Mwanzo wa meditation

Mwanzo wa meditation

Hiyo hutokea pale MTU sense zake zinapoanza kuingia astral planet uoga wa bure mkuu,

Rakims
kuna hatari gan ya kufanya meditation bila ya mwalimu I mean peke yako na ni kwamara ya kwanza
 
kuna hatari gan ya kufanya meditation bila ya mwalimu I mean peke yako na ni kwamara ya kwanza
athari ni kutoka nje ya awareness japo haidhuru ila itakuachia question mark pale kitakapo tokea kitu Ambacho hujakisoma wala kukijua
 
Wakuu naomba nijuze hili... Kama ukiwa katuka hali hiyo akili ubongo unakua upo katika hali gani? Na utashi je? Ndio vyote vitakua vimetulia? Maana nitakua sifukirii chochote wakati huo. Inamaana nitakua unconscious? Sitapotelea huko huko? Ule ufahamu wakurudi kawaida utakujaje?
 
Wakuu naomba nijuze hili... Kama ukiwa katuka hali hiyo akili ubongo unakua upo katika hali gani? Na utashi je? Ndio vyote vitakua vimetulia? Maana nitakua sifukirii chochote wakati huo. Inamaana nitakua unconscious? Sitapotelea huko huko? Ule ufahamu wakurudi kawaida utakujaje?
Hapana huwezi kupotea kwenye akili yako mwenyewe mkuu
 
Pole na majukumu Mr, mimi nilishafika hapo kitambo ila nikajikurupua baada ya kusikia watu wanatembea chumbani kwangu ilihali nilikuwa pekeangu na nilikuwa nimefunga mlango na dirisha.
Hapo nini maana yake kaka.
nakumbuka nilisikia furaha kuu na nikaona mwanga mzuri uliotokea kwenye paji langu la uso na kupanda juu kanakwamba hauna mwisho.
Yote hayo yalitokea nikiwa nimelala chali huku nimefumba macho na kufata maelekezo ya ule uzi wako wa (JINSI YA KUTOKA NJE YA MWILI/ASTRAL PROJECTION)
hivi haya mambo yapo kweli ama..? naona kama uhayawani!
 
Back
Top Bottom