Mwendelezo: Funguka mwanaume unaevutiwa nae JF

Mwendelezo: Funguka mwanaume unaevutiwa nae JF

Ulidanganywa ukaingia mkenge.
Mkemia atamaliza kesi, najua unaona aibu kuwa unapotaka kwenda kulala ndiko nilipoamkia mimi...hata hivyo una moyo.
Ningekuwa mtalaka wa jaydee ningesema huyo mtoto nimekoj...a sana
 
Mkemia atamaliza kesi, najua unaona aibu kuwa unapotaka kwenda kulala ndiko nilipoamkia mimi...hata hivyo una moyo.
Ningekuwa mtalaka wa jaydee ningesema huyo mtoto nimekoj...a sana
Huenda ulidanganywa kiongozi. Teh, eti unasema ulimfanya nini? We kijana acha uchokozi kwa kaka zako..teh!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jf raha kweli
Hivi kitanda chako cha baridi kumbe!
Mkuu usjali sana hawa watu wanafahamiana so wanajua walitendalo wateme tu.
Paulo alisema kwa Warumi hivi;
Neno la msaba ni nguvu kwao waokolewao, LAKINI ni upuzi kwao wanaopotea.
Maana yangu ni hii, yapo mambo ambayo wew waweza kuyaona ni ujinga flan kwa wayatendayo
Lakini watendaji kwao ni fahari.
Asante mkuu nashauri uwateme kwa amani tu, ukiwa kimya utakuwa umenijibu
Mmmmmmmmh
 
Huenda ulidanganywa kiongozi. Teh, eti unasema ulimfanya nini? We kijana acha uchokozi kwa kaka zako..teh!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Patience123 ndio mwenye siri za age zetu.
Usifikiri kwa vile nimekupisha ndo nimekuwa dogo au dhaifu, battle ndo linaanza chin kwa chin wala hutajua leo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Patience123 ndio mwenye siri za age zetu.
Usifikiri kwa vile nimekupisha ndo nimekuwa dogo au dhaifu, battle ndo linaanza chin kwa chin wala hutajua leo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mtani wangu kipenzi atakuja kumaliza kesi.
 
Hujanitaja mimi na kule kwa mwanamke nilikutaja kwanini? Niende nikatengue kauli kuwa sikumaanisha kuwa ni valentina wewe?
Ha haa jamani hata nisipokutaja jua navutiwa nawe lols...

Kanisani umeenda lakini?
 
Back
Top Bottom