Mwekezaji Mo Dewji please Say something hali si Shwari ndani ya Simba SC kama tunavyolazimishwa Kuamini

Mwekezaji Mo Dewji please Say something hali si Shwari ndani ya Simba SC kama tunavyolazimishwa Kuamini

Nimedokezwa na Mtu wa Ndani ambaye pia ni 'Credible Source' wangu kuwa hili la Dejan Mzungu ni cha Mtoto, ila kuna Fukuto Kubwa ndani kwa ndani ila linazimwa kwa Nguvu ya Soda tu.

Nawaona taratibu sana Yanga SC wanaanza Kutoka katika Upuuzi uliopo na unaoendelea Kukomaa ndani ya Klabu yangu pendwa ya Simba na kama Injinia Hersi Said ( Rais wa Yanga SC ) hatoingiliwa na kupewa Sapoti zaidi na Matajiri wa Yanga SC nisiwe Mnafiki GENTAMYCINE naiona Yanga SC kufanikiwa kote kote katika Mpira na Maendeleo yake Kiujumla.

Kuelekea Mechi ( Derby ) na Yanga SC tarehe 23 Oktoba, 2022 baadae nitakuja na ANGALIZO kwani tayari pia nimeshapenyezewa Mkakati wa Kuisaliti Simba SC kupitia Viongozi Waandamizi Watatu na Wachezaji Sita na Wawili wa Kigeni.

Mo Dewji jitokeze sema chochote.
We jamaa unashangaza kweli kweli. Wewe mwenyewe hujui kuna shida gani ila unataka MO aseme neno. Watu kama nyie mmeigeuza JF kuwa kijiwe cha kahawa.
 
Wewe na huyo popoma ni nani ni makolo zaidi unahisi?

Shida yenu huwa mtu yoyote akiwaambia ukweli mnakimbilia kumwambia yeye ni Yanga
Watched tu watazinduka mda umeenda sana
 
Nimedokezwa na Mtu wa Ndani ambaye pia ni 'Credible Source' wangu kuwa hili la Dejan Mzungu ni cha Mtoto, ila kuna Fukuto Kubwa ndani kwa ndani ila linazimwa kwa Nguvu ya Soda tu.

Nawaona taratibu sana Yanga SC wanaanza Kutoka katika Upuuzi uliopo na unaoendelea Kukomaa ndani ya Klabu yangu pendwa ya Simba na kama Injinia Hersi Said ( Rais wa Yanga SC ) hatoingiliwa na kupewa Sapoti zaidi na Matajiri wa Yanga SC nisiwe Mnafiki GENTAMYCINE naiona Yanga SC kufanikiwa kote kote katika Mpira na Maendeleo yake Kiujumla.

Kuelekea Mechi ( Derby ) na Yanga SC tarehe 23 Oktoba, 2022 baadae nitakuja na ANGALIZO kwani tayari pia nimeshapenyezewa Mkakati wa Kuisaliti Simba SC kupitia Viongozi Waandamizi Watatu na Wachezaji Sita na Wawili wa Kigeni.

Mo Dewji jitokeze sema chochote.
Simba imefeli ndani na nje ya uwanja, me Simba ila naiona Yanga ikifanya vzr kitaifa na kimataifa kwa miaka 10 mfululizo.
 
MUwekezaji kapeleka pesa kwa mandonga (mo boxing 🥊)

Nyie si mnajifanya kuhoji bilioni zipo wapi? Mara bilionea uchwara mara ana nufaika zaidi kuliko simba

Mo ni mfanyabiashara na ana angalia fursa ilipo na fursa hiyo lazima aiendeleze ili iendelee kumpa pesa Au kumlipa ata kama mwanzo I ata pata hasara

Lakini mashabiki ambao kazi porojo hawaingizi hata kumi ktk klabu ndio wajuaji na wakatishaji tamaa wawekezaji na kuamua kuingiza pesa ktk michezo mingine isiyo na kelele

Mjifunze kuwa heshimu wawekezaji wenu na pia kuchangia maendeleo ktk taasisi zenu na serikali zenu (nchi) sio kutaka vya bure wakati Hampo tayari kuchangia hata mia
Halafu alivyo na jeuri sasa! Hiyo keshokutwa pale Mlimani City tutawashuhudia mpaka wale mabondia wa kutokea pande za Bombay!

Yaani siku hiyo itakuwa ni burudani tu!
 
Kwa simba jaribu kuona mbali Sisi hatujali mechi za kuchezeshwa na watoto Yanga ni timu ya kitoto na changa ina masharobaro tu ila kucheza nje ya nchi wanafungwa wanawalipa Simba ili wasipoteze mashabiki.

Simba ni timu inaenda kasi kiligi nje ya nchi tuje tena ndani ya nchi kujitutumua kisa Yanga hama tu nenda timu ya hovyo tena nitafurahi mkipungua tu .

Simba tu tunaishangilia timu yetu na inatuwakilisha kimataifa yanga ni timu ovyo tokea miaka ya nyuma hadi sasa .

Tumewashinda natumewaachia makombe ya kitoto wayajaze ofisini mwao.

Hadi manara yule cheusi wetu kaikana Yanga huoni ilivyo ovyoo siwezi shangilia timu ya mazingira wasubirie ccm chichiem yetu ishinde tena Yanga ni kama Chadema never grow never be a winner natumezoea sintosahau chadema waliposhindwa 2010 walahi nilizima sikudanganyi 2015 sijui nilizimika tena saivi nipo chichiem nanitakuwa chichiem hadi nizeeke nikiwa chichiem siye wakina chichiem tutawaazima jezi zenu kipindi cha uchaguzi
 
Wanachama wenye 51 hisa wana shindwa endesha timu na kumlilia mwenye 49???
 
Ngoja tuone wapiga kelele watasemaje, maana walisema anaingilia timu. Kawaachia timu mmeshindwa iendesha sababu ya uswahili wenu..

MO ana hisa ndogo iweje kujitoa kwake Simba iyumbe? Kwanini wenye 51% wasiendeshe timu?
 
Don't be surprised the person behind Singida Big Stars ni Mo
 
Ngoja tuone wapiga kelele watasemaje, maana walisema anaingilia timu. Kawaachia timu mmeshindwa iendesha sababu ya uswahili wenu..

MO ana hisa ndogo iweje kujitoa kwake Simba iyumbe? Kwanini wenye 51% wasiendeshe timu?
[emoji1787][emoji1787] Wazee wa tuachie Simba yetu waje hapa watoe povu...

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Naona tayari watu wameshaanza mkakati wa kutafuta visingizio vya kupoteza mechi ya October 23, waswahili shida sana.
 
Back
Top Bottom