Mwanzo wa kufeli kiuchumi Serikali ya awamu ya sita

Mwanzo wa kufeli kiuchumi Serikali ya awamu ya sita

Maisha yalikuwa hivi hivi toka awamu ya tano. Tofauti ni vigelegele vimepungua.
Acha uzwazwa,hawamu ya Tano, tulikuwa tunanunua mfuko wa mbolea elfu 45,000/Sasahivi hawamu ya sita tunanunua 130,000/nondo mm 18 tulinunua 18,000 Sasahivi 27,000, Mchele tulinunua 1300, Sasahivi 2000, mafuta ya kula ndio usiseme kidumu cha lita 1cha korie tulikuwa tunanunua 3500 hadi 4000, Sasahivi 7000,kila kitu kimepanda baada ya kibibi kushika madaraka, Sasahivi anasingizia vita ya Ukraine, wakati vitu vilisha panda siku nyingi.
 
-Serikali ibane matumizi yasiyo muhimu
-Rais Uhuru Kenyatta,Jana ameidhinisha kuhamisha fedha kutoka kwenye mfuko Mkuu wa Serikali (Consolidated Fund) kwa ajili ya kutoa ruzuku kwa waagizaji wa bidhaa za mafuta,kwa lengo la kuzuia upandishaji wa bidhaa za petrol
-Waziri wa fedha wetu Dr Mwigulu ameshindwa kumshauri Rais njia sahihi za kukabiliana na tatizo na Covid-19 na Vita ya Ukraine.
-Serikali ifirikirie kupunguza baadhi ya kodi na ushuru unaotozwa kwenye mafuta(VAT,Ewura Levy etc)

Ushauri
-Serikali iangalie upya suala la kupanda kwa Bei za mafuta
 
Acha uzwazwa,hawamu ya Tano, tulikuwa tunanunua mfuko wa mbolea elfu 45,000/Sasahivi hawamu ya sita tunanunua 130,000/nondo mm 18 tulinunua 18,000 Sasahivi 27,000, Mchele tulinunua 1300, Sasahivi 2000, mafuta ya kula ndio usiseme kidumu cha lita 1cha korie tulikuwa tunanunua 3500 hadi 4000, Sasahivi 7000,kila kitu kimepanda baada ya kibibi kushika madaraka, Sasahivi anasingizia vita ya Ukraine, wakati vitu vilisha panda siku nyingi.
Hizo bei hata enzi za Jakaya za ruzuku hazikuwepo kwa hiyo acha uongo.
 
-Serikali ibane matumizi yasiyo muhimu
-Rais Uhuru Kenyatta,Jana ameidhinisha kuhamisha fedha kutoka kwenye mfuko Mkuu wa Serikali (Consolidated Fund) kwa ajili ya kutoa ruzuku kwa waagizaji wa bidhaa za mafuta,kwa lengo la kuzuia upandishaji wa bidhaa za petrol
-Waziri wa fedha wetu Dr Mwigulu ameshindwa kumshauri Rais njia sahihi za kukabiliana na tatizo na Covid-19 na Vita ya Ukraine.
-Serikali ifirikirie kupunguza baadhi ya kodi na ushuru unaotozwa kwenye mafuta(VAT,Ewura Levy etc)

Ushauri
-Serikali iangalie upya suala la kupanda kwa Bei za mafuta
Kama huyo mwigulu mi ndo simuelewi kabisaaa
 
Tuamke sasa tunapelekeshwa mnoo

Mkuu waswahili ni kama kenge,,, hadi Damu zitoke ndio wanaelewa...

Serikali inachofanya sasa ni kuwatoa damu kenge ili wajue wameumia,,,, Bidhaa zikipanda kuna namna kila mwananchi ataelewa nani Mchawi..

Hapo sasa tunaweza fanya maamuzi magumu na hata ukiwaeleza watu itakuwa rahisi kuelewa
 
Salam kwa Jamhuri

Kama raia wa kawaida mwenye mamlaka kamili kulinda na kuisimamia nchi yangu sitasita kuusema ukweli ninaoushuhudia na kuuchakata kichwani mwangu kisha kushauri inapobidi kutenda.

Dhahiri shahiri Serikali hii ya awamu ya sita haikujiandaa kwa lolote kuwepo madarakani, hivyo si ajabu kukosa muelekeo sahihi kuichumi kwa sababu:
1. Mitazamo ya awamu ya 5 na 6 ni tofauti na ilipaswa kuendeleza.
2. Inawezekana awamu ya 5 ilikuwa na friction nyingi kuliko uhalisia.
3. Hata sasa kuna mgongano wa ki ideology kwenye kuendesha Serikali.

Wakati awamu hii inashika hatamu ilijikita katika kufungua nchi pamoja kuomba mikopo na misaada na lakushangaza ilifanikiwa kupata mkopo mkubwa kuliko kutokea Jamhuri ya Tanzania.

Serikali imeshindwa kuelewa tatizo la nchi yetu si kupata mikopo misaada ama makusanyo bali ni usimamizi wake. Mega project hazieleweki hatma yake mpaka sasa.

Sasa impact ya hela zilizoingia bado hazionekani, mdororo wa uchumi unazidi kuongezeka ikiwa hakuna matumani.

Hakuna matumaini kwa sababu, mwazo tunalalamika na mifumuko ya bei inayosababisha ugumu wa maisha ilikaa kimya baadaye sababu ikawa haikujiandaa na vita ya Urusi na Ukrene (kisingizio) ambayo tulionja joto yake mapema wiki ya pili ya vita.

Juzi mama akafichua tulichofichwa kwamba hata uchumi wa kati tulishadodoka chaliii...

Sasa awali ya yote tulishaanzishia mitozo kedekede kabla sasa, je huko mbele Serikali hii imejipangaje kututumikia sisi wenye nchi tuliowapa dhamana kuboresha uchumi wetu?

Hii hali mbaya tunayoipitia isipo kuja na jawabu kabla hujawajibika wewe Mh. Rais unaebeba dhamana ya Watanzania wote tunakuomba uwajibishe Baraza la Mawaziri wako ama washauri wako wa uchumi.

Watu wamechoshwa na siasa za kuremba makaburi wakati ndani ni uozo, tunakutana uwajibike kweli kweli hii tabia ya kutengeneza sababu ya kila tatizo tumechoka tunataka suluhisho.

#kaziendelee!
Hivi unavuta bangi ya mbegu au ya majani?
 
Mkuu waswahili ni kama kenge,,, hadi Damu zitoke ndio wanaelewa...

Serikali inachofanya sasa ni kuwatoa damu kenge ili wajue wameumia,,,, Bidhaa zikipanda kuna namna kila mwananchi ataelewa nani Mchawi..

Hapo sasa tunaweza fanya maamuzi magumu na hata ukiwaeleza watu itakuwa rahisi kuelewa
Kweli makenge yenyewe mtaani yanasema hata vipande vip watakula tuu
 
Salam kwa Jamhuri

Kama raia wa kawaida mwenye mamlaka kamili kulinda na kuisimamia nchi yangu sitasita kuusema ukweli ninaoushuhudia na kuuchakata kichwani mwangu kisha kushauri inapobidi kutenda.

Dhahiri shahiri Serikali hii ya awamu ya sita haikujiandaa kwa lolote kuwepo madarakani, hivyo si ajabu kukosa muelekeo sahihi kuichumi kwa sababu:
1. Mitazamo ya awamu ya 5 na 6 ni tofauti na ilipaswa kuendeleza.
2. Inawezekana awamu ya 5 ilikuwa na friction nyingi kuliko uhalisia.
3. Hata sasa kuna mgongano wa ki ideology kwenye kuendesha Serikali.

Wakati awamu hii inashika hatamu ilijikita katika kufungua nchi pamoja kuomba mikopo na misaada na lakushangaza ilifanikiwa kupata mkopo mkubwa kuliko kutokea Jamhuri ya Tanzania.

Serikali imeshindwa kuelewa tatizo la nchi yetu si kupata mikopo misaada ama makusanyo bali ni usimamizi wake. Mega project hazieleweki hatma yake mpaka sasa.

Sasa impact ya hela zilizoingia bado hazionekani, mdororo wa uchumi unazidi kuongezeka ikiwa hakuna matumani.

Hakuna matumaini kwa sababu, mwazo tunalalamika na mifumuko ya bei inayosababisha ugumu wa maisha ilikaa kimya baadaye sababu ikawa haikujiandaa na vita ya Urusi na Ukrene (kisingizio) ambayo tulionja joto yake mapema wiki ya pili ya vita.

Juzi mama akafichua tulichofichwa kwamba hata uchumi wa kati tulishadodoka chaliii...

Sasa awali ya yote tulishaanzishia mitozo kedekede kabla sasa, je huko mbele Serikali hii imejipangaje kututumikia sisi wenye nchi tuliowapa dhamana kuboresha uchumi wetu?

Hii hali mbaya tunayoipitia isipo kuja na jawabu kabla hujawajibika wewe Mh. Rais unaebeba dhamana ya Watanzania wote tunakuomba uwajibishe Baraza la Mawaziri wako ama washauri wako wa uchumi.

Watu wamechoshwa na siasa za kuremba makaburi wakati ndani ni uozo, tunakutana uwajibike kweli kweli hii tabia ya kutengeneza sababu ya kila tatizo tumechoka tunataka suluhisho.

Nakubaliana nawe kuwa tatizo siyo misaada, mikopo wala makusanyo ! Bali ni mipango mizuri na usimamizi mzuri wa kisayansi na kitaalam wa miradi yote ya Taifa.

Salam kwa Jamhuri

Kama raia wa kawaida mwenye mamlaka kamili kulinda na kuisimamia nchi yangu sitasita kuusema ukweli ninaoushuhudia na kuuchakata kichwani mwangu kisha kushauri inapobidi kutenda.

Dhahiri shahiri Serikali hii ya awamu ya sita haikujiandaa kwa lolote kuwepo madarakani, hivyo si ajabu kukosa muelekeo sahihi kuichumi kwa sababu:
1. Mitazamo ya awamu ya 5 na 6 ni tofauti na ilipaswa kuendeleza.
2. Inawezekana awamu ya 5 ilikuwa na friction nyingi kuliko uhalisia.
3. Hata sasa kuna mgongano wa ki ideology kwenye kuendesha Serikali.

Wakati awamu hii inashika hatamu ilijikita katika kufungua nchi pamoja kuomba mikopo na misaada na lakushangaza ilifanikiwa kupata mkopo mkubwa kuliko kutokea Jamhuri ya Tanzania.

Serikali imeshindwa kuelewa tatizo la nchi yetu si kupata mikopo misaada ama makusanyo bali ni usimamizi wake. Mega project hazieleweki hatma yake mpaka sasa.

Sasa impact ya hela zilizoingia bado hazionekani, mdororo wa uchumi unazidi kuongezeka ikiwa hakuna matumani.

Hakuna matumaini kwa sababu, mwazo tunalalamika na mifumuko ya bei inayosababisha ugumu wa maisha ilikaa kimya baadaye sababu ikawa haikujiandaa na vita ya Urusi na Ukrene (kisingizio) ambayo tulionja joto yake mapema wiki ya pili ya vita.

Juzi mama akafichua tulichofichwa kwamba hata uchumi wa kati tulishadodoka chaliii...

Sasa awali ya yote tulishaanzishia mitozo kedekede kabla sasa, je huko mbele Serikali hii imejipangaje kututumikia sisi wenye nchi tuliowapa dhamana kuboresha uchumi wetu?

Hii hali mbaya tunayoipitia isipo kuja na jawabu kabla hujawajibika wewe Mh. Rais unaebeba dhamana ya Watanzania wote tunakuomba uwajibishe Baraza la Mawaziri wako ama washauri wako wa uchumi.

Watu wamechoshwa na siasa za kuremba makaburi wakati ndani ni uozo, tunakutana uwajibike kweli kweli hii tabia ya kutengeneza sababu ya kila tatizo tumechoka tunataka suluhisho.

#kaziendelee!
Nakubaliana na wewe kwamba tatizo siyo mikopo, misaada ama makusanyo bali ni usimamizi makini wa miradi ya Taifa. Kitaalam na kisayansi.
 
Nchi zinazojitambua👇👏👏👏
7UID.jpeg
IMG_20220402_184504_432.jpg
IMG_20220404_100611_745.jpg
AARD4K.jpeg
Mapaka(Nchi isiyojitambua)👇🐒🐒🐒
022040141919.jpg
oWG5.jpg
16493135505330.jpg
 
Back
Top Bottom