Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Naona unapeana ahadi na ganja gal wakati unajua mdogo wangu kafa na kuoza kwako.Usipate presha bwana.
Tunataka uishi ushuhudie navyomuambukiza mapacha wanaofanana
Niambie mie dada mtu....unamtaka mdogo wangu au humtaki.
Nipe jibu moja.
Unajua tuna babu yetu mganga-mchawi kule kwetu Sumbawanga?
Wait....
Tutakugeuza karoti...