Hata Paulo naye amesema katika barua yake aliyowapelekea Warumi:
Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.
Warumi 8.14
Kwa Hivyo WAKRISTO tusiseme UONGO kwa kumuita Yesu mwana wa Mungu WA PEKEE bali Sisi wote Ni wana Wa MUNGU.
Mwana Wa Mungu ni yule atimizaye mapenzi ya baba aliye mbinguni. -according to yesu Kristo mwenyewe.
Kwa hiyo waislamu, msijiite Wana Wa mungu.wakati mnajua Allah Hana mke. Hivyo Allah hawezi kuwa na watoto , so saaad.
Kwq hivyo Yesu alikuwa na mke au Yehova alifunga ndoa sio?
Mbona unajitia mtegoni kilaini hivi?
Na pale kwenye MATHAYO 5:9 panaposema
9 Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa-wana wa Mungu.
Ina maana Ukiwa mpatanishi tu na wewe ni Mwana wa Mungu.
Sasa kazi ya Hakimu wa Mahkama ya QADHI ni KuPatanisha.
Hapo lzm upate kichaa.
Teh teh teh teh.
Mi si kila siku nakwambia BIBILIA huijui wewe!
Mwana Wa Mungu ni yule atimizaye mapenzi ya baba aliye mbinguni. -according to yesu Kristo mwenyewe.
Kwa hiyo waislamu, msijiite Wana Wa mungu.wakati mnajua Allah Hana mke. Hivyo Allah hawezi kuwa na watoto , so saaad.
nilipo soma hii post nilicheka gt hawez kuandika huu upuuz just isome tena hii post alafu ifanyie evaluation utagundua hata mwnao hawez kuandikackitu kama hicho