Tetesi: Mwekezaji aliyeikamata ndege yetu alijitoa kwenye mradi mwaka 2015 Mwigulu Nchemba ukataka kumrudisha ikashindikana. Sasa hayo madai ni ya nini?

Tetesi: Mwekezaji aliyeikamata ndege yetu alijitoa kwenye mradi mwaka 2015 Mwigulu Nchemba ukataka kumrudisha ikashindikana. Sasa hayo madai ni ya nini?

Fursakibao

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
6,813
Reaction score
11,540
Agro Eco Energy alijiondoa kwenye mradi wa sukari wa Bagamoyo 2015, huyu aliyeikamata ndege yetu ni nani? Mwigulu Nchemba tunahitaji majibu hapa.

Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian la tarehe 21 October 2015 kampuni ya The Swedish international Agency ilijitoa kwenye uwekezaji wa mradi wa sukari wa Bagamoyo, kwa kile ilichodai kuwa serikali imeshimdwa kutatua mgogoro wa ardhi uliokuwepo kati ya mwekezaji na wanainchi.

Mwaka 2015 baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa kilimo ulimwandikia barua mwekezaji ukimtaka aje kuendeleze ule mradi, baada ya mwekezaji kurejea akagonga mwamba kwani PM Majaliwa na Waziri wa Biashara na viwanda walikataa kutoa go ahead ya huo mradi.

Juhudi zilifanyika za kumuomba JPM awape amri PM na Waziri wa Viwanda na Biashara watoe go ahead lakini ziligonga mwamba.

maswali yangu kwako;

1. Licha ya kwamba eneo husika halikuwa na sifa ya huo mradi kutoka kwenye mpango ule was G8 Industrial Nations wa New Alliance For Food Security & Nutrition Initiative ulitumia vigezo gani kutaka kufufua huo mradi ukizingatia bado mgogoro wa bado haujatatuliwa?

2. Tukisema moja kwa moja unahusika katika hili sakata la ndege yetu mkiwa na nia ya kuiba mali ya umma tutakuwa tumekosea.

3. Je, unaweza kutuambia ni akina nani wako nyuma ya huu mpango kama wabia amabao walitaka serikali iwadhamini wachukue mkopo?

4. Kwanini muwekezaji hakufungua kesi kipindi hicho baada ya Serikali kukataa kuwa endorse?

Chawa mkinibu mje na facts hapa.
 
Mkuu mbona maelezo yako yamepita mule mule tu kuwa serekali ilishindwa kutimiza jukumu lake kimkataba?

Kwann serekali ikijua kabisa hilo eneo halina sifa iliingia mkataba na muwekezaji?

Unataka kulaumu watu bure tu, ilaumu serekali kwa kuingia mkataba mosi na pili kuuvunja kienyeji.

Na swala liko pale pale, HATUA NI LAZIMA ZICHUKULIWE KUWAHUKUMU WATU WANAOINGIA MIKATABA KIJINGA. Hizi hela ni nyingi sana jamani, sijui kwanini watanzania hatuumii!

Badala ya kushughulika na uzembe huu watu wanabaki kumlaumu Lissu
 
Muulizeni waziri wa ardhi yeye alikuwa afuta hati za mashamba ya watu. Magufuli alilitoa hilo shamba kwa Azam alime miwa mlipaji atakuwa yeye na sio Watanzania maskini.
 
Agro EcoEnergy and others v. TanzaniaAgro EcoEnergy Tanzania Limited, Bagamoyo EcoEnergy Limited, EcoDevelopment in Europe AB, EcoEnergy Africa AB v. United Republic of Tanzania(ICSID Case No. ARB/17/33)

Applicable IIA

Sweden - United Republic of Tanzania BIT (1999)

Nationality of the parties

Respondent State(s) Tanzania, United Republic of Home State(s) of investor Sweden

Summary of matters at issue

Details of investment
Investment of the alleged USD 52 million in developing 20,000 hectares of land to grow sugar cane and produce ethanol.
Summary of the dispute
Claims arising out of the cancellation by the Government, in 2016, of the claimants’ sugar cane and ethanol project on the grounds that it would have adverse impact on local wildlife.

SASA ONA: ALITAKA KUEKEZA 52 MILL. US$...........................sasa analipwa 165 Million US$!

Ulaaniwe Jiwe huko uliko, unyongwe mpaka ufe
 
Mkuu mbona maelezo yako yamepita mule mule tu kuwa serekali ilishindwa kutimiza jukumu lake kimkataba?

Kwann serekali ikijua kabisa hilo eneo halina sifa iliingia mkataba na muwekezaji?

Unataka kulaumu watu bure tu, ilaumu serekali kwa kuingia mkataba mosi na pili kuuvunja kienyeji.

Na swala liko pale pale, HATUA NI LAZIMA ZICHUKULIWE KUWAHUKUMU WATU WANAOINGIA MIKATABA KIJINGA. Hizi hela ni nyingi sana jamani, sijui kwanini watanzania hatuumii!

Badala ya kushughulika na uzembe huu watu wanabaki kumlaumu Lissu
Kwa mujibu wa vyanzo vya taarifa hapakuwa na mkataba bali walisaini MOU Mwaka 2006 na Mwaka 2013 mwekezaji akamilikishwa ardhi ambayo ambayo ndani yake kulikuwa na wakazi 13,000 kitendo kilicho ibua mgogoro baina ya mwekezaji na wananchi.

Baada ya wapiga dili kusgindwa kuwahamisha wananchi ndipo mwekezaji akaamua kujiondoa.

Seeikali haikuwa mbia katika huo mradi hivyo isingeweza kuwalipa watu wahame.
 
Agro EcoEnergy and others v. TanzaniaAgro EcoEnergy Tanzania Limited, Bagamoyo EcoEnergy Limited, EcoDevelopment in Europe AB, EcoEnergy Africa AB v. United Republic of Tanzania(ICSID Case No. ARB/17/33)

Applicable IIA

Sweden - United Republic of Tanzania BIT (1999)

Nationality of the parties

Respondent State(s) Tanzania, United Republic of

Home State(s) of investor Sweden

Summary of matters at issue

Details of investment
Investment of the alleged USD 52 million in developing 20,000 hectares of land to grow sugar cane and produce ethanol.
Summary of the dispute
Claims arising out of the cancellation by the Government, in 2016, of the claimants’ sugar cane and ethanol project on the grounds that it would have adverse impact on local wildlife.

SASA ONA: ALITAKA KUEKEZA 52 MILL. US$...........................sasa analipwa 165 Million US$!

Ulaaniwe Jiwe huko uliko, unyongwe mpaka ufe
MoU ilisainiwa 2003 na kumilikishwa ardhi 2013, hapa Jiwe anahusikaje? Kwani huruhusiwi kutumia akili japo kidogo? Michongo imechorwa zamani. Hebu wazia loliondo unajua imeuzwa lini na mgogoro umeibuka lini
 
Agro EcoEnergy and others v. TanzaniaAgro EcoEnergy Tanzania Limited, Bagamoyo EcoEnergy Limited, EcoDevelopment in Europe AB, EcoEnergy Africa AB v. United Republic of Tanzania(ICSID Case No. ARB/17/33)

Applicable IIA

Sweden - United Republic of Tanzania BIT (1999)

Nationality of the parties

Respondent State(s) Tanzania, United Republic of

Home State(s) of investor Sweden

Summary of matters at issue

Details of investment
Investment of the alleged USD 52 million in developing 20,000 hectares of land to grow sugar cane and produce ethanol.
Summary of the dispute
Claims arising out of the cancellation by the Government, in 2016, of the claimants’ sugar cane and ethanol project on the grounds that it would have adverse impact on local wildlife.

SASA ONA: ALITAKA KUEKEZA 52 MILL. US$...........................sasa analipwa 165 Million US$!

Ulaaniwe Jiwe huko uliko, unyongwe mpaka ufe
Duuh
 
KWAHIYO WASWEDISH NI VICHAA KUISHITAKI SERIKALI/
Please explain what is BIT so that people can follow and understand what is happening.Even the journalist who wrote the story did not understand what he was reporting about.It’s necessary to inform the public and refrain from sensation.Magufuli took the land gave it to Azam to plant sugar cane why’s Azam getting a property that belongs to investors without paying them??
 
Please explain what is BIT so that people can follow and understand what is happening.Even the journalist who wrote the story did not understand what he was reporting about.It’s necessary to inform the public and refrain from sensation.Magufuli took the land gave it to Azam to plant sugar cane why’s Azam getting a property that belongs to investors without paying them??
All said, I am not inclined to explain what you want me to do! One can make sense of this attachment
 

Attachments

Agro EcoEnergy and others v. TanzaniaAgro EcoEnergy Tanzania Limited, Bagamoyo EcoEnergy Limited, EcoDevelopment in Europe AB, EcoEnergy Africa AB v. United Republic of Tanzania(ICSID Case No. ARB/17/33)

Applicable IIA

Sweden - United Republic of Tanzania BIT (1999)

Nationality of the parties

Respondent State(s) Tanzania, United Republic of

Home State(s) of investor Sweden

Summary of matters at issue

Details of investment
Investment of the alleged USD 52 million in developing 20,000 hectares of land to grow sugar cane and produce ethanol.
Summary of the dispute
Claims arising out of the cancellation by the Government, in 2016, of the claimants’ sugar cane and ethanol project on the grounds that it would have adverse impact on local wildlife.

SASA ONA: ALITAKA KUEKEZA 52 MILL. US$...........................sasa analipwa 165 Million US$!

Ulaaniwe Jiwe huko uliko, unyongwe mpaka ufe
Unamwonea Hayati bure tu..
 
Agro Eco Energy alijiondoa kwenye mradi wa sukari wa Bagamoyo 2015, huyu aliyeikamata ndege yetu ni nani? Mwigulu Nchemba tunahitaji majibu hapa.

Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian la tarehe 21 October 2015 kampuni ya The Swedish international Agency ilijitoa kwenye uwekezaji wa mradi wa sukari wa Bagamoyo, kwa kile ilichodai kuwa serikali imeshimdwa kutatua mgogoro wa ardhi uliokuwepo kati ya mwekezaji na wanainchi.

Mwaka 2015 baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa kilimo ulimwandikia barua mwekezaji ukimtaka aje kuendeleze ule mradi, baada ya mwekezaji kurejea akagonga mwamba kwani PM Majaliwa na Waziri wa Biashara na viwanda walikataa kutoa go ahead ya huo mradi.

Juhudi zilifanyika za kumuomba JPM awape amri PM na Waziri wa Viwanda na Biashara watoe go ahead lakini ziligonga mwamba.

maswali yangu kwako;

1. Licha ya kwamba eneo husika halikuwa na sifa ya huo mradi kutoka kwenye mpango ule was G8 Industrial Nations wa New Alliance For Food Security & Nutrition Initiative ulitumia vigezo gani kutaka kufufua huo mradi ukizingatia bado mgogoro wa bado haujatatuliwa?

2.Tukisema moja kwa moja unahusika katika hili sakata la ndege yetu mkiwa na nia ya kuiba mali ya umma tutakuwa tumekosea.

3. Je, unaweza kutuambia ni akina nani wako nyuma ya huu mpango kama wabia amabao walitaka serikali iwadhamini wachukue mkopo?

4. Kwanini muwekezaji hakufungua kesi kipindi hicho baada ya Serikali kukataa kuwa endorse?

Chawa mkinibu mje na facts hapa.
Hapa ukweli haujulikani, ni mkanganyiko tupu na habari ni nyingi, wengine wanasema alinyang'anywa ardhi ambayo kwa sasa anaimiliki Barheksa

Na chanzo cha huu mgogoro ni baada ya yeye kupokonywa ardhi na kusitishiwa mkataba kinyume cha makubaliano ndipo akafungua kesi kwenye mahakama ya kimataifa

Sasa sijui tuamini lipi, mwenye kujua undani wa hili atujuze maana sarakasi ni nyingi na kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake

Bujibuji Simba Nyamaume njoo unipe habari
 
Mkuu mbona maelezo yako yamepita mule mule tu kuwa serekali ilishindwa kutimiza jukumu lake kimkataba?

Kwann serekali ikijua kabisa hilo eneo halina sifa iliingia mkataba na muwekezaji?

Unataka kulaumu watu bure tu, ilaumu serekali kwa kuingia mkataba mosi na pili kuuvunja kienyeji.

Na swala liko pale pale, HATUA NI LAZIMA ZICHUKULIWE KUWAHUKUMU WATU WANAOINGIA MIKATABA KIJINGA. Hizi hela ni nyingi sana jamani, sijui kwanini watanzania hatuumii!

Badala ya kushughulika na uzembe huu watu wanabaki kumlaumu Lissu
Dizain kama na ww ulikuwa kwenye mpango wa kupeleka ndege kwa mdai!
 
Back
Top Bottom