Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchukua chake????Jamani wanasema Jameni
Mwizi wanamwita mchukua chake
Chabo wanaita kozimen
Bibi wanamwiita nyanya
Mke wanamwiita bibiyake
Halafu umeme wanaita steamer!Ugali wanaita sima hawa jamaa bana
Mkuu hiyo ni seriously mi nlipgwa na butwaa kusikia hivo aiseMkuu uko serious au unatania Yani mwizi ni mchukua chake[emoji1787]
😀😀Zamani walikuwa mtu maarufu wanamuita Hayati...Hadi walipokuja kugundua Hayati manake marehem ndo wakaacha
Ukiwa Kenya.Khaaaa hii nayo ndio naisikia Leo so waweza sema wajameni mwendazake kafa kwa kunaswa na stima 🤣🤣🤣🤣🤣
Sijui.Sio NDUGAI
Ila Hayati ni mtu alie Hai. Marehem ni Mamati. Kutoka lugha ya kiarabu
Hiyo wanaita wamalawi na msumbiji, wakenya wanaita sembeUgali wanaita sima hawa jamaa bana
Hayati si marehemu, waulize waarabu watakutafsiria, ndiyo sababu hata sisi hatulitumii tena.Zamani walikuwa mtu maarufu wanamuita Hayati...Hadi walipokuja kugundua Hayati manake marehem ndo wakaacha
Limeanzia Zambia, huko ugali ni sima.Kumbe neno sima limeanzia kenya
daladala zote ni MATATUHiace wanaziita matatu na mabasi makubwa wanayaita masita... Basi mimi nikajiwazia lazima coaster zinaitwa manne
Yupo sahihi....Mkuu uko serious au unatania Yani mwizi ni mchukua chake[emoji1787]