Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,245
- 1,732
Mambo ya simba yanakuhusu nini wewe shabiki wa kwasukwasu fc...timu lenu linashindia matikiti huko bigwa morogoroMagori huyo ni mbeba mikoba ya MO, alifukuzwa NSSF kwa ufisadi, anashirikiana na MO kuitapeli simba, zile pesa za CAF hazijulikani zimeenda wapi, aondoke mapema kabla hajaishia jela!