikali kumbe tabu iko palepale

  • Unakimbia kero ya kupanda mwendokasi kwa kununua magari binafsi lakini unakutana na kero ya barabara mbovu, mashimo na foleni
  • Unakimbia kero ya kupanga unaamua kujenga nyumba eneo zuri la makazi unakutana na kero ya mtu kafungua kanisa linapiga kelele usiku kucha na serikali iko kimya
  • Unaamua kufungua biashara unakutana na wasimamizi wa sheria ambao hawafuati sheria kabisa
  • Unaamua kugombea unakutana na wagombea wenzio ambao hawategemei ushindi kupitia sanduku la kura
  • Unaamua kuchangia mfuko wa hifadhi ya jamii ili ukistaafu upate mafao, lakini ukistaafu wanakwambia watakupa kidogo kidogo mafao yako
  • Unaamua kwenda kutafta hakibmahakamani unakutana na DPP hana nia ya kuendelea na kesi anaifuta
  • Unaamua haya basi ngoja nitulie nyumbani tu unakutana tena na wakata umeme, kata washa kata washa yaani kero extremely
Yaani unawaza sijui shida iko wapi, tulikosea wapi! Ibada kama zote lakini viongozi hawabadiliki!

Miundombinu inajengwa leo kesho inafumuliwa tena ili ijengwe tena almradi tu mtukere watumiaji wa barabara
Hamna kitu kama hicho..labda Rais tu ndo hana kero..Mo Dewji tayari yule - alipotezwa akarudi yuko kimya, yule tajiri Telegram..France wamekamata juzi wakamuweka rumande kwa muda .
Matajiri wa hapa Bongo kutwa kucha kujipendekeza kwa serikali au kujiunfa CCM hata kama hawapendi ili mambo yao yaende - kero zote hizi.
Roman Abramovich - tajiri wa Chelsea - kalazimishwa kuuza timu aipendayo, wamekamata mali zake n.k.
Dangote juzi hapa alikua analalamika kama mtoto hana cha kufanya - kajenga refining kubwa Nigeria then serikali inaanza kumuhujumu.
Trump tajiri - billionaire - ex US president, current mgombea republican - walikikosa kichwa kwa risasi by milimetres, juzi hapa wamemkosakosa tena..
Mama Samia juzi kaongea kwa jazba sababu ya kero - watu wanaongea mitandaoni mpaka wanawezakupa heart attack..huyu ni Rais wa nchi, tajiri pia kw sasa.
Mifano ni mingi.
Achilia mbali kero za kuombwa bahasha, TRA.n.k
KERO ZIKO PALEPALE TU..tena ukiwa tajiri ndo hatari zaidi..
ni ubatili mtupu, kila kitu ni ubatili.

MHUBIRI 1:2

“Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili.

— Mhubiri 1:2 (Biblia Takatifu)
 
ni ubatili mtupu, kila kitu ni ubatili.

MHUBIRI 1:2

“Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili.

— Mhubiri 1:2 (Biblia Takatifu)
Sisi tunazungumzia kero! ...ni kweli ni ubatili lakini kwani hizo kero za hovyo ziwek katika nch zetu tu!?

Hilo andiko lako umelitumia pasipo sahihi tofautisha KERO na ANASA!

Bibilia kupitia mhubiri alisema hivyo ili binadamu wasifanye ANASA na kumsahau MUNGU!

Hapa tunajadili kero!
Kero ambazo hata ukiamua kufuatilia kibari chakufungua kanisa sehem sahihi utakutana na watoa huduma wanaokupa kero na usumbufu usiyokuwa na kichwa wala mguu
 
Sisi tunazungumzia kero! ...ni kweli ni ubatili lakini kwani hizo kero za hovyo ziwek katika nch zetu tu!?

Hilo andiko lako umelitumia pasipo sahihi tofautisha KERO na ANASA!

Bibilia kupitia mhubiri alisema hivyo ili binadamu wasifanye ANASA na kumsahau MUNGU!

Hapa tunajadili kero!
Kero ambazo hata ukiamua kufuatilia kibari chakufungua kanisa sehem sahihi utakutana na watoa huduma wanaokupa kero na usumbufu usiyokuwa na kichwa wala mguu
unafahamu maana ya neno batili? ubatili ni anasa?
 
Nimekwambia neno ubatili limetumika kuonya watu wasiendekeze ANASA ...usijidai bibilia unasoma peke yako!

Hapa tunazungumzia KERO za makusudi zinazoletwa na uzembe
neno linasema mambo yote ni ubatili mark the words "mambo yote"!
unakwama wapi mkuu

dunia yote haina lolote la maana kwa kuwa dunia yote yakaa chini ya yule mwovu (shetani) 1YOHANA 5:19

DUNIA YENYEWE NI BATILI!!!!!!

kero duniani zitakuwepo milele. ndio maana Bwana Yesu alienda kutuandalia makao mbinguni!

ni mbinguni tu ambako kutakuwa hakuna kero.
 
Unaweza kusema labda kwa vile mtu umepambana umetajirika basi utakuwa mbali na kero za serikali kumbe tabu iko palepale

  • Unakimbia kero ya kupanda mwendokasi kwa kununua magari binafsi lakini unakutana na kero ya barabara mbovu, mashimo na foleni
  • Unakimbia kero ya kupanga unaamua kujenga nyumba eneo zuri la makazi unakutana na kero ya mtu kafungua kanisa linapiga kelele usiku kucha na serikali iko kimya
  • Unaamua kufungua biashara unakutana na wasimamizi wa sheria ambao hawafuati sheria kabisa
  • Unaamua kugombea unakutana na wagombea wenzio ambao hawategemei ushindi kupitia sanduku la kura
  • Unaamua kuchangia mfuko wa hifadhi ya jamii ili ukistaafu upate mafao, lakini ukistaafu wanakwambia watakupa kidogo kidogo mafao yako
  • Unaamua kwenda kutafta hakibmahakamani unakutana na DPP hana nia ya kuendelea na kesi anaifuta
  • Unaamua haya basi ngoja nitulie nyumbani tu unakutana tena na wakata umeme, kata washa kata washa yaani kero extremely
Yaani unawaza sijui shida iko wapi, tulikosea wapi! Ibada kama zote lakini viongozi hawabadiliki!

Miundombinu inajengwa leo kesho inafumuliwa tena ili ijengwe tena almradi tu mtukere watumiaji wa barabara
bado hujawa tajiri
 
neno linasema mambo yote ni ubatili mark the words "mambo yote"!
unakwama wapi mkuu

dunia yote haina lolote la maana kwa kuwa dunia yote yakaa chini ya yule mwovu (shetani) 1YOHANA 2:19

DUNIA YENYEWE NI BATILI!!!!!!

kero duniani zitakuwepo milele. ndio maana Bwana Yesu alienda kutuandalia makao mbinguni!

ni mbinguni tu ambako kutakuwa hakuna kero.
Kwahiyo huo ubatili unakujaje kwenye kero za kuutumia huo ubatilj?

Kwaninj nchi za wrnzetu huo ubatili hauna kero za makusudi kama hapa kwetu?
Au wao ubatili wao haupo duniani kama sisi?
 
Kwahiyo huo ubatili unakujaje kwenye kero za kuutumia huo ubatilj?

Kwaninj nchi za wrnzetu huo ubatili hauna kero za makusudi kama hapa kwetu?
Au wao ubatili wao haupo duniani kama sisi?
Nenda kasome Bible tena ndugu ujue namna ya kuitumia!

Kuna sehem ya kuomba na sehem ya kuonya na kukemea! Kero za makusudi hazihitaji maombi bali maonyo na makatazo
 
Unaweza kusema labda kwa vile mtu umepambana umetajirika basi utakuwa mbali na kero za serikali kumbe tabu iko palepale

  • Unakimbia kero ya kupanda mwendokasi kwa kununua magari binafsi lakini unakutana na kero ya barabara mbovu, mashimo na foleni
  • Unakimbia kero ya kupanga unaamua kujenga nyumba eneo zuri la makazi unakutana na kero ya mtu kafungua kanisa linapiga kelele usiku kucha na serikali iko kimya
  • Unaamua kufungua biashara unakutana na wasimamizi wa sheria ambao hawafuati sheria kabisa
  • Unaamua kugombea unakutana na wagombea wenzio ambao hawategemei ushindi kupitia sanduku la kura
  • Unaamua kuchangia mfuko wa hifadhi ya jamii ili ukistaafu upate mafao, lakini ukistaafu wanakwambia watakupa kidogo kidogo mafao yako
  • Unaamua kwenda kutafta hakibmahakamani unakutana na DPP hana nia ya kuendelea na kesi anaifuta
  • Unaamua haya basi ngoja nitulie nyumbani tu unakutana tena na wakata umeme, kata washa kata washa yaani kero extremely
Yaani unawaza sijui shida iko wapi, tulikosea wapi! Ibada kama zote lakini viongozi hawabadiliki!

Miundombinu inajengwa leo kesho inafumuliwa tena ili ijengwe tena almradi tu mtukere watumiaji wa barabara
More money more problems...
 
Kwahiyo huo ubatili unakujaje kwenye kero za kuutumia huo ubatilj?

Kwaninj nchi za wrnzetu huo ubatili hauna kero za makusudi kama hapa kwetu?
Au wao ubatili wao haupo duniani kama sisi?
pointi yangu ya msingi ni kuwa kila kitu duniani kina kasoro yake haijalishi ni nchi ipi. Duniani ni duniani tu, kero zitaendelea kuwepo tu. Duniani sio peponi.

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Back
Top Bottom