Barahambarayee
Member
- Dec 14, 2014
- 13
- 6
Ili uwatoze ada ya elfu 15 kwa kila kichwa eee alafu ukishatumiwa uanze ujinga wako wa kususa ili ubembelezwe wakati hueleweki mtu mwnyw, ENDELEA KUWATAPELI HAO WENGINE SISI BASI.
Kama umeshajitoa kwenye mafunzo hukustahili kuyasema hayo, ni wapi alishawahi kutoza ada?
Halafu unadai "SISI BASI", Wewe na nani?
Kitu kama huna interest nacho kiache kilivyo usilazimishe utawehuka.
Nenda siasani, hizi mambo popoma kama wewe huwezi archieve hata nukta.
Kumradhi Wadau kwa niliyomjib huyu kilaza kama nimewakera
Rakims whatever happened to you can happen to anybody else... Tunakwama na kuinuana,ni sehemu ya maisha case yangu mimi na wewe ilikuwa personal mpaka nilipokuja kuona ule uzi wa malalamiko mengi juu yakoSamahani Kwa Wale Waliokuwa Wakihudhuria Class Kipindi Kilichopita Hapa Nyuma Sikuwa Vizuri Kidogo Mambo Yaliingiliana Lakini Kwa Sasa Nimerudi Na Darsa Litaendelea.. M Human Not Robot...
Na mshana jr Kuhusu Suala Lako Is The Same Kwangu Pia Ningekuona Tapeli Lakini Huwezi Jua What Happens To Others Until Happened To You Suala Lako Soon Nalirekebisha I Wasnt Online Now M Back It Payback Time Mkuu...
Rakims
Rakims whatever happened to you can happen to anybody else... Tunakwama na kuinuana,ni sehemu ya maisha case yangu mimi na wewe ilikuwa personal mpaka nilipokuja kuona ule uzi wa malalamiko mengi juu yako
Sikuhukumu lakini hukutumia njia sahihi kuondoka kwenye mkwamo, umeitia doa kubwa reputation yako Rakims na pengine meditation...but you can still make it
Don payback anything to me fanya tu kitu kimoja warudie wale wenye malalamiko nawe usawazishe nao.....
Hakuna Anaenilalamikia Zaidi Ya Mtu Mmoja Ambae Kaanzisha Uzi Wa Malalamiko.. Nae Si Mwanafunzi wangu whatsapp bali ni kiumbe alietoka jamii forum na kuniomba meeting... we talked too much amenizoea nimemfundisha short na vichwa vingi vya habari nilimuonyesha...
the problem is! siku ya kwanza alianza kutaka mambo makubwa like how to bet wining some jackpots how to hurt others brah brah brah!! hakufahamu kwamba mtu anaezungumza nae ni psychic na ilichukua short time kuitambua aura yake coz baada ya salamu hakuuliza hata habari zingine na nini swali lake la kwanza aliniuliza what colour of aura is he? hapo ndipo nikaanza kujikinga nae kwa kumdanganya... kwamba i cant read auras at noon...
kitu ambacho si kweli akauliza mengi nikamjibu alikuwa kwenye mwanga nikaisoma aura yake ilikuwa ni dark purple but alivyonipa chance kuchange position nikaiona it was a black aura... totally black..
ungekuwa unafahamu vyema aura colours ungemuomba meeting ukathibitisha.. na ungefahamu what black auras are capable of hata wewe ungekubali akuite tapeli kuliko kumfundisha....
Maana The Last Thing Alichonambia Ni Kwamba Laiti Kama Ningemfundisha? angeanza na mimi? you wanna teach him? Go On...
"Rakims"
Kama umeshajitoa kwenye mafunzo hukustahili kuyasema hayo, ni wapi alishawahi kutoza ada?
Halafu unadai "SISI BASI", Wewe na nani?
Kitu kama huna interest nacho kiache kilivyo usilazimishe utawehuka.
Nenda siasani, hizi mambo popoma kama wewe huwezi archieve hata nukta.
Kumradhi Wadau kwa niliyomjib huyu kilaza kama nimewakera
Nafasi Bado Zipo WHATSAPP na watu wanaungwa kama kawaida
anhaa ila wanaotukana waachwe?
still bado unanitaka nizungumze? why dont you do ur things?
I have no respect to people of your kind...you came to me on bended knees pretending to be a saint...! And what did I get from you? Stupid posts n replies calling me munafiq n so n so...! I kept quite n you thought I am an amateur...!stupid little idiot jus know that this is jus the beginning...!!!
Ok Keep Bringing Them And One Day When You Woke Up N You Will Know Your Mistake And Wont Have A Chance To Correct Your Mistake I Knew Mine, Time For You To Wake Up Or Keep Dreaming....
"Rakims"
My mistake was to assist a thanks less little sonofabitch which I don't regret anyway
Ok Keep Bringing Them And One Day When You Woke Up N You Will Know Your Mistake And Wont Have A Chance To Correct Your Mistake I Knew Mine, Time For You To Wake Up Or Keep Dreaming....
"Rakims"