Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na asitujibu basi kumbaf Zak.Wanaomtukana ni machizi na wapumbavu kwani hatawajibu. Kimsingi, wanajitukana wenyewe. Yeye hayupo na wala hatarudi. Kumbaff zenu
Aisee,ila jamaa sijui alikuwa anaipeleka wapi hii nchi daa!!!sad enough kumbe muda wote alikuwa anaumwa kwa nini alikuwa anajiongezea stress badala ya kuishi kwa amani na uchaji Mungu.Moja kati ya engagements zake za mwisho na wananchi, alimwambia mtu abaki na mav* yake nyumbani.
Kuna Yule Mwananchi Alimwambia Aende na Mavi yakeHeshima yenu wakuu
Kinachotokea kwa sasa mitandaoni, bungeni na mitaani ni matokeo yaliyopandwa na mwendazake.
Bungeni kuna mmyukano mkali, mitandaoni ndio hakufai.
Wapo wanaomponda mwendazake na wapo wanaomsifia.
Jambo moja la kuweka kichwani ni kuwa mwendazake alipokuwa hai wasifiaji na waimba mapambio ndio walikuwa wengi zaidi hivyo ilizoeleka hivyo.
Wakosoaji walikuwa wachache sana kutokana na vitisho na matukio yaliyokuwanyanaendelea.
Sasa mwendazake hayupo jambo ambalo linaibua kila kukicha idadi ya wapondani na wakosoaji wa mwendazake huku idadi ya waimba mapambio ikishuka kwa Kasi kubwa.
Waimba mapambio watakaobaki wanafahamika kwani ni wale waliopewa nafasi kwa upendeleo kama vile baadhi ya wabunge ambao wanajua Kabisa bila ya mwendazake wasingekuwa bungeni.
Mwendazake alishawakashfu baadhi ya watangulizi wake kwa maneno ya dhihaka na kejeli.
Mwendazake ndiye aliyeanzisha Tabia ya kudhalilisha viongozi wa Umma na kuwatusi.
Wapo walioitwa WAPUMBAVU mbele za halaiki.
Wapo walioitwa VILAZA mbele za Umma.
Wapo walioitwa MAJIZI na Majambazi mbele za watu
Wapo walioitwa VIBARAKA mbele ya Kamera
Wapo walioambiwa WANANJAA akiwepo Kaka Pascal Mayalla humu
Wapo aliosema kuwa hawapaswi kuishi mbele za watu na kweli walijeruhiwa na wengine kupotea
Sasa ni zamu yake na ashukuru hayupo maana kama angekuwa hai huo mwaka 2026 + ndio ungekuwa mbaya kwake zaidi
Kweli Karma is real
Malipo ni hapa hapa duniani
Watered I wake jambo moja wasilolielea ni kuwa Kadiri wanavyomtetea hakika madhara Hayat’s waache salama, wanajiwekea alama kwenye nyuso zao ili iwe rahisi kupewa stahiki zao, na watapewa tuu mpaka mwaka 2023 kila mtu atakuwa amepokea kamisheni yake
Ni bora Hawa raia wa kawaida na wanaharakati mitandaoni ndio wawe mstari wa mbele kujibu mashambulizi lakini kama unacheo iwe mbunge au mkuu wa mmoja au Wilaya au cheo chochote ni Bora ujikalie kimya tuu
Vinginevyo uzi huu utaukumbuka 2023 ukiwa na familia yako baada ya kupokea kamisheni ya malipo ya mwendazake
Endeleeni Kudemka
Yeah. Hahaa alimwambia yule mchaga anajiita Trump.Moja kati ya engagements zake za mwisho na wananchi, alimwambia mtu abaki na mav* yake nyumbani.
Tunamkutana yeye pamoja na nyie mliokuwa walamba miguu wake.Wanaomtukana ni machizi na wapumbavu kwani hatawajibu. Kimsingi, wanajitukana wenyewe. Yeye hayupo na wala hatarudi. Kumbaff zenu
Ish eti mnamkutana! Hata kiswahili chenyewe hujui mbuzi veve.Tunamkutana yeye pamoja na nyie mliokuwa walamba miguu wake.