watz mna vichwa vigumu , unaezaj lipwa na ukaish maisha ya madeni na bado ukamlaumu boss wako ? hapo katumi lugha ya kikubwa kuwa alikuwa halipwi kbs au halipwi kwa wakati , kiufup swala la malipo lilikuwa lina shidoooKama alikuwa analipwa na akaish maisha ya madeni thats up to him? Daimond anahusikaje tena hapo?