Mwekezaji Mo Dewji please Say something hali si Shwari ndani ya Simba SC kama tunavyolazimishwa Kuamini

Mwekezaji Mo Dewji please Say something hali si Shwari ndani ya Simba SC kama tunavyolazimishwa Kuamini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimedokezwa na Mtu wa Ndani ambaye pia ni 'Credible Source' wangu kuwa hili la Dejan Mzungu ni cha Mtoto, ila kuna Fukuto Kubwa ndani kwa ndani ila linazimwa kwa Nguvu ya Soda tu.

Nawaona taratibu sana Yanga SC wanaanza Kutoka katika Upuuzi uliopo na unaoendelea Kukomaa ndani ya Klabu yangu pendwa ya Simba na kama Injinia Hersi Said ( Rais wa Yanga SC ) hatoingiliwa na kupewa Sapoti zaidi na Matajiri wa Yanga SC nisiwe Mnafiki GENTAMYCINE naiona Yanga SC kufanikiwa kote kote katika Mpira na Maendeleo yake Kiujumla.

Kuelekea Mechi ( Derby ) na Yanga SC tarehe 23 Oktoba, 2022 baadae nitakuja na ANGALIZO kwani tayari pia nimeshapenyezewa Mkakati wa Kuisaliti Simba SC kupitia Viongozi Waandamizi Watatu na Wachezaji Sita na Wawili wa Kigeni.

Mo Dewji jitokeze sema chochote.
 
MUwekezaji kapeleka pesa kwa mandonga (mo boxing 🥊)

Nyie si mnajifanya kuhoji bilioni zipo wapi? Mara bilionea uchwara mara ana nufaika zaidi kuliko simba

Mo ni mfanyabiashara na ana angalia fursa ilipo na fursa hiyo lazima aiendeleze ili iendelee kumpa pesa Au kumlipa ata kama mwanzo I ata pata hasara

Lakini mashabiki ambao kazi porojo hawaingizi hata kumi ktk klabu ndio wajuaji na wakatishaji tamaa wawekezaji na kuamua kuingiza pesa ktk michezo mingine isiyo na kelele

Mjifunze kuwa heshimu wawekezaji wenu na pia kuchangia maendeleo ktk taasisi zenu na serikali zenu (nchi) sio kutaka vya bure wakati Hampo tayari kuchangia hata mia
 
Hahah! Mi nawakubali wote wawili pamoja na Njaakali, wanalifanya hili Jukwa kuwa alive, and frankly speaking wakati mwingine wana present very sensitive information
Jiandae kuambiwa, kuzushiwa na kusingiziwa kuwa Wewe ni Mimi GENTAMYCINE au huyo sijui MINOCYCLINE na kwamba hapa Unajipakulia tu Minyama (Unajisifu) kwani hapa JamiiForums sitakiwi Kukubalika ( Kupendwa ) na Watu bali natakiwa tu Kuchukiwa na Kudhihakiwa daima (Siku zote)

Otherwise thanks for your Credits Chief.
 
Mlimpigia Mo kelele awaachie timu yenu naona kaamua kuwajibu kwa vitendo.Kuna kila dalili Mo ndo anaachana na simba hivyo pole pole bila kupigiana kelele na mtu.Kauli ya Mo simba ilikua na maana sana kwasababu ilikua na mamlaka ya pesa nyuma yake ambayo kila mtu aliisikia na kutiii.ila sasa hivi kakaa kimya hao wengine wote wanaonana level moja sasa nani wakumkemea mwenzake.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
MASHABIKI WA SIMBA WANA MAJUNGU BALAA!

KILA KUKICHA NI KUPIKA VISTORI VYA UONGO UONGO!

MARA KAGERE NA MUGARU WAZEE WATOKE WAMETOKA!

MARA PABLO ATOKE, ZOLAN ATOKE, MZUNGU TUMEPIGWA, MATOLA MCHAWI, BARBARA ATUACHIE TIMU, ZIPO WAPI 20B....

SAA HIZI MGUNDA KAMFUKUZA DEJAN...

KUNA WATU WANAHUJUMU TIMU.
.

acheni majungu tafuteni pesa!

NB: MO DEWJI usipoanzisha TIMU yako kama Azam/Bakhressa utadhalilishwa sana na hawa MBUMBUMBU!.
 
Back
Top Bottom