Mwelekeo wa Dunia, majanga, waamuzi na mwisho wake

Mwelekeo wa Dunia, majanga, waamuzi na mwisho wake

fyddell

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
12,026
Reaction score
22,549
Habari zenu wakuu,

Katika chambua chambua yangu katika pages mbali mbali za internate, nimekuja kugundua kuwa Dunia yetu inaongozwa na group fulani la watu wanaojiita "High masters" chini ya mtu/ roho inayojiita "'The one who from heaven to earth came. Chini ya mtu huyu ndipo vikundi mbalimbali vinavyojiniabisha kama secret societies huzaliwa mfano Illuminati, freemasonry etc.

Watu hao ndio wanaoongoza kwa utajiri mkubwa hapa duniani;

Ndio wanaomiliki Science and very advanced technology

Ndio wanaofanya inventions and discoveries mbali mbali hapa duniani na in the universe at large

Ndio wanaomiliki knowledge ya dunia hii na kudesign aina za elimu ambazo umma wa dunia hii wapaswa kufahamu. Yote tuyafahamuyo katika Physics, astronomy, biology na elimu zingine wao ndio wanaozipangilia na kutujulisha sisi binadamu.

Ndio wanaozi fund taasisi mbali mbali kufanya tafiti mbalimbali za kitabibu na kuzalisha magonjwa kwa makusudi yao ya ku control population duniani na ndio hao hao hugundua dawa za magonjwa hayo kwa mgongo wa kutoa misaada katika nchi zilizo athirika kwa magonjwa waliyoabuni wenyewe. Makampuni yao hufaidika kwa kuingiza billions of dollars kwa kuuza madawa ya magonjwa hayo na hata kuingia mikataba ya kuchukua rasilimali katika nchi zilizoathirika kwa mgongo wa misaada ya madaktari na dawa kwa magonjwa hayo.

Ndio huchagua viongozi wa mataifa makubwa duniani kwa mgongo wa Demokrasia ili kuwaaminisha wananchi kuwa they are practicing their freedom of choice while viongozi waliosimamishwa wote ni watu watu wao na wameapa kulinda maslahi ya hiko kikundi.

Huunda vikundi mbalimbali na vya uasi katika nchi ambazo want aka wazitawale na kuingiza sera zao hapo hapo wakifaidika kwa kuuza siraha kwa groups zigombanazo na kuwatoa viongozi ambao wanaonekana ni viburi katika kutimiza azma zao na kuwaweka viongozi wawatakao( puppet leaders). Muda mwingine wapo tayari hata kuivamia nchi fulani kijeshi kwasababu zitakazokuwa wamezisambaza na kuwaaminisha Watusi kupitia Media zao. They own media to propagandize what they want, for their own reasons at a particular time.

Ndio hufanya maamuzi ya dunia yetu kupitia mataifa makubwa na taasisi kubwa duniani kama United Nations; Depopulation strategies, controlling of world market and resources distribution etc.

Huwalipa watu kwa earthly things Mali, fedha na kuwapa majina makubwa duniani na kuwafanya kuwa maarufu as long as wanafanya Yale ambayo watu hawa wanayataka. Kwa mfano they have been financing Western movie and music industries ili kuelezea na kuzitangaza sera zao. Ili uwe na pesa na utajili mkubwa you must sell you soul to the devil ili wasimamie kazi zako za kimziki na muvi kwa mkataba na wao.

Wao ndio waliounda sera ya New World Order na sasa wameshaanza kuyatimiza yote yaliyomo kwenye hiyo sera kuelekea kuwa na serikali moja na dini moja.Ni mengi sana wanayoyafanya hawa watu wanaojiita the high Masters na nadhani wengine wataendelea kuchangia wanayoyajua kuhusiana na yote yanayoendelea sasa chanzo kikiwa ni wao.

Tunaweza pitia The Secret Covenant - A Member of the Illuminati Tells All? kujifunza zaidi.
Cc monstagala, Eiyer, christine ibrahim, Cybertec, MziziMkavu,,Rakism, Kipaji Halisi, Mwekundu, Annuity, Sikonge, kaka, PATIENT ZERO Pasco Nyunyu Mwanafalsafa1
 
ONLY ISLAMIC RELIGION CAN CHANGE THE WORLD.kama Usingekuwapo UISLAMU-E-DEEN DUNIANI SIJUI ULIMWENGU UNGEKUWAJE YOU WERE BORN AN ORIGINAL.DON'T DIE A COPY.
 
Uislam ni chachu ya Mabdliko.. Utatawala either tukiwa hai au kizazi kijacho
 
Kwa kila ngazi ya maisha kuna uongozi ambao husababisha mambo yaende kama wanavyopanga. Kwa hiyo tukianzia ngazi ya familia Baba na Mama ndo viongozi, kwa nchi Rais ila pia kuna makundi mengi yasiyo na uongozi wa moja kwa moja , mfano Rais kabla ya kupigiwa kura na wananchi lazima kamati ya chama chake ambayo ina kiongozi pia wachague wa kumpitisha! Kwa hiyo Hata kwa nchi zilizoendelea tunaona hayo makundi kama vile wanaongoza dunia kwa vile wana utajiri mkubwa ambao huwasaidia kufanya watakayo. Kama ilivyo kwa warabu wanavyoweza kununua timu za Uingereza au popote watakapo. NI PESA TU INAYOONGOZA DUNIA
 
Habari zenu wakuu,

Katika chambua chambua yangu katika pages mbali mbali za internate, nimekuja kugundua kuwa Dunia yetu inaongozwa na group fulani la watu wanaojiita "High masters" chini ya mtu/ roho inayojiita "'The one who from heaven to earth came. Chini ya mtu huyu ndipo vikundi mbalimbali vinavyojiniabisha kama secret societies huzaliwa mfano Illuminati, freemasonry etc.

Watu hao ndio wanaoongoza kwa utajiri mkubwa hapa duniani;

Ndio wanaomiliki Science and very advanced technology

Ndio wanaofanya inventions and discoveries mbali mbali hapa duniani na in the universe at large

Ndio wanaomiliki knowledge ya dunia hii na kudesign aina za elimu ambazo umma wa dunia hii wapaswa kufahamu. Yote tuyafahamuyo katika Physics, astronomy, biology na elimu zingine wao ndio wanaozipangilia na kutujulisha sisi binadamu.

Ndio wanaozi fund taasisi mbali mbali kufanya tafiti mbalimbali za kitabibu na kuzalisha magonjwa kwa makusudi yao ya ku control population duniani na ndio hao hao hugundua dawa za magonjwa hayo kwa mgongo wa kutoa misaada katika nchi zilizo athirika kwa magonjwa waliyoabuni wenyewe. Makampuni yao hufaidika kwa kuingiza billions of dollars kwa kuuza madawa ya magonjwa hayo na hata kuingia mikataba ya kuchukua rasilimali katika nchi zilizoathirika kwa mgongo wa misaada ya madaktari na dawa kwa magonjwa hayo.

Ndio huchagua viongozi wa mataifa makubwa duniani kwa mgongo wa Demokrasia ili kuwaaminisha wananchi kuwa they are practicing their freedom of choice while viongozi waliosimamishwa wote ni watu watu wao na wameapa kulinda maslahi ya hiko kikundi.

Huunda vikundi mbalimbali na vya uasi katika nchi ambazo want aka wazitawale na kuingiza sera zao hapo hapo wakifaidika kwa kuuza siraha kwa groups zigombanazo na kuwatoa viongozi ambao wanaonekana ni viburi katika kutimiza azma zao na kuwaweka viongozi wawatakao( puppet leaders). Muda mwingine wapo tayari hata kuivamia nchi fulani kijeshi kwasababu zitakazokuwa wamezisambaza na kuwaaminisha Watusi kupitia Media zao. They own media to propagandize what they want, for their own reasons at a particular time.

Ndio hufanya maamuzi ya dunia yetu kupitia mataifa makubwa na taasisi kubwa duniani kama United Nations; Depopulation strategies, controlling of world market and resources distribution etc.

Huwalipa watu kwa earthly things Mali, fedha na kuwapa majina makubwa duniani na kuwafanya kuwa maarufu as long as wanafanya Yale ambayo watu hawa wanayataka. Kwa mfano they have been financing Western movie and music industries ili kuelezea na kuzitangaza sera zao. Ili uwe na pesa na utajili mkubwa you must sell you soul to the devil ili wasimamie kazi zako za kimziki na muvi kwa mkataba na wao.

Wao ndio waliounda sera ya New World Order na sasa wameshaanza kuyatimiza yote yaliyomo kwenye hiyo sera kuelekea kuwa na serikali moja na dini moja.Ni mengi sana wanayoyafanya hawa watu wanaojiita the high Masters na nadhani wengine wataendelea kuchangia wanayoyajua kuhusiana na yote yanayoendelea sasa chanzo kikiwa ni wao.

Tunaweza pitia The Secret Covenant - A Member of the Illuminati Tells All? kujifunza zaidi.
Cc monstagala, eiyer, christine ibrahim, cybertec, mzizimkavu,rakism

Kwa maana hiyo hata haya uloandika wewe wao ndo wameamua ujue, kwa maana wao ndo wanapanga nini ujue na wakati gani ujue ( media control). kila tunachojifunza shule na mifumo ya ufundishaji ni yao ( mind control) kama vile hadithi za binadamu kwenda mwezini zisivyo na ualisia na ukweli, vyuo vikuu mashuhuri duniani viko katika himaya yao. mfumo wa kifedha ( kuuza au kununua), thamani za fedha za nchi na uchumi wa dunia kwa ujumla wao ndo wana control, wao ndio wanao sababisha midororo ya kichumi ya dunia kwa manufaa yao.

Kuna kitu ambacho wengi hawakijui, hawa jamaa wanafanya mpaka weather control pamoja na kusababisha majanga ya kibinadamu kama vile vimbunga na matetemeko ya ardhi na ya baharini (tsunami).
Ndio wanao control dini na mashirika ya kidini duniani.

Ndio wanao fanya health control, wanamiliki viwanda vikubwa vya madawa duniani, wamefika mpaka hatua ya kutengeneza dawa ya ugonjwa kisha wanatengeneza ugonjwa ili wauze hiyo dawa,( dawa inaanza kabla ya ugonjwa).

Population control ( hii sina haja ya kuizungumzia kwamaana ishaongelewa sana).

Tutaendelea
 
Mkuu fyddell na TECHMAN
mimi nakubaliana nayi. nakumbuka nilisikiliza documentary moja inayomweleza George Bush: na Jukumu lake alipokuwa mwanafunzi chuo cha YALE University ambapo alikuwa leader wa Skull and Bone. Inasemekana. Miongoni mwa malengo yao. Ni kuchukua position yoyote duniani na kuweka watawala wao: kupata power kwa gharama yoyote na kuitumia power hiyo kutekeleza malengo yao. Ukitazama Bush ni kama hakushinda ule uchaguzi wake wa Kwanza lakini aliibuka Rais - By hook by crooks.

MAma Hillary naye yupo kwenye kundi la.Bilderberg ambalo kuna madai pia hata Obama ni memba wao. Nahop linaweza kuhakikisha anachukua madaraka baada ya Obama.
hillaryhead.jpg

We just can't trust the American people to make those types of choices.... Government has to make those choices for people" Hilary Clinton

Na kwa bahati mbaya wengi wanajua makundi haya makubwa kuwa ni ya Ulaya na MArekani. lakini huko china, India, Russia makundi haya yanawafuasi wengi tu.
 
Last edited by a moderator:
ukitazama ki~intel. logicall haya mambo yana uhusiano?
1. kwamba the soul that comes from heaven 2 earth is the devil. the 1 who own most precious things on earth using wealth and his ability to prevent human creature from entering heaven and make most of them as his companion in hell? i remember thad i had read somewhere that ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa mbinguni. hivyo hawa high mastes must be devils company 2 hell.

2. Mungu ni mmoja, dini ya mwenyezi Mungu ni moja, hizi dini nyingi zimeletwa na devil katika lengo lake kuu, hapo ndo udini unapokuja. so wakati hawa high masters wanafanya devils job "sir GOD" ana viumbe wake wanaofuata dini yake1. ni wazi kuwa satan must fail. ila makafir watakufa makafir na malipo yao in hell as promised by God in his book.
here are reasons for this logic, apart from other material evidence,
a. secret societies are ruled by the bible, the book which is said 2 b god's word but no prophet is said to deliver it.
b.there has
 
b. there has been religious movement for years now, we have seen nations fight Islam as terrorism while they are terrorists themselves. this signifies struglle between christianity and islam. so WWW III shall be of religious basis.

whether you agree with my view or not, i say that, what we have seen in islamic states like Palastine, Libya, Iraq, Afghanistan, Syria, Nigeria, Somalia etc. in recent years is like a smoke which its fire shall trigger the WWW III, that shall ruin this generation and destroy earth environment due to the use of nuclear!!

only us who can see what is coming, we can prevent it from happening by changing the thoughts and views. take care!!
 
Dunia ipo kama ilivyo, ni wewe, mimi na yule wenye kuitakia mustakabali fulani kwa msaada wa nguvu giza au nguvu nuru ...
 
b. there has been religious movement for years now, we have seen nations fight Islam as terrorism while they are terrorists themselves. this signifies struglle between christianity and islam. so WWW III shall be of religious basis.

whether you agree with my view or not, i say that, what we have seen in islamic states like Palastine, Libya, Iraq, Afghanistan, Syria, Nigeria, Somalia etc. in recent years is like a smoke which its fire shall trigger the WWW III, that shall ruin this generation and destroy earth environment due to the use of nuclear!!

only us who can see what is coming, we can prevent it from happening by changing the thoughts and views. take care!!
2014 Breaking News Final Hour the Coming Antichrist Armageddon one world religion Last days news prophecy update
Queen of Rome, Queen of ISLAM, Queen of All The Marian apparitions plan to unite all religions under the Roman Catholic Church http://www.eternal-productions.org/PDFS/Queen.pdf
http://www.thebereancall.org
Dave Hunt speaker on video - Christian apologist written numerous books on theology, prophecy, cults, and other religions, including critiques of Catholicism, Islam, Mormonism
Ushering in the One-World Religion
CBN.com -- GENEVA, Switzerland - A one world government and a one world religion - it may just sound like fiction from the popular "Left Behind" novel series. But some Christians say this scenario may be closer than most people think.
in Geneva, hundreds of spiritual and religious leaders met at the United Nations for a peace summit.
The summit was endorsed by UN Secretary General Kofi Annan who said "the future of the world depends on women."

The UN summit of women religious leaders. Most were from "Eastern religions - Buddhists, Taoists and Hindus.
Gray said, "I was raised Catholic, I bless that base, I think if you have a strong religious base where, whatever it is, then you branch out from there, or expand on it."
Rev. Brown Campbell said, "That's not a purposeful intent. This is a meeting, of course, of people of all religions. There was no mention of the Prince of Peace, Jesus Christ. Nor could we find any evangelical Christians either speaking at or attending this world religions summit.
The Geneva summit was a direct outcome of the Millennium World Peace Summit of religious and spiritual leaders held at the United Nations in New York two CNN founder Ted Turner endeared himself to the crowd by promoting the New Age concept that there are many ways to heaven.
"The thing that disturbed me was that my religion, the Christian sect, was very intolerant, not of religious freedom, but we thought we were the only ones going to heaven," Turner said.
Robert Maginnis, a former director of the Family Research Council, said of the summit, "Well, I can see the possibility that it's the globalization of world religion."
Maginnis says I would submit that the United Nations is very anti-life, they are anti-faith, anti-family, they're anti-national sovereignty, but they are pro one-world government," he said.
Christian scholars say the Bible warns of a time when all the world will unite under a false global religious and political system. Maginnis says, it appears the UN could be taking the first steps in that direction.
"You're taking the Muslim community, the Christian community, the Hindus, the Confucians and all the many hundreds of religious groups, trying to identify key leaders, and you are basically trying to co-opt them into cooperating with you," he said.
December 14 2013 Breaking News Biblical Prophecy and current events Countdown to Armageddon - Last days final hour news prophecy update.
now how can you separate Islamic religion from this United Nations' plan of NEW AGE ONE WORLD RELIGION?
 
Hapa naona ambao hawako kwenye list ya kutengeneza hiyo dini ya dunia ni PENTECOSTAL CHURCH/ Kanisa la kiroho linaloprocaim JESUS CHRIST is the Lord of lords and King of kings.
 
Mkuu,mambo mengi sana yanayotokea Duniani hupangwa na sio ya kiasili ...!!
Nilishtuka sana nilipokuja kujua kumbe Hatakuwez hizi tunazoziita ni natural disasters kama Earth quakes, hurricanes, Tsunami na nyinginezo wao ndio wanazisababisha kwa manufaa yao!
 
Dunia ipo kama ilivyo, ni wewe, mimi na yule wenye kuitakia mustakabali fulani kwa msaada wa nguvu giza au nguvu nuru ...
Mkuu unasema kwa mustakabali wetu tena kama binadamu? Nadhani kama ndivyo hivyo usemavyo basi vitabu vitakatifu visingeelezea nini kitakachofuata hapo baadae kama dalili za Siku za mwisho zitakuwaje, taifa moja kunyanyuka na kuwa na nguvu kubwa duniani na habari za the beast anti Christ kutokea na kumislead people. Kama mustakabali ungekuwa juu yetu basi haya yasingesemwa Bali sisi ndo tungekuwa waamuzi wa whether yatokee au vipi. Blessed are those who haven't hardened their heart to what they hear from the Lord Jesus Christ
 
hili laweza tokea tu kwenye movie au kwenye ndoto.

hili haliwezi tokea kwenye movie au kwenye ndoto,uislamu ni dini ya pekee inayokataza maovu na kuamrisha mema. You can kill muslims but you can never kill islam.
 
KWA mustakabali huu wa list ya kuchangia wa kuunda DINI MOJA SIDHANI UPANDE WA UISLAMU UTAWEZEKANA MAANA UPANDE WA DINI ZOTE TOFAUTI NA UISLAMU USHAWEZEKANA.NO ONE CAN BEAT ISLAM.
 
makao yao makuu yako wapi...? wanafanya wakijua kuna kifo...?
wanapata washiriki
......?
 
Back
Top Bottom