Ulidanganywa ukaingia mkenge.Hakuna shida mkuu, ujitahidi kulea mwanangu kwa upendo, akikua ntakuja kumchukua.
Nakuheshimu mkuu wangu
Umeona eeeh mjini hapa ukizubaa unarudi kijijini bila kitu.....lolMambo ya SACCOS ...wanachama tele kila mtu anachangia chake
huyu viatu yule vocha...hahaa
The boss, kaboom,th name etc etc
Mkemia atamaliza kesi, najua unaona aibu kuwa unapotaka kwenda kulala ndiko nilipoamkia mimi...hata hivyo una moyo.Ulidanganywa ukaingia mkenge.
Hahaha naona anataka kumpeperusha ndege wanguHuyo baba kijacho wa 123...mpotezee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huenda ulidanganywa kiongozi. Teh, eti unasema ulimfanya nini? We kijana acha uchokozi kwa kaka zako..teh!!Mkemia atamaliza kesi, najua unaona aibu kuwa unapotaka kwenda kulala ndiko nilipoamkia mimi...hata hivyo una moyo.
Ningekuwa mtalaka wa jaydee ningesema huyo mtoto nimekoj...a sana
ShegaPoa brother.
Mmmmmmmmh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jf raha kweli
Hivi kitanda chako cha baridi kumbe!
Mkuu usjali sana hawa watu wanafahamiana so wanajua walitendalo wateme tu.
Paulo alisema kwa Warumi hivi;
Neno la msaba ni nguvu kwao waokolewao, LAKINI ni upuzi kwao wanaopotea.
Maana yangu ni hii, yapo mambo ambayo wew waweza kuyaona ni ujinga flan kwa wayatendayo
Lakini watendaji kwao ni fahari.
Asante mkuu nashauri uwateme kwa amani tu, ukiwa kimya utakuwa umenijibu
Thank you babeI am humbled..karibu sana anytime babe
Thank you babe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huenda ulidanganywa kiongozi. Teh, eti unasema ulimfanya nini? We kijana acha uchokozi kwa kaka zako..teh!!
Hivi una babe wangapi humu jamani?Anytime babe...anytime...
Hivi una babe wangapi humu jamani?
Hahahaha haya endelea kulagaHainaga ushemeji
Mtani wangu kipenzi atakuja kumaliza kesi.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Patience123 ndio mwenye siri za age zetu.
Usifikiri kwa vile nimekupisha ndo nimekuwa dogo au dhaifu, battle ndo linaanza chin kwa chin wala hutajua leo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113]Mtani wangu kipenzi atakuja kumaliza kesi.
Ha haa jamani hata nisipokutaja jua navutiwa nawe lols...Hujanitaja mimi na kule kwa mwanamke nilikutaja kwanini? Niende nikatengue kauli kuwa sikumaanisha kuwa ni valentina wewe?
Niende wapi akati nimefuraaHa haa jamani hata nisipokutaja jua navutiwa nawe lols...
Kanisani umeenda lakini?
Ukifura unavokua mbaya sasa... Hebu jiangalie kwa kiooNiende wapi akati nimefuraa