Mwelekeo wa Dunia, majanga, waamuzi na mwisho wake

Mwelekeo wa Dunia, majanga, waamuzi na mwisho wake

ukitazama ki~intel. logicall haya mambo yana uhusiano?
1. kwamba the soul that comes from heaven 2 earth is the devil. the 1 who own most precious things on earth using wealth and his ability to prevent human creature from entering heaven and make most of them as his companion in hell? i remember thad i had read somewhere that ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa mbinguni. hivyo hawa high mastes must be devils company 2 hell.

2. Mungu ni mmoja, dini ya mwenyezi Mungu ni moja, hizi dini nyingi zimeletwa na devil katika lengo lake kuu, hapo ndo udini unapokuja. so wakati hawa high masters wanafanya devils job "sir GOD" ana viumbe wake wanaofuata dini yake1. ni wazi kuwa satan must fail. ila makafir watakufa makafir na malipo yao in hell as promised by God in his book.
here are reasons for this logic, apart from other material evidence,
a. secret societies are ruled by the bible, the book which is said 2 b god's word but no prophet is said to deliver it.
b.there has
Bwana MRWA napingana na wewe katika hili Mungu hana dini, dini ni mipango na taratibu za binadamu kumtafuta Mungu na kumjua Mungu, ukristo na uisilam zote ni dini za kibinadamu, zimeanzishwa na binadamu, Hazikuanzishwa na Mungu.
 
Last edited by a moderator:
KWA mustakabali huu wa list ya kuchangia wa kuunda DINI MOJA SIDHANI UPANDE WA UISLAMU UTAWEZEKANA MAANA UPANDE WA DINI ZOTE TOFAUTI NA UISLAMU USHAWEZEKANA.NO ONE CAN BEAT ISLAM.
FALSAFA nakubaliana na wewe NO BAD CAN BEAT ISLAM, kwa maana hata ndani ya uislamu kwenyewe hatuivi chungu kimoja, sunni na shia ni kama west and east. Hatushirikiani kwenye heri wala shari.
 
Last edited by a moderator:
FALSAFA nakubaliana na wewe NO BAD CAN BEAT ISLAM, kwa maana hata ndani ya uislamu kwenyewe hatuivi chungu kimoja, sunni na shia ni kama west and east. Hatushirikiani kwenye heri wala shari.

Ndani ya Uislamu all major issues tuko Pamoja.
Tunasali Kwa wakati mmoja. Siku kuu ya Wiki Kwa waislamu wote Ni IJUMAA. Swala Zetu wote ni Tano.
Tunaabudi MUNGU MMOJA na Mtume Wetu Ni MMOJA.
Tunaelekea KUMOJA.
Tunasoma KITABU kimoja ambacho BADO kiko kwenye LUGHA YAKE YA ASILI TOKA Kilipokuja Miaka zaidi Ya 1430 ILIOPITA.! kitu ambacho HAKUNA IMANI HATA MOJA WANACHO?

Tofauti nyingi Zinaletwa Na Watu WANAOVAA VAZI LA KIISLAMU wakati wao ni MAKAFIRI.
Hapo ndipo inapokuja Shida! Lkn Generally saying WAISLAMU WOTE NI KITU KIMOJA.
Tofauti Na IMANI hizi zingine.
Ni michakachuo mitupu.
 
Last edited by a moderator:
hili haliwezi tokea kwenye movie au kwenye ndoto,uislamu ni dini ya pekee inayokataza maovu na kuamrisha mema. You can kill muslims but you can never kill islam.

Sawa bwana FALSAFA kama hivi ndivyo unavyo amini.
 
Last edited by a moderator:
Ndani ya Uislamu all major issues tuko Pamoja.
Tunasali Kwa wakati mmoja. Siku kuu ya Wiki Kwa waislamu wote Ni IJUMAA. Swala Zetu wote ni Tano.
Tunaabudi MUNGU MMOJA na Mtume Wetu Ni MMOJA.
Tunaelekea KUMOJA.
Tunasoma KITABU kimoja ambacho BADO kiko kwenye LUGHA YAKE YA ASILI TOKA Kilipokuja Miaka zaidi Ya 1430 ILIOPITA.! kitu ambacho HAKUNA IMANI HATA MOJA WANACHO?

Tofauti nyingi Zinaletwa Na Watu WANAOVAA VAZI LA KIISLAMU wakati wao ni MAKAFIRI.
Hapo ndipo inapokuja Shida! Lkn Generally saying WAISLAMU WOTE NI KITU KIMOJA.
Tofauti Na IMANI hizi zingine.
Ni michakachuo mitupu.
kahtaan sasa nani hapa ni KAFIRI shia au sunni?
 
Last edited by a moderator:
kahtaan sasa nani hapa ni KAFIRI shia au sunni?

Yyt anaekwenda kinyume na MAAMRISHO YA QURAAN Huyo anaingia ktk Kundi la UKAFIRI Bila Kujali yeye Anajiita Sunni au Shia Au Shai n.k
 
Last edited by a moderator:
Hapa naona ambao hawako kwenye list ya kutengeneza hiyo dini ya dunia ni PENTECOSTAL CHURCH/ Kanisa la kiroho linaloprocaim JESUS CHRIST is the Lord of lords and King of kings.
Bwana fyddell hawa jamaa kwa mfumo watakaotumia kukwepa ni kazi ngumu, kwanza ujue wakiunganisha dini moja haimaanishi kadhehebu ka bwana Mwakalasa wa mbeya mwenye dini yake yeye ndo askofu mkuu na mkewake ndo mchungaji kiongozi au Kaaya wa Meru mwenye kanisa lake,kaanzisha yeye na mkewake ( this are local churches). Kwa makanisa makubwa ( international churches) na some local churches ambazo zinategemea funds kutoka kwa wazungu, itakuwa ni ngumu kuepuka hili.
 
Last edited by a moderator:
Yyt anaekwenda kinyume na MAAMRISHO YA QURAAN Huyo anaingia ktk Kundi la UKAFIRI Bila Kujali yeye Anajiita Sunni au Shia Au Shai n.k
kahtaan so you agree that we cannot be cooked in the some pot, kwasababu kunavikwazo vingi vya kiimani kati yetu waisilamu wenyewe. Kama wote tunatumia Quraan moja bado tunapinga kutokana na tafsiri ya baadhi ya mambo basi hatuwezi kuwa wamoja, kama kila mmoja katika makundi haya anamuona mwezie ndo kafri, basi hatuwezi kuwa wamoja, Je unajua kuwa imefikia kuwa hatuwezi kusali msikiti mmoja? mpaka sherehe zetu hazifanyika kwa siku moja? tunamitazamo isiyo fanana katika mambo mengi. LAKINI WOTE KATIKA MACHO YA JAMII TUNAONEKA NI WAISILAMU. lakini ndani ya mioyo yetu ni imani mbili tofauti zinazotumia kitabu kimoja.
 
kahtaan so you agree that we cannot be cooked in the some pot, kwasababu kunavikwazo vingi vya kiimani kati yetu waisilamu wenyewe. Kama wote tunatumia Quraan moja bado tunapinga kutokana na tafsiri ya baadhi ya mambo basi hatuwezi kuwa wamoja, kama kila mmoja katika makundi haya anamuona mwezie ndo kafri, basi hatuwezi kuwa wamoja, Je unajua kuwa imefikia kuwa hatuwezi kusali msikiti mmoja? mpaka sherehe zetu hazifanyika kwa siku moja? tunamitazamo isiyo fanana katika mambo mengi. LAKINI WOTE KATIKA MACHO YA JAMII TUNAONEKA NI WAISILAMU. lakini ndani ya mioyo yetu ni imani mbili tofauti zinazotumia kitabu kimoja.

Hilo sio kweli hata kidogo.
Hizo ni propaganda za kisiasa tu.

Nimeshakwambia hapo juu kuwa Ndani ya UISLAMU kuna Sheria ambazo ZIKO WAZI KABISA.
Na yyt atakaekwenda Kinyume Na Hizo Sheria SIO MUISLAMU full stop.

Ktk UISLAMU hakuna Cha Labda! Au Negotiations! Ni "A" au " B: Thats it. No ifs and Buts.

Wale wanaojiita WAISLAMU kumbe Ni MAKAFIR ndio wanaochafua UISLAMU.
Hio statement yako hapo juu ni Km ya Wale BAKWATA
Its Nothing to do with THE REAL ISLAM.

Uislamu sio Chama cha SIASA mkuu.
Nadhani wewe Uislamu HUJAUJUA Vizuri.
Laiti ungeufahamu Vizuri basi usingeandika hayo hapo juu.

Kikwazo gani cha kiimani Unacho wewe km UNAUJUA Uislamu?

Hebu Nitajie KIMOJA HAPA.
 
Hapa naona ambao hawako kwenye list ya kutengeneza hiyo dini ya dunia ni PENTECOSTAL CHURCH/ Kanisa la kiroho linaloprocaim JESUS CHRIST is the Lord of lords and King of kings.

They can proclaim wherever they want but what you have said above WILL NEVER EVER BE TRUE.

A human being will never ever become a King of the KINGS.

ITS Only GOD who has that Aspect.

Jesus was a man just like myself!
He ates and drink and fall asleep just like me and you.
Don't live in the world's of mith and misconceptions! And taking words of False Apostle PAUL As a guidance!
He will lead you astray pal.
Trust me
 
They can proclaim wherever they want but what you have said above WILL NEVER EVER BE TRUE.

A human being will never ever become a King of the KINGS.

ITS Only GOD who has that Aspect.

Jesus was a man just like myself!
He ates and drink and fall asleep just like me and you.
Don't live in the world's of mith and misconceptions! And taking words of False Apostle PAUL As a guidance!
He will lead you astray pal.
Trust me[/QUO
Brother kahtaan, do you believe the bible?
if you do, just know that it's written in the bible that Jesus came on earth in form of a flesh thus He is God.
And if you don't, just know that even your Quran tells about Jesus' stories otherwise you must tell me that a man called Nabii Isa is not the same man the bible calls Jesus Christ.
Karibu kaka.
 
Bwana MRWA napingana na wewe katika hili Mungu hana dini, dini ni mipango na taratibu za binadamu kumtafuta Mungu na kumjua Mungu, ukristo na uisilam zote ni dini za kibinadamu, zimeanzishwa na binadamu, Hazikuanzishwa na Mungu.
Nikuulize swali TECHMAN; ulokole ni diini? Nianzie kwanza hapo mkuu
 
Nikuulize swali TECHMAN; ulokole ni diini? Nianzie kwanza hapo mkuu
fyddell Kwanza hakuna kitu kinachoitwa ulokole, labda uulize kuokoka ni dini, jibu hapana. Swali la pili ambalo hujauliza lakini utauliza nakujibu, kuwa kuokoka ni imani ( ROMANS 10:9). Haya tuendelee
 
Last edited by a moderator:
fyddell Kwanza hakuna kitu kinachoitwa ulokole, labda uulize kuokoka ni dini, jibu hapana. Swali la pili ambalo hujauliza lakini utauliza nakujibu, kuwa kuokoka ni imani ( ROMANS 10:9). Haya tuendelee
Hapo umenifanya maswali yangu yote niyafute cose I thought you're against Christianity and the faith of our Lord Jesus brought to us. Kweli Mungu hakuleta dini Bali alileta Imani tu. tuko pamoja na ngoja tumsubili kahtaan maaana kuna swali nae nimemuuliza.
 
Kwa kila ngazi ya maisha kuna uongozi ambao husababisha mambo yaende kama wanavyopanga. Kwa hiyo tukianzia ngazi ya familia Baba na Mama ndo viongozi, kwa nchi Rais ila pia kuna makundi mengi yasiyo na uongozi wa moja kwa moja , mfano Rais kabla ya kupigiwa kura na wananchi lazima kamati ya chama chake ambayo ina kiongozi pia wachague wa kumpitisha! Kwa hiyo Hata kwa nchi zilizoendelea tunaona hayo makundi kama vile wanaongoza dunia kwa vile wana utajiri mkubwa ambao huwasaidia kufanya watakayo. Kama ilivyo kwa warabu wanavyoweza kununua timu za Uingereza au popote watakapo. NI PESA TU INAYOONGOZA DUNIA

mkuu pesa pia ilipandikizwa ili iweze kutimiza malengo ya hao wanaojiita high masters
 
ONLY ISLAMIC RELIGION CAN CHANGE THE WORLD.kama Usingekuwapo UISLAMU-E-DEEN DUNIANI SIJUI ULIMWENGU UNGEKUWAJE YOU WERE BORN AN ORIGINAL.DON'T DIE A COPY.
But only for a time, two times and a half because that end must ultimately come.....
 
Hapo umenifanya maswali yangu yote niyafute cose I thought you're against Christianity and the faith of our Lord Jesus brought to us. Kweli Mungu hakuleta dini Bali alileta Imani tu. tuko pamoja na ngoja tumsubili kahtaan maaana kuna swali nae nimemuuliza.

Mkuu nimeshakueleza hapo juu kuwa Yesu alikuwa Binaadamu km wewe na mimi.
Na andiko limesema Hivyo.
Aliyekwambia wewe kuwa yesu ni Mungu si mwingine Bali ni False Apostle PAUL.
Huyu Nabii wa Uongo ambae HAJAWAHI KUMUONA YESU wala WANAFUNZI WAKE YESU Ndio aliyeandika Kila mahala kuwa Yesu ni Mungu na Ni mwana Wa Mungu.

Lkn YESU kwa Kauli zake Mwenyewe anasema Yeye ni MTUMWA WA MUNGU (MTUME).

Soma ref zifuatazo za MANENO YA YESU MWENYEWE halafu uone je kuna Sehemu yyt amejiita Mungu?

Watu mnabadili Tafsiri na Kupotosha Nafsi zenu.


YOHANA 5:24-----
"Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule-aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.


YOHANA 5:30
- - -"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumukama-ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule-aliyenituma.

-YOHANA 5:36
- - -Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiyealiyenituma.-

-YOHANA 5:37
- - -Naye Baba-aliyenituma-hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.

-------

YOHANA 7:16
- - -Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeyealiyenituma.


YOHANA 7:28
- - -Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye-aliyenituma-mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.


YOHANA 7:29
- - -Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye-aliyenituma."


YOHANA 7:33
- - -Yesu akasema, "Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yulealiyenituma.

-------

YOHANA 8:16
- - -Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya haki kwa sababu mimi siko peke yangu; Baba-aliyenituma-yuko pamoja nami.


YOHANA 8:18

- - -Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba-aliyenituma, ananishuhudia pia."


YOHANA 8:26
- - -Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu. Lakini yule-aliyenituma-ni kweli; nami nauambia ulimwengu mambo yale tu niliyoyasikia kutoka kwake."


YOHANA 8:29
- - -Yule-aliyenituma-yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza."

-------

YOHANA 6:38
- - -kwani nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya matakwa yangu, ila kutimiza matakwa ya yule-aliyenituma.


YOHANA 6:39
- - -Na matakwa ya yule-aliyenituma-ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho.

-------

YOHANA 12:44
- --Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, "Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini pia yule-aliyenituma.


YOHANA 12:49
- --Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba-aliyenituma-ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.

-------

MATAYO 10:40
- -"Anayewakaribisha ninyi, ananikaribisha mimi; na anayenikaribisha mimi, anamkaribisha yule-aliyenituma.

-------

MARKO 9:37
- - - -"Anayempokea mtoto-kama-huyu kwa jina langu, ananipokea mimi; na anayenipokea mimi, hanipokei mimi tu, bali anampokea yule-aliyenituma."

-------

LUKA 9:48
--akawaambia, "Mtu yeyote anayempokea mtoto huyu mdogo kwa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anampokea yulealiyenituma. Maana yule aliye mdogo kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkubwa kuliko wote."

-------

LUKA 10:16
- - - --Halafu akasema, "Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule-aliyenituma."

-------

YOHANA 4:34
- - -Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yule-aliyenituma-na kuitimiza kazi yake.

-------

YOHANA 9:4
- - - -Kukiwa bado mchana yatupasa kuendelea kufanya kazi za yulealiyenituma; maana usiku unakuja ambapo mtu hawezi kufanya kazi.

-------

YOHANA 13:20
- --Kweli nawaambieni anayempokea yule ninayemtuma anaponipokea mimi; na anayenipokea mimi, anampokea yulealiyenituma."

-------

YOHANA 14:24
- --Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni-lakeBaba-aliyenituma.

-------

YOHANA 15:21
- --Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye-aliyenituma.

-------

YOHANA 16:5
- - -Lakini sasa namwendea yulealiyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: `Unakwenda wapi?`
 
Hapo juu Toka lini anaetumwa na Mungu nae awe Mungu?

Ndugu Wakristo amkeni na muisome Bibilia kwa open mind and Open Heart.
La sivyo mtakuja ingia ktk Adhabu mbaya mno ya Mungu Mkuu.
MUNGU Wa Yesu Na mimi na wewe.
 
Hapo juu Toka lini anaetumwa na Mungu nae awe Mungu?

Ndugu Wakristo amkeni na muisome Bibilia kwa open mind and Open Heart.
La sivyo mtakuja ingia ktk Adhabu mbaya mno ya Mungu Mkuu.
MUNGU Wa Yesu Na mimi na wewe.

Mkuu unatumia nguvu nyingi kujadili jambo dogo sana.. Kama unaiamini hiyo mistari it means unaiamini Biblia kwa maana hiyo mistari haijaandikwa kwenye Qur'an.. Sasa mkuu sana soma na Mwanzo 1:26 "Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa……" hapo inaonekana ni wazi kabisa Mungu hakuwa peke yake, alikua na mwenzake au wenzake, sasa jiulize ni nani hao??? Mimi ni Mkristo lakini siwezi kutamka kwamba Yesu ni Mungu, bali Yesu ni mwana wa Mungu wa kipekee.. Ni zaidi ya Mtume kama unavyosema..
 
Mkuu unatumia nguvu nyingi kujadili jambo dogo sana.. Kama unaiamini hiyo mistari it means unaiamini Biblia kwa maana hiyo mistari haijaandikwa kwenye Qur'an.. Sasa mkuu sana soma na Mwanzo 1:26 "Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa……" hapo inaonekana ni wazi kabisa Mungu hakuwa peke yake, alikua na mwenzake au wenzake, sasa jiulize ni nani hao??? Mimi ni Mkristo lakini siwezi kutamka kwamba Yesu ni Mungu, bali Yesu ni mwana wa Mungu wa kipekee.. Ni zaidi ya Mtume kama unavyosema..

Ulichokiandika hapo kinapingana Na Bibilia.

Kwa Mujibu wa Bibilia YESU SIO MWANA WA PEKEE wa Mungu.
Hayo ni maneno ya Kuzua tu ya PAULO.

Wana wa Mungu wako Wengi Mno.
Ushahidi wa Andiko Huu hapa.

SOMA kitabu cha MWANZO 6:1-2

Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.


Ayubu 38.6-7.

Misingi yake ilikazwa juu ya kitu gani?
Au ni nani aliyeliweka jiwe lake la pembeni,
Hapo nyota za asubuhi zilipoimba pamoja,
Na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?

Hosea 1.10

Tena itakuwa ya kwamba hesabu ya wana wa Israeli itafanana na mchanga wa bahari, usioweza kupimwa wala kuhesabiwa; tena itakuwa, badala ya kuambiwa, Ninyi si watu wangu, wataambiwa, Ninyi ndio wana wa Mungu aliye hai.


Ni dhaahiri tunaona ilikuwa ni jambo la kawaida hata kwa waandishi wa Kiyahudi wanaoamini Mwenyezi Mungu mmoja kutumia maneno kama "wana wa Mungu" kwa kukusudia "vipenzi vya Mungu", au "waja wa Mungu", yaani watu wema.

Hapo tunaona kuwa Sio Yesu tu kaitwa mwana wa Mungu bali hata mimi na wewe kwa Mujibu wa bibilia ni Wana wa Mungu.

YESU NI MTUME WA MUNGU.
 
Back
Top Bottom