Mwanzoni mnasema mpo single baadae mnasema kuna mtu nyie wanaume mna shida gani??

Mwanzoni mnasema mpo single baadae mnasema kuna mtu nyie wanaume mna shida gani??

kadogo2

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
1,889
Reaction score
3,059
Nimekumbuka hili tukio huwaga linaniumiza sana…
Unakuta mwanaume anakuangaikia kukupata mnaenda vizuri mara anabadilika mwisho wa siku ana kwambia yeye kuna mtu yuko nae kabla yangu so ina maana mimi ni mchepuko wake

Oya kuna Kijana mmoja baada ya kuwa na kutokuelewana sana kati yetu akanifungukia hivyo.. na still anataka tuendelee kuwa wote..
Hajasema chochote kuhusu kuachana na mimi wala na huyo mwanamke wake

Najua sijamkuta single ila ndio anichane live Hii imeniuma

Kwaherini sasa 🤣🤣
 
Kwanini milio imekuwa mingi sana humu siku hizi

Wanaume mnawafanya nini hawa wanawake?
 
Nimekumbuka hili tukio huwaga linaniumiza sana…
Unakuta mwanaume anakuangaikia kukupata mnaenda vizuri mara anabadilika mwisho wa siku ana kwambia yeye kuna mtu yuko nae kabla yangu so ina maana mimi ni mchepuko wake

Oya kuna Kijana mmoja baada ya kuwa na kutokuelewana sana kati yetu akanifungukia hivyo.. na still anataka tuendelee kuwa wote..
Hajasema chochote kuhusu kuachana na mimi wala na huyo mwanamke wake

Najua sijamkuta single ila ndio anichane live Hii imeniuma

Kwaherini sasa 🤣🤣
Muda mwingi nyege tu au tamaa zinatusumbua....na kuna wanawake wazuri kweli...ukiona hamu inakujaa...

Lakini umeoa na ukimwambia atakukatalia.
 
Muda mwingi nyege tu au tamaa zinatusumbua....na kuna wanawake wazuri kweli...ukiona hamu inakujaa...

Lakini umeoa na ukimwambia atakukatalia.
Sawa mkuu mnatuumiza sana… ikitokea mwanaume amepigwa tukio huwa ninafurahi mno
 
Mwanaume mwenye mwanamke mwingine kama una akili timamu sio hadi akwambie...utajua tu
Ni kweli ila ujakutana na magwiji labda uende kwa mganga ndio ujue
 
Hamna mtu alie single sema tu anaongeza, anaupdate & anadelete watchlist yake na hii ni Kwa wote wanawake na wanaume
 
Back
Top Bottom