kichwa mbovu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 706
- 504
Hahaaaaaaaa hii kali sanaSimba inatapeliwa na Mo?
Ndio Yale yale ya Akili mali kusema Manji anaiibia Yanga na baada ya ‘Mwizi’ kujitoa, aliekuwa anaibiwa Kachoka zaidi
wengine ndio hawa eti make muyamalize kwa lipiWapigaji wanajitengenezea njia hapoView attachment 1160714
😂😂😂Atasema vitu vyote hivyo vinatoka kwa Kilomoni
Wewe gongowazi nendeni mlipe mishahara ya wachezaji kwanza ya mabingwa hayawahusu.Magori huyo ni mbeba mikoba ya MO, alifukuzwa NSSF kwa ufisadi, anashirikiana na MO kuitapeli simba, zile pesa za CAF hazijulikani zimeenda wapi, aondoke mapema kabla hajaishia jela!
genta jikite kwenye zile mada zako za kuwasema walinzi wa rais.Natambua kuwa Yeye kama Yeye alishasema kuwa anang'atuka hapo kama CEO baada ya Miezi Sita ili apatikane CEO mwingine na kama Simba SC itahitaji Mchango wake basi imtumie katika mambo makubwa na mazito hasa ya Kimaamuzi ambayo Yeye kwa Hadhi yake na Uzoefu wake mkubwa anadhani ataitendea Simba SC makubwa...
Matikiti fc yamevamia uzi, wanataka tufanane tuwe tunashindia matikiti kama wao
Hela za kusajili unatoa wewe?
Kwa aina gani ya wachezaji labda tuanzie hapo? Wewe Yanga tu.Kabla ya Mo.... Wachezaji walikuwa wanasajiliwa na nani?
Kabla ya Mo.... Wachezaji walikuwa wanasajiliwa na nani?