Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,461
- 35,218
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndioKumbe ni braza huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndioKumbe ni braza huyo
Asign out kwa ajili ya king'ang'anizi!?Kwanini aboreke!
Si angesain out!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Asign out kwa ajili ya king'ang'anizi!?
Yaani mummy leo nipo confused...mtu asinihukumu kwakweli.....BTW asante kwa ushauri best.Humu inabidi uwe na roho ngumu pia uzoee cos this is just a chatting...nothing serious i guess, japo najua walio seriaz wapo ila sio kivile.
Nani huyo kwani??Unajua ukifika wakati mke anaongea sana kwa kujiamini na mme akajishusha ujue mwisho sio mzuri...
Inapendeza mkuu ashuke chini kidogo amkweze mmewe hata kama ni kilazer.
Huyu wangu amezidi kuukanyaga upendo wangu na kunisimanga.
Amekuweza!!Sjakutaka uhangaike alaaa
Ngoja nimkumbukeNani huyo kwani??
[emoji4][emoji4][emoji7]Thats Why I Love u
Aniwezee wpAmekuweza!!
Huyo baba kijacho wa 123...mpotezee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]viwanja vya wazi???? Unamaanisha nini mkuu??
Hii nayo ni Fitna sasa...mbona unaniharibia kila kona lakini!!!!??[emoji134][emoji134]Huwa tunakimbilia kupumzika huko mkuu, usijenge ukuta tafadhali
Sidhani kama itasaidia...nahisi hata huyo coordinator wa haka kadunia kesha kata tamaa na wewe...endelea kuropoka tu.Basi "MNIOMBEE"
Hujanitaja mimi na kule kwa mwanamke nilikutaja kwanini? Niende nikatengue kauli kuwa sikumaanisha kuwa ni valentina wewe?Kiranga navutiwa nae
Dividi ana ruluHii nayo ni Fitna sasa...mbona unaniharibia kila kona lakini!!!!??[emoji134][emoji134]
Huo ni uchochezi mkuu.Sidhani kama itasaidia...nahisi hata huyo coordinator wa haka kadunia kesha kata tamaa na wewe...endelea kuropoka tu.
SijakuelewaDividi ana rulu
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Kumbe ni braza huyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sidhani kama itasaidia...nahisi hata huyo coordinator wa haka kadunia kesha kata tamaa na wewe...endelea kuropoka tu.
Stunter ni mwelewaHuyo baba kijacho wa 123...mpotezee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]