Mwendazake alikuwa ni rais alieendekeza ukabila sana

Mwendazake alikuwa ni rais alieendekeza ukabila sana

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Japokuwa hata hii pdf ya ajira za ualimu na afya sijaweza kuwa miongoni mwa waliochaguliwa lakini naweza kusema enzi za mwendazake ukabila ulitamalaki sana, wasukuma waliweza kupenya kwenye ajira mbalimbali pdf nyingi za kipindi cha mwendazake zilijaa wasukuma akina ngusa,lushinge maduhu na wengineo......rest in pease magufuri tutakukumbuka kwa ukabila.
 
Japokuwa hata hii pdf ya ajira za ualimu na afya sijaweza kuwa miongoni mwa waliochaguliwa lakini naweza kusema enzi za mwendazake ukabila ulitamalaki sana, wasukuma waliweza kupenya kwenye ajira mbalimbali pdf nyingi za kipindi cha mwendazake zilijaa wasukuma akina ngusa,lushinge maduhu na wengineo......rest in pease magufuri tutakukumbuka kwa ukabila.
Haujui kuandika...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Jifunze utu,
Jifunze kupotezea mambo,

Jaribu kuishi kiume kama ni mwanaume lakini

Pambana na maisha mengine yanayokuja ili kusahau ya nyuma .

Jaribu kuishi kwa kutegea misingi na mipango yako, na watumie watu na nafasi zao wakiwa hai.
Nasisitiza watumie siyo uwategemee.

Magufuli akiwa kwenye wizara ya ujenzi alikuwa rafiki yangu, na ndiye aliyemshawishi Engineer Mfugale anipenyeze kwenye michongo yake. lakini juu ya yote sijawahi kukubali staili ya uongozi wake.

Hata alipochukua fomu ya kugombea urais Mimi moyo ulinienda mbio sana kwani nilichowaza ndicho kilichotokea.

Yote kwa yote sijawahi kumtegemea mtu kwenye maisha yangu, Bali hutumia watu kulingana na wakati, mazingira na mipango husika.

Natamani nikwambie mengi ila muda sina
 
Hakuna mvivu, mpigaji, mlarushwa na tapeli na mwenye maisha ya kuishi kijanja kijanja kutegemea madili ambaye angelikubali jembe, hapa kazi tu
 
Japokuwa hata hii pdf ya ajira za ualimu na afya sijaweza kuwa miongoni mwa waliochaguliwa lakini naweza kusema enzi za mwendazake ukabila ulitamalaki sana, wasukuma waliweza kupenya kwenye ajira mbalimbali pdf nyingi za kipindi cha mwendazake zilijaa wasukuma akina ngusa,lushinge maduhu na wengineo......rest in pease magufuri tutakukumbuka kwa ukabila.
Wajinga ni wengi nchi hii,mmoja wapo ni wewe
 
Magu mwamba kama mwamba. Mwangwi wake bado unawatetemesha wajinga. Bado wanaweweseka na wewe mwamba. Hujaondoka bure mwamba. Umeacha makubwa ndio maana hawataacha kutetemeka. Mwisho ulisema MTANIKUMBUKA. Wawaweweseka bado
 
Kipindi chake shule za Kanda ya ziwa zilipelekewa walimu wengi, Kuna shule ya ufundi nayo ilianzishwa huko na kuipangia walimu wengi, ajira nyingi ziliwalenga wasukuma.
 
Jifunze utu,
Jifunze kupotezea mambo,

Jaribu kuishi kiume kama ni mwanaume lakini

Pambana na maisha mengine yanayokuja ili kusahau ya nyuma .

Jaribu kuishi kwa kutegea misingi na mipango yako, na watumie watu na nafasi zao wakiwa hai.
Nasisitiza watumie siyo uwategemee.

Magufuli akiwa kwenye wizara ya ujenzi alikuwa rafiki yangu, na ndiye aliyemshawishi Engineer Mfugale anipenyeze kwenye michongo yake. lakini juu ya yote sijawahi kukubali staili ya uongozi wake.

Hata alipochukua fomu ya kugombea urais Mimi moyo ulinienda mbio sana kwani nilichowaza ndicho kilichotokea.

Yote kwa yote sijawahi kumtegemea mtu kwenye maisha yangu, Bali hutumia watu kulingana na wakati, mazingira na mipango husika.

Natamani nikwambie mengi ila muda sina
Sema baba sema
 
Makaburu na Vibaraka wao Tanzania wana matatizo yao. Anathema inawafanya kuwa na Uwendawazimu.


CHADEMA Digital imekosa ya kuandika baada ya Wakuu wao kwenda ulaya kukutana na Wafadhili wao, wanasiasa wa mrengo wa kulia. Habari nyingine wakirudi.
 
Jifunze utu,
Jifunze kupotezea mambo,

Jaribu kuishi kiume kama ni mwanaume lakini

Pambana na maisha mengine yanayokuja ili kusahau ya nyuma .

Jaribu kuishi kwa kutegea misingi na mipango yako, na watumie watu na nafasi zao wakiwa hai.
Nasisitiza watumie siyo uwategemee.

Magufuli akiwa kwenye wizara ya ujenzi alikuwa rafiki yangu, na ndiye aliyemshawishi Engineer Mfugale anipenyeze kwenye michongo yake. lakini juu ya yote sijawahi kukubali staili ya uongozi wake.

Hata alipochukua fomu ya kugombea urais Mimi moyo ulinienda mbio sana kwani nilichowaza ndicho kilichotokea.

Yote kwa yote sijawahi kumtegemea mtu kwenye maisha yangu, Bali hutumia watu kulingana na wakati, mazingira na mipango husika.

Natamani nikwambie mengi ila muda sina
Funguka.
 
Back
Top Bottom