Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Tofauti zake kisiasa na viongozi wenzake ndani ya chadema Arusha na kanda ya kaskazini kwa ujumla, vimedhihirisha kuchokwa na kutohitajika kwake tena ndani ya chadema Arusha.
Anaharibu zaidi pale anapojaribu kuwainstall wafuasi, rafiki, jamaa na ndugu zake kwenye nafasi mbalimbali za uongozi wa chadema mkoa wa Arusha, huku akimshutumu msimamizi wa uchaguzi huo Benson Kigaila, kwa kuwapa nafasi na kuwaruhusu marafiki zake kuibua fujo badala ya kuwadhibiti siku ya uchaguzi.
Hili limewakera sana wana Arusha.
Na watamuadabisha tangu sasa.
Hotuba yake kwenye uchaguzi mkoa wa Arusha,
imechafua hali ya hewa zaidi, kiasi kwamba miongoni mwa viongozi waandamizi wa chadema Arusha, hivi sasa wanaruka nae mbaya sana kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kumjibu na kuelezea madudu yake yote alokua akiyafanya kuhujumu chadema, kama kiongozi wa chadema kanda ya kaskazini. Na amejikuta yuko pekeyake katika upweke wa fedheha sana kisiasa na kiuchumi. Hukuna tena wa kumtetea.
Muungwana anapitia nyakati za fedheha, halafu ndiyo hivyo tena hatakiwi uongozini chadema Arusha na kaskazini kwa ujumla, ambako alikua akijisitiri kwa kiasi fulani kiuchumi, hivi sasa hasikulizwi tena anapingwa na kudharauliwa pakubwa kila kona Arusha.
Kwa hali hiyo,
Huyo muungwana kwasasa anaweza kununuliwa na chama chochote cha siasa. Hana namna ingine ya kujisitiri. Approaching ya chama chochote kwa Lema itakua accepted kwa haraka sana. Lakini pia request ya Lema kujoin chama chochote itapokelewa tu kwani ndiyo uhuru na ustawi wa demokrasia nchini.
Ndugu mdau,
unadhani huyu muungwana atakipa kipaumbele chama gani cha siasa cha kumsitiri, kujificha na fedheha na walau aendelee kua relevant na mwenye heshima kwenye siasa za Arusha na Tanzania kwa ujumla?.π
Mungu Ibariki Tanzania.
Anaharibu zaidi pale anapojaribu kuwainstall wafuasi, rafiki, jamaa na ndugu zake kwenye nafasi mbalimbali za uongozi wa chadema mkoa wa Arusha, huku akimshutumu msimamizi wa uchaguzi huo Benson Kigaila, kwa kuwapa nafasi na kuwaruhusu marafiki zake kuibua fujo badala ya kuwadhibiti siku ya uchaguzi.
Hili limewakera sana wana Arusha.
Na watamuadabisha tangu sasa.
Hotuba yake kwenye uchaguzi mkoa wa Arusha,
imechafua hali ya hewa zaidi, kiasi kwamba miongoni mwa viongozi waandamizi wa chadema Arusha, hivi sasa wanaruka nae mbaya sana kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kumjibu na kuelezea madudu yake yote alokua akiyafanya kuhujumu chadema, kama kiongozi wa chadema kanda ya kaskazini. Na amejikuta yuko pekeyake katika upweke wa fedheha sana kisiasa na kiuchumi. Hukuna tena wa kumtetea.
Muungwana anapitia nyakati za fedheha, halafu ndiyo hivyo tena hatakiwi uongozini chadema Arusha na kaskazini kwa ujumla, ambako alikua akijisitiri kwa kiasi fulani kiuchumi, hivi sasa hasikulizwi tena anapingwa na kudharauliwa pakubwa kila kona Arusha.
Kwa hali hiyo,
Huyo muungwana kwasasa anaweza kununuliwa na chama chochote cha siasa. Hana namna ingine ya kujisitiri. Approaching ya chama chochote kwa Lema itakua accepted kwa haraka sana. Lakini pia request ya Lema kujoin chama chochote itapokelewa tu kwani ndiyo uhuru na ustawi wa demokrasia nchini.
Ndugu mdau,
unadhani huyu muungwana atakipa kipaumbele chama gani cha siasa cha kumsitiri, kujificha na fedheha na walau aendelee kua relevant na mwenye heshima kwenye siasa za Arusha na Tanzania kwa ujumla?.π
Mungu Ibariki Tanzania.