Mwelekeo wa Dunia, majanga, waamuzi na mwisho wake

Mwelekeo wa Dunia, majanga, waamuzi na mwisho wake

Hata Paulo naye amesema katika barua yake aliyowapelekea Warumi:
Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.
Warumi 8.14

Kwa Hivyo WAKRISTO tusiseme UONGO kwa kumuita Yesu mwana wa Mungu WA PEKEE bali Sisi wote Ni wana Wa MUNGU.
 
Hata Paulo naye amesema katika barua yake aliyowapelekea Warumi:
Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.
Warumi 8.14

Kwa Hivyo WAKRISTO tusiseme UONGO kwa kumuita Yesu mwana wa Mungu WA PEKEE bali Sisi wote Ni wana Wa MUNGU.

Mwana Wa Mungu ni yule atimizaye mapenzi ya baba aliye mbinguni. -according to yesu Kristo mwenyewe.

Kwa hiyo waislamu, msijiite Wana Wa mungu.wakati mnajua Allah Hana mke. Hivyo Allah hawezi kuwa na watoto , so saaad.
 
Mwana Wa Mungu ni yule atimizaye mapenzi ya baba aliye mbinguni. -according to yesu Kristo mwenyewe.

Kwa hiyo waislamu, msijiite Wana Wa mungu.wakati mnajua Allah Hana mke. Hivyo Allah hawezi kuwa na watoto , so saaad.

Kwq hivyo Yesu alikuwa na mke au Yehova alifunga ndoa sio?

Mbona unajitia mtegoni kilaini hivi?

Na pale kwenye MATHAYO 5:9 panaposema

9 Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa-wana wa Mungu.
Ina maana Ukiwa mpatanishi tu na wewe ni Mwana wa Mungu.

Sasa kazi ya Hakimu wa Mahkama ya QADHI ni KuPatanisha.


Hapo lzm upate kichaa.

Teh teh teh teh.

Mi si kila siku nakwambia BIBILIA huijui wewe!
 
Kwq hivyo Yesu alikuwa na mke au Yehova alifunga ndoa sio?

Mbona unajitia mtegoni kilaini hivi?

Na pale kwenye MATHAYO 5:9 panaposema

9 Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa-wana wa Mungu.
Ina maana Ukiwa mpatanishi tu na wewe ni Mwana wa Mungu.

Sasa kazi ya Hakimu wa Mahkama ya QADHI ni KuPatanisha.


Hapo lzm upate kichaa.

Teh teh teh teh.

Mi si kila siku nakwambia BIBILIA huijui wewe!

Hakimu hapatanishi; watu wanaopatana hawahitaji msaada wA mahakama na hakimu. Mambo yakishatu mahakamani, ni kwamba wameshindwa kupatana..remember the Golden rule;it is not what you know, but is is what you can prove on court that count.....
Hakimu anasimamia utaratibu tu sharia kwa mujibu Wa nchi. Ndio màana mahakama ya kadhi haimpatanishi mgoni na mwenye mume. Inachofanya ni kuhukumu apigwe mawe na kufa. Inachofanya ni kumgawia mwanaume mirathi kubwa kuliko mwanamke.

Wakati yesu hakumuhukumu mwanamke mzinzi aliyeletwa mbele yake ili amhukumu. So Yesu ashasema usihukumu utakuja kuhukumiwa. Shakuona siku nyingi hata kiswahili hujui nini maana ya neno hAkimu...
 
Mwana Wa Mungu ni yule atimizaye mapenzi ya baba aliye mbinguni. -according to yesu Kristo mwenyewe.

Kwa hiyo waislamu, msijiite Wana Wa mungu.wakati mnajua Allah Hana mke. Hivyo Allah hawezi kuwa na watoto , so saaad.

nilipo soma hii post nilicheka gt hawez kuandika huu upuuz just isome tena hii post alafu ifanyie evaluation utagundua hata mwnao hawez kuandikackitu kama hicho
 
nilipo soma hii post nilicheka gt hawez kuandika huu upuuz just isome tena hii post alafu ifanyie evaluation utagundua hata mwnao hawez kuandikackitu kama hicho

Mkuu unachekesha hii post inamlengwa. Ndo maana hujaielewa. Nliemwandikia alielewa..lugha nliyotumia na kile nlichotaka kusema. hata nikiisoma marakumi bado naielewa.Sorry for you.
 
Back
Top Bottom