Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narrative zinatofautiana, but uliyosema ndio maisha ya wasanii wengi mnoHapo ameongea kiutu uzima labda hujamuelewa.
Mimi nilichomuelewa ni kwamba kule kwa Diamond kuna maisha ya show off ila pesa inayopatikana ni ndogo ukilinganisha na sasa hivi alivyojitenga na kujianzishia miradi yake binafsi
Mshahara mdogo sanaDaaaa kazi sana alijisahau au slikuwa halipwi ??
Exactly wanaishi maisha ya maigizo kwa asilimia kubwa kuliko uhalisia.Narrative zinatofautiana, but uliyosema ndio maisha ya wasanii wengi mno
Daaaaaa sawaaaa.....ila life style na wasaniiMshahara mdogo sana
Kuna shida pahala sio hivi hivi kuna mambo huambiwi sababu yanabakia ndani na watu wanaapa to the grave hawatowaambia watu mjueHawa wafanyakazi Diamond anawatoa hafu wakipata majiba wanakengeuka.
Alianza Kifesi, anakaja Huyu kishaLukamba sahivi Nyigu.
Nani alikua anamtombea mama yako ?Ukiwa karibu na msanii namba moja wa nchi lazima mademu wakushobokee.
Si ajabu mshahara wote alikuwa anat*mbea!
Hayo ni baadhi ya mambo ambayo wengi wameapa hawatoyasemaDiamond ni mbepari atakupa chakula na mavazi ili uonekane umo Ila utalala vichochoroni na hautamiliki uchumi hawa madogo wote wanaelewa
SureHayo ni baadhi ya mambo ambayo wengi wameapa hawatoyasema
Kwamba hakulipi pesa ya mshahara?Diamond ni mbepari atakupa chakula na mavazi ili uonekane umo Ila utalala vichochoroni na hautamiliki uchumi hawa madogo wote wanaelewa
Dakika na sekunde ya ngapi maana dude ni refu
Shabiki la Diamond hilo linataka kuona mtu akitoka kwa diamond ateseke na kuishiwa kabisaChai kutoka kwangu au kwa muhusika mwenyewe?
Ahsante kwa ufafanuzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo ameongea kiutu uzima labda hujamuelewa.
Mimi nilichomuelewa ni kwamba kule kwa Diamond kuna maisha ya show off ila pesa inayopatikana ni ndogo ukilinganisha na sasa hivi alivyojitenga na kujianzishia miradi yake binafsi
Hata mimi nimeona ameleta ushabikiShabiki la Diamond hilo linataka kuona mtu akitoka kwa diamond ateseke na kuishiwa kabisa
SHOW OFF MWANZO MWISHO!!! MFANO HALISI NI HILI TUKIO LA MWANADADA JOYCE MBAGA aka Nicole Berry. labda ni vyema wakawa wanapata seminar za hapa na pale za kujinga kiuchumi nk.Hapo ameongea kiutu uzima labda hujamuelewa.
Mimi nilichomuelewa ni kwamba kule kwa Diamond kuna maisha ya show off ila pesa inayopatikana ni ndogo ukilinganisha na sasa hivi alivyojitenga na kujianzishia miradi yake binafsi
Yeah huwa wanaprefer kupata misifa zaidi kuliko uhalisia na kushindwa kujijenga maisha yao ya mbeleni.SHOW OFF MWANZO MWISHO!!! MFANO HALISI NI HILI TUKIO LA MWANADADA JOYCE MBAGA aka Nicole Berry. labda ni vyema wakawa wanapata seminar za hapa na pale za kujinga kiuchumi nk.
😀😀😀Dakika na sekunde ya ngapi maana dude ni refu