Mwendazake alitumia muda mwingi kuwatukana wengine, sasa ni malipo yake

Moja kati ya engagements zake za mwisho na wananchi, alimwambia mtu abaki na mav* yake nyumbani.
Aisee,ila jamaa sijui alikuwa anaipeleka wapi hii nchi daa!!!sad enough kumbe muda wote alikuwa anaumwa kwa nini alikuwa anajiongezea stress badala ya kuishi kwa amani na uchaji Mungu.
 
Kuna Yule Mwananchi Alimwambia Aende na Mavi yake
 
Nakumbuka alimdhalikisha jk nadhani pale UDSM au UDOM hadi mzee JK alihamaki kwa mshangao, alimwambia mzee umeniachia mzigo kweli kweli kila kitu hewaaa
🤣🤣🤣🤣
 
Nimesema Mimi ndio rais sasa tunaomba ajitete sasa ye kama raisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…