Mwendelezo wa Danadana za Katiba Mpya

Mwendelezo wa Danadana za Katiba Mpya

Danadana za kupata KATIBA MPYA NA BORA zinaendelea, na kuendelea kutafuna fedha za umma kwa mabilioni.

Maoni ya Nyalali yalitupwa, Kisanga alifokewa na Mkapa, Warioba akashambuliwa na Kikwete na hadi kupigwa ngwala na kijana wake Makonda ambaye alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya ya Kinondoni.

Aliyepo alikuja na Kikosi Kazi cha kupata KATIBA MPYA na mwishowe akasema maoni ya Kikosi Kazi si amri. Hivi majuzi Machi 8 kasema ataunda kamati ya KATIBA MPYA. Danadana zinaendelea!

Nyalali: Season 1
Kisanga: Season 2
Warioba: Season 3
Bunge la Katiba na Katiba Inayopendekezwa: Season 4
Mukandala na Kikosi Kazi: Season 5
Kamati ya KATIBA MPYA: Season 6
Nanihii (!?): Season 7
...tunasuburi. Mwishowe yote yatatupwa na kuendelea na seasons!

Ili tuje kupata KATIBA MPYA NA BORA tunahitaji chama mbadala, serikali mbadala na viongozi mbadala. CCM na upinzani uliopo tupa kule! Huo utakuwa ndio mwisho wa danadana na seasons zake.
Thanks brother kwa andiko mujarabu[emoji1752][emoji1545][emoji1548]
 
Danadana za kupata KATIBA MPYA NA BORA zinaendelea, na kuendelea kutafuna fedha za umma kwa mabilioni.

Maoni ya Nyalali yalitupwa, Kisanga alifokewa na Mkapa, Warioba akashambuliwa na Kikwete na hadi kupigwa ngwala na kijana wake Makonda ambaye alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya ya Kinondoni.

Aliyepo alikuja na Kikosi Kazi cha kupata KATIBA MPYA na mwishowe akasema maoni ya Kikosi Kazi si amri. Hivi majuzi Machi 8 kasema ataunda kamati ya KATIBA MPYA. Danadana zinaendelea!

Nyalali: Season 1
Kisanga: Season 2
Warioba: Season 3
Bunge la Katiba na Katiba Inayopendekezwa: Season 4
Mukandala na Kikosi Kazi: Season 5
Kamati ya KATIBA MPYA: Season 6
Nanihii (!?): Season 7
...tunasuburi. Mwishowe yote yatatupwa na kuendelea na seasons!

Ili tuje kupata KATIBA MPYA NA BORA tunahitaji chama mbadala, serikali mbadala na viongozi mbadala. CCM na upinzani uliopo tupa kule! Huo utakuwa ndio mwisho wa danadana na seasons zake.
Naunga mkono hoja. Kuhusiana na hili niliwahi kuandika uzi huu:

Kuharakisha Katiba Mpya tuunde 'Coalition of the Willing'
 
Naunga mkono hoja kwa 💯%

Watanzania tunahitaji Katiba ya Wananchi! Na siyo Katiba kwa ajili ya kuinufaisha CCM, au Chadema.

Tunahitaji Katiba ya kuinufaisha nchi na wananchi wake wote! Na siyo kikundi cha watu wachache, mfano wanasiasa, nk.

Uko sahihi, tatizo wananchi nao wako kimya sana, wamewaachia wanasiasa ndio wanadai katiba. Na ikitokea hao wanasiasa wasipoidai, basi katiba itabaki hii hii. Hapa kwa kulaumiwa ni wananchi na sio wanasiasa.
 
Back
Top Bottom